Waziri Muhongo Mfukoni Mwa Lowassa

Waziri Muhongo Mfukoni Mwa Lowassa

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
Aliingia kwa mbwembwe, ukorofi na mashauzi. Akafika hatua ya kuwaita baadhi ya wabunge wala rushwa... Sasa anaangukia pua. Mzee wa Monduli na mtandao wake ndani ya wizara ya nishati na madini, wana kila waraka wa siri anayosaini Bw. Muhongo. Mtu mmoja aliyekaribu sana na Muhongo anawapitishia vijana wa Lowassa kama Ngeleja baadhi ya nyaraka (proposals) toka kwa wawekezaji inayohusiana na madini na nishati.

Licha ya Muhongo kushindwa kuiendesha wizara, hakuna mwekezaji anayekuja wizarani bila Lowasa kupewa taarifa. Safari zote na taarifa ya vikao vyote vya muhongo nje na ndani ya nchi mzee manywele anazo. Nimethibitisha kwa kuiona waraka mzito unaohusiana na maswala ya gesi aliyoletewa mheshimiwa rais mtarajiwa 2015. Ni Lowassa anaamua mradi gani upite au mradi gani upigiliwe msumari ndani ya jeneza. Ni mtandao mzito.
 
aliingia kwa mbwembwe, ukorofi na mashauzi.akafika hatua ya kuwaita baadhi ya wabunge wala rushwa... Sasa anaangukia pua. Mzee wa monduli na mtandao wake ndani ya wizara ya nishati na madini, wana kila waraka wa siri anayosaini bw. muhongo. mtu mmoja aliyekaribu sana na muhongo anawapitishia vijana wa lowassa kama ngeleja baadhi ya nyaraka (proposals) toka kwa wawekezaji inayohusiana na madini na nishati. licha ya muhongo kushindwa kuiendesha wizara, hakuna mwekezaji anayekuja wizarani bila lowasa kupewa taarifa. safari zote na taarifa ya vikao vyote vya muhongo nje na ndani ya nchi mzee manywele anazo. Nimethibitisha kwa kuiona waraka mzito unaohusiana na maswala ya gesi aliyoletewa mheshimiwa rais mtarajiwa 2015. Ni lowassa anaamua mradi gani upite au mradi gani upigiliwe msumari ndani ya jeneza. ni mtandao mzito.

Lowassa yupo ndani ya damu za watanzania,maafisa wa serikali na hata wengi wa mawaziri wanaripoti kwake
 
hatudanganyiki muzee wa richimond hapewi nchi kamwe kama huamini wait and see hata dr slaa anapewa kila kitu
 
Hayo ni mawazo yako utabaki hivyohivyo kuongea habari udaku na umbea muhongo ni bonge la waziri anayejua kazi yake vema.
 
Kwa akili yako fupi unadhani kupewa nyaraka ndiyo kuwa rais muulize mlema alitoka serikalini na nyaraka nyingi sasa aliishia wapi,twende kwa slaa altumia pesa nyingi kununua nyaraka za serikali muulize nini kilimkuta,usifikiri kila mwanaume anayemvua nguo msichana anamuoa la hasha wengine waishia hatua hiyo na kuwajengea majumba pamoja na kuwanunulia magari wanawaacha solemba.take care.
 
Kwa akili yako fupi unadhani kupewa nyaraka ndiyo kuwa rais muulize mlema alitoka serikalini na nyaraka nyingi sasa aliishia wapi,twende kwa slaa altumia pesa nyingi kununua nyaraka za serikali muulize nini kilimkuta,usifikiri kila mwanaume anayemvua nguo msichana anamuoa la hasha wengine waishia hatua hiyo na kuwajengea majumba pamoja na kuwanunulia magari wanawaacha solemba.take care.

umejibu kichangu zaidi
 
jamani mie lowassa hata angeniibia ........ yangu nitamchagua tu
 
Hayo ni mawazo yako utabaki hivyohivyo kuongea habari udaku na umbea muhongo ni bonge la waziri anayejua kazi yake vema.

