Waziri Muhongo anasa bil. 400/-

Waziri Muhongo anasa bil. 400/-

hahaha, hapa mtu anajifagilia... wala sio issue muhimu..
 
Mkuu politiki,
UNgetoa hiyo link ili tuweze kujadili vizuri coz' there's something missing kwenye hiyo $60 billion. Je, hiyo $60billion ni equivalent to what Ophir owned before (14%) or equivalent to total project? Take it from me, there's something missing.

kwako NASDAZ, Easy nenda kwy NYSE Commodity exchange market utakuta latest price zote na pia nimea under estimate price a little bit kwani it is more than $4 per 1000cft kwahiyo piga hesabu ya 15 trillioni cubic feet utapata jawabu kirahisi. kitaalamu ni engineer wa mambo ya electronics lakini nikaishia kufanya kazi ya kuandaa AFE unajua tena ukifanya kazi kwy kampuni ndogo unajikuta you find yourself wearing too many hats. mpaka ujue thamani ya kitu unachouza in this case ni ownership exchange kwahiyo ni muhimu kuona mkataba mzima ukoje otherwise ni ngumu kujua faida au hasara but i am sure ORPHIR in this deal has made itself enormous amount of money. kazi yangu ilikuwa ni ku negotiate AFE ngumi huwa zinapigwa mezani.
 
Kwani wameuza gesi au wameuza vitalu (deposits)...kama ni vitalu jua kuna cost ya uchimbaji; hiyo amount ni estimation ya deposits...gesi inategemea kuanza kupatikana 2020

kasome article vizuri wamesema amount ya gas ambayo ni 15 trilion cubic feet. kwa taarifa yako ni kwamba amount ya gas inajulikana or can be estimated wakati iko reservoir/payzone.

Thanks
 
Mkuu politiki,
UNgetoa hiyo link ili tuweze kujadili vizuri coz' there's something missing kwenye hiyo $60 billion. Je, hiyo $60billion ni equivalent to what Ophir owned before (14%) or equivalent to total project? Take it from me, there's something missing.

you got to see the appraisal otherwise it is difficult ku pass judgement kama muhongo has done a good job or not ?? wanaosema tumefaidika they don't know what they are talking about kwani pavvillion beleive me wameonyeshwa appraisal na ndio maana wamenunua licha ya kwamba hili ni soko bichi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
kwako NASDAZ, Easy nenda kwy NYSE Commodity exchange market utakuta latest price zote na pia nimea under estimate price a little bit kwani it is more than $4 per 1000cft kwahiyo piga hesabu ya 15 trillioni cubic feet utapata jawabu kirahisi. kitaalamu ni engineer wa mambo ya electronics lakini nikaishia kufanya kazi ya kuandaa AFE unajua tena ukifanya kazi kwy kampuni ndogo unajikuta you find yourself wearing too many hats. mpaka ujue thamani ya kitu unachouza in this case ni ownership exchange kwahiyo ni muhimu kuona mkataba mzima ukoje otherwise ni ngumu kujua faida au hasara but i am sure ORPHIR in this deal has made itself enormous amount of money. kazi yangu ilikuwa ni ku negotiate AFE ngumi huwa zinapigwa mezani.
Mkuu politiki,
Ngoja nijaribu kuzipata hizo quotation manake kila niki-google, natoka kapa but I'll do my best coz' this gas stuff is the topic of my interest! Sijui ulikuwa wapi siku zote wakati tunajaribu hii mijadala ya gas manake sijawahi kukuona...punguza yale mambo ya akina CHADEMA na CCM, uwe unapita pita na huku tujadili mambo kama haya!!
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama ni estimation ya kitu kilichoko ardhini si unabidi utoe cost ya uchimbaji ili ujue faida? Au hizi estimation ni za profit?


kasome article vizuri wamesema amount ya gas ambayo ni 15 trilion cubic feet. kwa taarifa yako ni kwamba amount ya gas inajulikana or can be estimated wakati iko reservoir/payzone.

