Waziri Muhongo ni muongo?

Waziri Muhongo ni muongo?

Mleta hoja ndiye muongo maana anawaamini watu kama akina Ngwilizi na Gobsbert Blandes! Hamtaweza kumdharau Prof. Muhongo ambaye utumishi wake umetukuka. Ninyi mshazoea watu wa magumashi na wala rushwa. Hamjazoea type ya watu kama akina Prof. Muhongo ambao hawataki malumbano bali matokeo ya kazi njema.
 
Ukweli wa huyu waziri utamuweka huru siku zote, endeleeni kupiga kelele na kupoteza muda wenu bure.
 
Kwa wanaoifahamu vyema wizara ya madini na nishati na mfumo mzima wa hujuma ndani ya TANESCO wanaelewa Prof. anachosema. Ukweli ni kwamba wizara hiyo haijawahi kumpata mtu wa aina ya Prof. Muhongo ambaye kwa sasa anashambuliwa toka kila upande ili aachie ngazi, awaachie mafisadi mwanya wa kupumua. Alichojaribu kukifunuaa Prof. ni "Tip of an iceberg" pole pole ukweli utajifungua na mkweli kuthibitika, kama si kaatika awamu hii ya serikali angalau ijayo.
Prof. Muhongo anahitaji kutiwa moyo na kupata "support" ya watanzania wotekwani si mnafiki kama baadhi tunaoamini ni "wachapakazi" kumbe ndani yao ni ufisadi mtupu!
Mjuu usizungumzie kitu usokijua.. Majuzi tu ameweka mktaba kuwalinda makampuni ya Canada yanayowekeza nchini kwa kutumia sheria za nje na huyu huyu miezi miwili ilopita alituambia anataka kufanya nini? sasa unataka kumjenga vipi ilihali ukweli tunauona..
 
Naamini kwamba waziri wetu wa nishati na Madini ni aina ya Mtu ambaye Tanzania inakaribia kuwapoteza. Ana tumia akili alizonazo,hashawishiwi kwa pesa na anafuata maadili yake. Tusiwe wajinga hongo iliyopo nishati na madini ni zaidi ya ndoto za wachangiaji kwenye Uzi huu. Tumpe support ndugu yetu HUYU na tuache kulaumu kwa sababu za udhaifu binafsi

Well said mkuu, we fikilia - unaambiwa kwamba mmoja wa mjumbe wa kamati alimpelekea (NYUMBANI KWAKE) barua jamaa aliye shinda TENDA ya ku-supply bidhaa TANESCO, alafu hilo wanaliona ni jambo la KAWAIDA!!!
 
Tanzania itakombolewa tutakapoacha kuwaamini wana mtandao wa CCM wanaoimaliza nchi kwa ufisadi. Muhongo na Maswi ni safi na bunge limepotoka hapa
 
Ndugu wana jamvi kama mlivyoona kauli ya spika kuwa waziri ni mwongo na asirudie tena kuwatuhumu watu wakat hana ukweli.
je Ana faa kuendelea kuwa waziri wakati ni mwongo?
kwa wasio na kumbu kumbu ya nyuma waziri alisema wabunge wamehongwa na makampun ya uuzaji mafuta ili kuyapendelea! Kamat imesema si kweli!!
Au kwa vile Tanzania kujiuzuru ni neno geni! Na haritumiki kwa serikali hii?

Kweli wajinga ndio waliwao.Hivi unadhani Muhongo aliyo-ongea ni uongo kama kamati ya Ngwilizi ilivyosema.Kamati ile ilichofanya ni kujaribu kusafisha mafisadi au wezi.Yote aliyosema Muhongo ni kweli.The most likely thing ni kwamba kamati imepewa murungura.
 
Na ukweli uliopo ni kuwa Waziri Muhongo na KM wake Maswi wote wamekwenda ulaya kuondoa hii aibu kwani walijua fika kama wengekuwepo bungeni basi wangekuwa mbuzi wa kafara yaani kwale madudu ya kuwasingizia wabunge inafact speaker angetoa adhabu ya kuwavua madaraka na nitashangaa iwapo hawa jamaa kama hawata resign kwanza kwa kuidangaya jamhuri na walipakodi na house image a such joke to taxpayers in china punishment ni death penalty.
 
Kamati ilio chunguza hili Jambo sio la ccm bali ni la bunge, lilikuwa na wabunge wawili wa Cahdema na mmoja wa CUF, Jee hata hao pia hawafai?????????
 