Unahaki ya kusema hivyo kwa sababu kila anapo fanya Mikataba feki ana isuka kiasi kwamba watanzania watashtuka baadae sana wakati kesha maliza kila kitu sasa tusemeje kama si anaijua vema kazi yake ya UFISADI?
 
Lowassa yupo ndani ya damu za watanzania,maafisa wa serikali na hata wengi wa mawaziri wanaripoti kwake

nyie mrogwa au mmeshikiwa akili zenu...EL nahama nchi kama huyu atakuwa Raisi....
 
nyie mrogwa au mmeshikiwa akili zenu...EL nahama nchi kama huyu atakuwa Raisi....

Anza kukusanya mizigo kabisa maana ndio rais wako anayefuata penda usipende.
 
Hivi Kaskazini ni wapi (i mean ni maeneo yapi) inclusion yake ni wapi na wapi? Kanda hizi kusini,kaskazini,mashariki,magharibu, na zingine kama zipo ziina include wapi na wapi(maeneo yapi)? Tafadhali ni msaada tu ili nijue mie nipo kanda gani, ili nijiandae kula ama kuliwa, thanks
wazee wa bagamoyo hao wanapalilia azimio lao la rais wa 2015 asitoke kaskazini
 
Hatujadili Rais wa 2015 as Tayari ni Sokoine Jr, Mjadala uwe nani atamrithi Edo 2025!
 
Ni kwel ila watu hawaamini ila ndiye Rais anayefuata, mbaya zaidi wa chadema anatoka kaskazini na wa CCM kaskazini tena mkoa mmoja, patamu hapo sijui itakuwaje, tusubiri, mimi niko arusha, japo kuwa mimi ni mfuasi wa chadema ila kura yangu nintampa lowasa kwani kimsingi ni mtu shupavu asiye na uwoga, mwenye maamuzi, mchapa kazi na mchukua hatua, japokuwa ni fisadi ila naamin akiwa rais hawezi kuiba tena,
 
Aliingia kwa mbwembwe, ukorofi na mashauzi. Akafika hatua ya kuwaita baadhi ya wabunge wala rushwa... Sasa anaangukia pua. Mzee wa Monduli na mtandao wake ndani ya wizara ya nishati na madini, wana kila waraka wa siri anayosaini Bw. Muhongo. Mtu mmoja aliyekaribu sana na Muhongo anawapitishia vijana wa Lowassa kama Ngeleja baadhi ya nyaraka (proposals) toka kwa wawekezaji inayohusiana na madini na nishati.

Licha ya Muhongo kushindwa kuiendesha wizara, hakuna mwekezaji anayekuja wizarani bila Lowasa kupewa taarifa. Safari zote na taarifa ya vikao vyote vya muhongo nje na ndani ya nchi mzee manywele anazo. Nimethibitisha kwa kuiona waraka mzito unaohusiana na maswala ya gesi aliyoletewa mheshimiwa rais mtarajiwa 2015. Ni Lowassa anaamua mradi gani upite au mradi gani upigiliwe msumari ndani ya jeneza. Ni mtandao mzito.

May you bring the source mkuu?
 
Ni kwel ila watu hawaamini ila ndiye Rais anayefuata, mbaya zaidi wa chadema anatoka kaskazini na wa CCM kaskazini tena mkoa mmoja, patamu hapo sijui itakuwaje, tusubiri, mimi niko arusha, japo kuwa mimi ni mfuasi wa chadema ila kura yangu nintampa lowasa kwani kimsingi ni mtu shupavu asiye na uwoga, mwenye maamuzi, mchapa kazi na mchukua hatua, japokuwa ni fisadi ila naamin akiwa rais hawezi kuiba tena,

Ni lini ulishawahi kuwa CHADEMA wewe?
 
Back
Top Bottom