Waziri Muhongo Mfukoni Mwa Lowassa

Waziri Muhongo Mfukoni Mwa Lowassa

Ni kwel ila watu hawaamini ila ndiye Rais anayefuata, mbaya zaidi wa chadema anatoka kaskazini na wa CCM kaskazini tena mkoa mmoja, patamu hapo sijui itakuwaje, tusubiri, mimi niko arusha, japo kuwa mimi ni mfuasi wa chadema ila kura yangu nintampa lowasa kwani kimsingi ni mtu shupavu asiye na uwoga, mwenye maamuzi, mchapa kazi na mchukua hatua, japokuwa ni fisadi ila naamin akiwa rais hawezi kuiba tena,

Shupavu na asiye na uwoga wa kuiba na kufisadi.
 
Hapa utani tuweke pembeni mimi ninavyoona inawezekana kabisa hii nchi Lowasa akapewa na mimi kweli akisimama yeye kura yangu anayo japokuwa niko upande wa pili,Lowasa anaweza akaamua kitu na hapindi na wala sio mwoga nakumbuka wakati akiwa waziri wa arithi alifanya maamuzi mazito japokuwa pia anapenda kuwekeza kila mahali nathani hivi sasa washauri wake wanamshauri aponguze kuwekeza na atoe zaidi sadaka ili asamehewe.Kweli yeye ni mchapakazi na hachoki.ngoja tuone na tuendelee kumwombea Mungu amlinde na kumpa nguvu awe mwenye afya tele.

Elinawinga Acha Umalaya. Kama wewe gamba kuwa gamba, Tunamatatizo mengi ya kifisadi hamna fisadi ata-fix our problem.
 
Wananchi wenye kutaka maendeleo wanatamani na kutegemea EL awe rais, lkn wenye nia zao binafsi hawapendi kbs EL awe rais

Ila uzuri wapenda maendeleo ni wengi na wabinafsi ni wachache.

S6 ni mnafiki lkn kuna mambo ya msingi anaongeaga wakati mwingine moja ni lile CDM kuna Dr. slaa tu, lkn mie niongeze naona wameongezeka yupo Lissu,mnyika na lema. Sasa hawa hawajatosha kutuongoza ngoja waongezeke kwanza walio na mtizamu chanya CDM ndio 2020 tutawafikiria kuwa wanaweza kutuletea maendeleo."ngoja wakue-refer JKN"

Kuwapa 2015 bado wamezungukwa na njaa nyingi tutaangamiza taifa letu-Am sorry to say this lkn ndio ukweli

Mkuu hujawaona tuu Mdee, Profesa Safari, Marando, Kiwango, Heche, Wenge, Mbowe, Lwakatare, Awenya, Dr. Mkumbo na wengine wengi tuu, pia kumbuka hatuhitaji baraza la mawaziri kubwa la kulaji kama la magamba mkuu. Kumbuka kama akina nyerere wangelikuwa wanadhani uongozi ni umri au mazoea ya kuongoza kama kama wewe basi tusingelipata uhuru.
 
Wananchi wenye kutaka maendeleo wanatamani na kutegemea EL awe rais, lkn wenye nia zao binafsi hawapendi kbs EL awe rais

Ila uzuri wapenda maendeleo ni wengi na wabinafsi ni wachache.

S6 ni mnafiki lkn kuna mambo ya msingi anaongeaga wakati mwingine moja ni lile CDM kuna Dr. slaa tu, lkn mie niongeze naona wameongezeka yupo Lissu,mnyika na lema. Sasa hawa hawajatosha kutuongoza ngoja waongezeke kwanza walio na mtizamu chanya CDM ndio 2020 tutawafikiria kuwa wanaweza kutuletea maendeleo."ngoja wakue-refer JKN"

Kuwapa 2015 bado wamezungukwa na njaa nyingi tutaangamiza taifa letu-Am sorry to say this lkn ndio ukweli

MKUU KWA KASI YA UFISADI DHIDI YA RASLIMALI ZETU, MABADILIKO NI LAZIMA kama sio kwa kura naombea iwe hivyo sio kwa njia nyingine kwani Njia ya kwanza itaandelea kuuweka mstakabali wa taifa letu mikononi mwetu kwani ya pili itakuwa janga na laana kwetu sote.
 
Kwani wew unawajua wanachadema wote@ Ben Saanane,

Mwenye uzi, uwe unatoa sources na si vinginevyo mana CCM kwa makundi kama humpendi Sitta na Membe basi wew wa Lowassa tumuache mzee wa watu... Mulongo ni msomi anayejielewa na hawezi kwenda ku report kwa mtu amabaye si mkuu wake wa kazi unless wew una yako! Tuache majungu, fitina na chuki kwenye siasa, me nashangaa sana na nadhani hatutaweza kubadilika watanzania na kupata maendeleo kama hatutaacha siasa maji taka haijalishi nani atakuwa madarakani iwe chademu au ccm.
mfano, sijui amebeba sumu kumwekea nani, hii ni polisi case kwanin basi mhusika asiende polisi kama si uzushi na uzandiki na haya Lowassa pia ni mambo ambayo hayana kichwa wala mguu. nakubaliana na Mkapa ya kwamba kizazi hiki cha kina Nchemba namanisha wengi hata humu JF tunavitabia vinavyofanana na Nchemba na Nape na hii ni ushabiki wa kijinga na uzushi usio na manufaa kutoka vyama vyote chadema na hata ccm.