Mimi naamini kamati ya ngwilizi,makinda na wabunge wamesema uongo,namwamini prof. muhongo kwakuwa hata kama atadanganya sio kiasi kikubwa,bunge limeogopa kudhalilika lakini ukweli upo na wabunge wanaujua ukweli huo.

Kweli kabisa, watu wazima tunaelewa
 
Kweli kabisa, watu wazima tunaelewa
unajua mkuu Makinda na genge lake tunajua namna wanavyohangaika kupindisha ukweli na kwa kuwa Prof.Muhongo si mzoefu na mambo ya Bunge wametaka kumchezea tu mzee huyu.Lakini ukweli uko wazi,miaka iliyopita kipindi kama hiki tulikuwa tunalia juu ya mgao mkali wa umeme na ilikuwa taabu kujua kama nchi hii ina viongozi au la.Na bado naamini kuna watu wenye ushawishi na vitisho pale Tanesco bado wanaleta hujuma ili tu jamaa aonekane hafai.Tuanajua na mikakati yao ya kuvuruga mikakati mizuri anayoianzisha na kuitekeleza ili tu wao waendeleze wizi wao wa mchana kweupe..!!!
 
Katika serikali ya CCM uongo si kosa, kosa ni kusema ukweli
 
Mjuu usizungumzie kitu usokijua.. Majuzi tu ameweka mktaba kuwalinda makampuni ya Canada yanayowekeza nchini kwa kutumia sheria za nje na huyu huyu miezi miwili ilopita alituambia anataka kufanya nini? sasa unataka kumjenga vipi ilihali ukweli tunauona..
Mkuu toa evidence na si maneno ya mitaani kamayale ya Tume ya Ngwilizi. Nasisitiza kwamba he is a no nonsense man. Ingekuwa unalolisema ni kweli kwamba naye amesaini mkataba kama ule wa Karamagi kwenye Guest House kule London wabunge wangeshamshupalia na angeshajiuzulu. Kama una information zianike tumhukumu kwa haki na si kimtandao wa CCM au wabunge aliowaumbua kweupee!
 
Hii ni kutisha mtu ayechapa kazi lkn mheshimiwa chapa kazi mtu mnafiki hapo ni mama kiroboto ambaye amewekwa na magamba wanzake
 
Kweli huyu jamaa ni Muongo mbona tumerudi kule kwa zamani, kila kukicha katizo la umeme au wale walotajwa na JK kuwa walikuwa wanakwamisha gesi asilia ndio wanamzunguka aonekane kuwa umeme hauna suluhisho? Tenda kama JK waondoe wote wanaokuujumu kama huna uongo.
 
Hivi wenzangu waTZ bado mna mmatumaini na serikali dhaifu ya CCM na bunge lilojaa wabunge wa CCM.
 
kesi ya ngedere hakimu ngedere unategemea nini? WABUNGE WANATUHUMIWA NA KAMATI YA WABUNGE ICHUNGUZE UNATEGEMEA NINI
Ndugu wana jamvi kama
mlivyoona kauli ya spika kuwa waziri ni mwongo na asirudie tena
kuwatuhumu watu wakati hana ukweli.
Je Ana faa kuendelea kuwa waziri wakati ni mwongo?

Kwa wasio na kumbukumbu ya nyuma waziri alisema wabunge wamehongwa na
makampuni ya uuzaji mafuta ili kuyapendelea! Kamati imesema si
kweli!!
 
Waziri wa nishati na madini mbona unatifanya watanzania watoto wa dogo tusiojua kitu. Umeme bei juu leo tokea asubuhi unaenda kununua umeme unaambiwa netwrk mbaya na kuukata umeme kila leo inamaanisha nini si museme tuu kama kuna mgomo kila leo umeme unakatwa hata hapa ninapoandika umeme umekatwa hii nchi ya mashetani kweli bora niweke sola niondokane na hii adhabu ya kukosa umeme
 
Waziri wa nishati na madini mbona unatifanya watanzania watoto wa dogo tusiojua kitu. Umeme bei juu leo tokea asubuhi unaenda kununua umeme unaambiwa netwrk mbaya na kuukata umeme kila leo inamaanisha nini si museme tuu kama kuna mgomo kila leo umeme unakatwa hata hapa ninapoandika umeme umekatwa hii nchi ya mashetani kweli bora niweke sola niondokane na hii adhabu ya kukosa umeme
ok calm down mkuu,take it easy,its a serious issue which needs urgent attention.
 
Back
Top Bottom