Thanks
 
Sasa kama ni estimation ya kitu kilichoko ardhini si unabidi utoe cost ya uchimbaji ili ujue faida? Au hizi estimation ni za profit?

unapothaminisha nyumba kabla ya kuiuza si unaweka na gharama zako za ujenzi au vipi?? kwahiyo ninavyokupa estimate basi everything have been factored in. Pavillion sio wajinga kununua kitu mahala ambapo hawana uzoefu nako na kama alivyosema mtaalam wa mambo ya gas Tony Regan kwamba hili ni bichi kwy biashara ya gas. Tony Regan is wrong kwani hajui Pavillion wameona nini mpaka wakaamua ku take such big risk according to him. huenda hajui kuwa Tanzania is among the most corrupted countries in the world. ingekuwa nchi zingine zinazoamini ktk free market tungeona kampuni zinabidi kupata the highest bidder but in TANZANIA only you have to do is to stick peanut money into one politician pocket like Muhongo umemaliza kazi.
 
Ma wao wamepata asilimia ngapi?

sisi tumepata less than one percent ya thamani ya gas iliyouzwa ili kujua profit you got to see the appraisal ambayo serikali for some reason hawataki kutuonyesha
 
basically kuna mikataba ya aina 4 kwy biashara ya gas. kilichosainiwa bongo kwa mujibu wa JK ni Production sharing agremeent au kwa jina lingine production sharing contract ni kwamba the govt does not spend any money ktk process nzima kwahiyo in PSA, the investor receive full cost from producton then sharing the profit with govt(65% and 35%)
hakuna cha tax wala nini everything has been build in 65% or 75% kilichofanyika kwy deal hili hakiendani na PSA kwa sababu hii ilikuwa ownership change bila production kuwa involved until 2020.
 
Kusema nyumba ina thamani ya milioni 200 haina maana kuwa muuzaji anapata faida milioni 200...mimi ni mfuatiliaji wa maswala ya extractive industry ndio maana nimetaka kujua how do they state these estimates? Kwa uelewa wangu wanaongelea gross....

Tunaweza kuwa ni kweli tumeibiwa ila nina wasiwasi kuwa kunaweza kuwa na ku overstate hiyo amount


unapothaminisha nyumba kabla ya kuiuza si unaweka na gharama zako za ujenzi au vipi?? kwahiyo ninavyokupa estimate basi everything have been factored in. Pavillion sio wajinga kununua kitu mahala ambapo hawana uzoefu nako na kama alivyosema mtaalam wa mambo ya gas Tony Regan kwamba hili ni bichi kwy biashara ya gas. Tony Regan is wrong kwani hajui Pavillion wameona nini mpaka wakaamua ku take such big risk according to him. huenda hajui kuwa Tanzania is among the most corrupted countries in the world. ingekuwa nchi zingine zinazoamini ktk free market tungeona kampuni zinabidi kupata the highest bidder but in TANZANIA only you have to do is to stick peanut money into one politician pocket like Muhongo umemaliza kazi.
 
Waheshimiwa mnachanganya mambo,

Capital gain haina uhusianon na Faida au hasara inayopatikana kwenye Mauzo ya gesi ikianza kuchimbwa,ni kodi inayotozwa kwenye ubadilishaji au uongezaji wa mtaji.
Hao pavillion gesi ikianzwa kuchimbwa wataambulia asilimia 20 ya asilimia wanazomiliki Ophir kwenye kitalu kizima,Kuwa na Duka lenye Mafuta ya thamani ya $60B hakukufanyi mwenye duka kupata faida ya $60B.That is beyond impossible.Knweye biashara nyingi duniani , Thamani ya faida huwa mara 10/13 ya mapato. Hii ni kwa kampuni inayofanya vizuri sana.kwa maana ya kuwa, mapato ya $60B yatatarajiwa kuleta faida isiyozidi $7B.Kwa mantiki hii bei ya $1.3B ni sawa kabisa,naamini tena ni bei nzuri kwa kuwa watakuwa wameangalia future pricing(10-25yrs) ya gas ambayo iko kwenye upward trajectory pamoja na inflation etc.

kwa upande wa pili habari hii inaonesha ni jinsi gani Tanzania inatakiwa ijizatiti na hii neema ya gesi,si mara zote utasikia $1.3B transaction, hizi ni transaction nadra,na kwa mambo yanavyoenda si chini ya 10 zitakuwa zinatokea Tanzania kwa miaka 5-10 ijayo.

Tanzania kuendelea kubakia masikini baada ya miaka 20 ijayo kutahitaji UJUHA wa kiwango cha juu zaidi.UJUHA uliotukuka.bahati mbaya viongozi wetu hawajawahi kutuangusha kuutumia UJUHA wao.

yetu macho.
 
