Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,768
- 49,934
Upuuzi mtupu. Kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani. Lowasa kuwa na nyaraka za wizara kunaashiria vipi waziri kuwa mfukoni mwa Lowasa. Watanzania tuna matatizo makubwa sana, tunashindwa hata kutoa habari kwa namna inavyotakiwa.
Lowasa ni mbunge lakini pia ni mwenyekeiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nchi za nje, kuwa na nyaraka za wizara mbalimbali siyo tatizo na wala siyo jambo la ajabu.
Mimi nimewahi kuwa na mkataba wa uchimbaji wa madini ya dhahabu kati ya serikali na kampuni, niliupata kwa kupitia mwekezaji mwenyewe. Je, kwa fikra zako ina maana waziri au kampuni ipo mfukoni mwangu?
Moderator ondoa hii thread, hakuna cha maana.
Lowasa ni mbunge lakini pia ni mwenyekeiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nchi za nje, kuwa na nyaraka za wizara mbalimbali siyo tatizo na wala siyo jambo la ajabu.
Mimi nimewahi kuwa na mkataba wa uchimbaji wa madini ya dhahabu kati ya serikali na kampuni, niliupata kwa kupitia mwekezaji mwenyewe. Je, kwa fikra zako ina maana waziri au kampuni ipo mfukoni mwangu?
Moderator ondoa hii thread, hakuna cha maana.
Siasa za nchi hii hazinogi bila kutajwa kwa jina la lowassa!