My take, Vijana tubadilika na la kuambiwa sikia na tafakari kabla ya kufanya chochote, think before you pen!!!
 
hivi xana linakukera etiii? ulivyokazania wacha watu wafurahie nuhuru wao wa mawasiliano ebooo
Kwa vyovyote utakuwa na matatizo kwenye ubongo, ni nani aliyeanza kukerwana uandishi wa wengine? Mbona wewe huwaachi wengine wakafurahia uandishiwao! Kweli nyani haoni kundule...
 
ndugu ulioweka huu uzi hapa, umeona ulimvyomfurahisha pasco, maana ana like tu, yani angekufahamu leo ungetambaa na bahasha ya kaki. subiri tuone 2015 ikifika nani ataapishwa hizi zingine ni porojo tu.
 
Aliingia kwa mbwembwe, ukorofi na mashauzi. Akafika hatua ya kuwaita baadhi ya wabunge wala rushwa... Sasa anaangukia pua. Mzee wa Monduli na mtandao wake ndani ya wizara ya nishati na madini, wana kila waraka wa siri anayosaini Bw. Muhongo. Mtu mmoja aliyekaribu sana na Muhongo anawapitishia vijana wa Lowassa kama Ngeleja baadhi ya nyaraka (proposals) toka kwa wawekezaji inayohusiana na madini na nishati.

Licha ya Muhongo kushindwa kuiendesha wizara, hakuna mwekezaji anayekuja wizarani bila Lowasa kupewa taarifa. Safari zote na taarifa ya vikao vyote vya muhongo nje na ndani ya nchi mzee manywele anazo. Nimethibitisha kwa kuiona waraka mzito unaohusiana na maswala ya gesi aliyoletewa mheshimiwa rais mtarajiwa 2015. Ni Lowassa anaamua mradi gani upite au mradi gani upigiliwe msumari ndani ya jeneza. Ni mtandao mzito.

Hata mke wako yuko mfukoni kwa Lowassa.
 
Aliingia kwa mbwembwe, ukorofi na mashauzi. Akafika hatua ya kuwaita baadhi ya wabunge wala rushwa... Sasa anaangukia pua. Mzee wa Monduli na mtandao wake ndani ya wizara ya nishati na madini, wana kila waraka wa siri anayosaini Bw. Muhongo. Mtu mmoja aliyekaribu sana na Muhongo anawapitishia vijana wa Lowassa kama Ngeleja baadhi ya nyaraka (proposals) toka kwa wawekezaji inayohusiana na madini na nishati.

Licha ya Muhongo kushindwa kuiendesha wizara, hakuna mwekezaji anayekuja wizarani bila Lowasa kupewa taarifa. Safari zote na taarifa ya vikao vyote vya muhongo nje na ndani ya nchi mzee manywele anazo. Nimethibitisha kwa kuiona waraka mzito unaohusiana na maswala ya gesi aliyoletewa mheshimiwa rais mtarajiwa 2015. Ni Lowassa anaamua mradi gani upite au mradi gani upigiliwe msumari ndani ya jeneza. Ni mtandao mzito.
Daah!haya bana!
 
aliingia kwa mbwembwe, ukorofi na mashauzi. Akafika hatua ya kuwaita baadhi ya wabunge wala rushwa... Sasa anaangukia pua. Mzee wa monduli na mtandao wake ndani ya wizara ya nishati na madini, wana kila waraka wa siri anayosaini bw. Muhongo. Mtu mmoja aliyekaribu sana na muhongo anawapitishia vijana wa lowassa kama ngeleja baadhi ya nyaraka (proposals) toka kwa wawekezaji inayohusiana na madini na nishati.

Licha ya muhongo kushindwa kuiendesha wizara, hakuna mwekezaji anayekuja wizarani bila lowasa kupewa taarifa. Safari zote na taarifa ya vikao vyote vya muhongo nje na ndani ya nchi mzee manywele anazo. Nimethibitisha kwa kuiona waraka mzito unaohusiana na maswala ya gesi aliyoletewa mheshimiwa rais mtarajiwa 2015. Ni lowassa anaamua mradi gani upite au mradi gani upigiliwe msumari ndani ya jeneza. Ni mtandao mzito.

wala usihofu , tutamng'oa lowasa , muhongo na ccm yote .
 
ewe mwananch mwenye kadi ya kupigia kura tunza sana kadi yako asije mwovu akainyakua siku ikifika
 
Aliingia kwa mbwembwe, ukorofi na mashauzi. Akafika hatua ya kuwaita baadhi ya wabunge wala rushwa... Sasa anaangukia pua. Mzee wa Monduli na mtandao wake ndani ya wizara ya nishati na madini, wana kila waraka wa siri anayosaini Bw. Muhongo. Mtu mmoja aliyekaribu sana na Muhongo anawapitishia vijana wa Lowassa kama Ngeleja baadhi ya nyaraka (proposals) toka kwa wawekezaji inayohusiana na madini na nishati.

Licha ya Muhongo kushindwa kuiendesha wizara, hakuna mwekezaji anayekuja wizarani bila Lowasa kupewa taarifa. Safari zote na taarifa ya vikao vyote vya muhongo nje na ndani ya nchi mzee manywele anazo. Nimethibitisha kwa kuiona waraka mzito unaohusiana na maswala ya gesi aliyoletewa mheshimiwa rais mtarajiwa 2015. Ni Lowassa anaamua mradi gani upite au mradi gani upigiliwe msumari ndani ya jeneza. Ni mtandao mzito.

Acha porojo weka hapa huo waraka mzito.
 
Back
Top Bottom