Haya madubwasha ya Gesi yanahitaji Mitaji mikubwa, hivyo hii transaction inaweza kuwa ni a simple act of injecting liquidity na ku-improve cashflow,ama kwa kureact na market position ya key players au ku-strengthen core operations zao.

kwa vyovyote vile hakuna kampuni inayotumia >$1.3B, bila kufanya "out of this world" due diligence,hii ni incredible stamp of approval to Tanzania and the gas industry. in another language, TPDC's 65% in the said block is worth no less than $30B.
This is almost our entire GDP,whoever is calculating our GDP,has some serious maths to do,as in 5 years time they will have lots of crunching to do.

Few companies in Africa can boast that kind of net worth, it is time that TPDC OIL/GAS company to come to life as soon as possible. having a $100B gorilla in East Africa will surely make Tanzania a Formidable force
 
Ezekiel Kamwaga | Raia Mwema - Toleo la 331 | 25 Dec 2013


Mauzo ya hisa hizo yanatarajiwa kuiingizia Ophir kiasi cha dola bilioni 1.3 (shilingi trilioni mbili) na kutokana na mauzo hayo, Tanzania itapata kiasi cha dola milioni 260 (shilingi bilioni 400) kama kodi.

Uzuzu wa CCM na watu wake huwa unakera sana! Yaani akina Motto Mubanga, Mkapa, Yona, Mramba, Membe wametengeneza Zaidi ya Trillion 2 kwa kuuza vitalu ambavyo hata uzalishaji haujaanza ninyi mnashangilia? kweli?...
 
Waheshimiwa mnachanganya mambo,

Capital gain haina uhusianon na Faida au hasara inayopatikana kwenye Mauzo ya gesi ikianza kuchimbwa,ni kodi inayotozwa kwenye ubadilishaji au uongezaji wa mtaji.
Hao pavillion gesi ikianzwa kuchimbwa wataambulia asilimia 20 ya asilimia wanazomiliki Ophir kwenye kitalu kizima,Kuwa na Duka lenye Mafuta ya thamani ya $60B hakukufanyi mwenye duka kupata faida ya $60B.That is beyond impossible.Knweye biashara nyingi duniani , Thamani ya faida huwa mara 10/13 ya mapato. Hii ni kwa kampuni inayofanya vizuri sana.kwa maana ya kuwa, mapato ya $60B yatatarajiwa kuleta faida isiyozidi $7B.Kwa mantiki hii bei ya $1.3B ni sawa kabisa,naamini tena ni bei nzuri kwa kuwa watakuwa wameangalia future pricing(10-25yrs) ya gas ambayo iko kwenye upward trajectory pamoja na inflation etc.

kwa upande wa pili habari hii inaonesha ni jinsi gani Tanzania inatakiwa ijizatiti na hii neema ya gesi,si mara zote utasikia $1.3B transaction, hizi ni transaction nadra,na kwa mambo yanavyoenda si chini ya 10 zitakuwa zinatokea Tanzania kwa miaka 5-10 ijayo.

Tanzania kuendelea kubakia masikini baada ya miaka 20 ijayo kutahitaji UJUHA wa kiwango cha juu zaidi.UJUHA uliotukuka.bahati mbaya viongozi wetu hawajawahi kutuangusha kuutumia UJUHA wao.

yetu macho.

hakuna mtu aliyesema faida yake ni $ 60 billioni hapana, nimekuja nayo mimi kutokana na recent price of gas kwenye commodity exchange ndani ya NYSE.
Unasema price ya US $ BILLIONI 1.3 ni Right according to who?? according to ophir??
where is the appraisal ??? According to the article this was no bidd contract?? how can one be sure on price if there was no bidding process conducted by each part ??? serikali kama ime approve tunataka kujua imeapprove kwa kutumia vigezo gani ?? hapo ndipo namuingiza politician muhongo ameshauri serikali kukubali bei kwa sababu orphil imesema hivyo au market research analysis imewafanya kufikia hii conclusion ??? kwahiyo kama ni 10% basi amekula eneo hili.
kimweri nataka majibu ya kushiba jina kubwa sana hilo most of kimweri's i came across are genius and supersmart.
 
Watu wenye uwezo finyu wa kuelewa wanaruka huku na kule kushangilia eti tumepata sh bilioni 400 out of $1.3 billion * 1,600= Shilingi 2,080,000,000,000 kwa maana nyingine rasilimali yetu imeifaidisha kampuni ya nje na kuweza kujizolea shilingi 1,680,000,000,000 (Trillioni 1.68) kweli wajinga ndio waliwao. Ushauri wangu capital gains iongezwe na kufikia 50% ili tufaidike zaidi badala 20%, ingekuwa capital gains ni 50% badala ya 20% basi nchi ingepata Shilingi Trilioni 1.04, shilingi bilioni 600 zaidi na ushee.

Waliofaidika hapa ni muuzaji na mnunuzi sisi tumelamba JOKER, halafu tunakenua Mungu tumekukosea nini watanzania, mbona mbona ni kama vile umeweka pamba katikati ya sikio moja na jingine badala ya ubongo.

Mungu tupe akili tujue kuwa tunadhulumiwa
 
Waliofaidika hapa ni muuzaji na mnunuzi sisi tumelamba JOKER, halafu tunakenua Mungu tumekukosea nini watanzania, mbona mbona ni kama vile umeweka pamba katikati ya sikio moja na jingine badala ya ubongo.

Mungu tupe akili tujue kuwa tunadhulumiwa

you are absolutely right !!

Others are playing guessing game
hujui valuation unadai faida/hasara unajuwaje ??
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Najua kuna vitu kama EITI kwenye hii industry...sasa unataka kusema wame exchange pesa chini ya carpet?

Wanaweza kughushi malipo kirahisi wakati haya makampuni yako traded publicly?

Najua kuna limit ya uongo as far as kampuni iko registered kama public company...ndio maana hata kina BAE waliumbuka...


hakuna mtu aliyesema faida yake ni $ 60 billioni hapana, nimekuja nayo mimi kutokana na recent price of gas kwenye commodity exchange ndani ya NYSE.
Unasema price ya US $ BILLIONI 1.3 ni Right according to who?? according to ophir??
where is the appraisal ??? According to the article this was no bidd contract?? how can one be sure on price if there was no bidding process conducted by each part ??? serikali kama ime approve tunataka kujua imeapprove kwa kutumia vigezo gani ?? hapo ndipo namuingiza politician muhongo ameshauri serikali kukubali bei kwa sababu orphil imesema hivyo au market research analysis imewafanya kufikia hii conclusion ??? kwahiyo kama ni 10% basi amekula eneo hili.
kimweri nataka majibu ya kushiba jina kubwa sana hilo most of kimweri's i came across are genius and supersmart.
 
hakuna mtu aliyesema faida yake ni $ 60 billioni hapana, nimekuja nayo mimi kutokana na recent price of gas kwenye commodity exchange ndani ya NYSE.
Unasema price ya US $ BILLIONI 1.3 ni Right according to who?? according to ophir??
where is the appraisal ??? According to the article this was no bidd contract?? how can one be sure on price if there was no bidding process conducted by each part ??? serikali kama ime approve tunataka kujua imeapprove kwa kutumia vigezo gani ?? hapo ndipo namuingiza politician muhongo ameshauri serikali kukubali bei kwa sababu orphil imesema hivyo au market research analysis imewafanya kufikia hii conclusion ??? kwahiyo kama ni 10% basi amekula eneo hili.
kimweri nataka majibu ya kushiba jina kubwa sana hilo most of kimweri's i came across are genius and supersmart.

Good, i made numbers based on you assumption to drive home a point. Again you are mixing up two things. Microsoft did not have to Bid to acquire part of Nokia Operations,GMC's do not have to bid if it was not a government contract.Remember this was not a public sale of whatever Ophir had.This was an internal sale of Ophir interest in the block. Pavilion is not Taking over the contract from Ophir, it is merely injecting cash and in the process it is becoming a shareholder of the whole thing,appraisal wanafanya serikali ya Tanzania, mara baada ya hao waheshimiwa kupokea taarifa za hiyo offer.Kumbuka transaction haitapita bila kuwa approved na Serikali ya Tanzania,serikali ya Marekani (where the company is listed) na serikali za nyumbani za makampuni husika.

Nafahamu tuna paranoia ya kudhulumiwa na hawa mafisadi kwenye kila aina ya deal hapa Tanzania, lakini kwa hili nasimama na Serikali yetu,kama kosa, basi litafanywa na Ophir na Pavilion, and they would not want to risk their $100B+ businesses for $1B, especially when it is involving the US. We all knew what happened to BAE.

What might happen is Muhongo and Team might receive a few mils to fasten up the deal, but there is no way kwa mfano Pavilion can buy the shares for $5B and report it as $1.3B, a billion Dollars is a lot of money to hide under the carpet. a few millions,up to ten can easily be hidden under facilitation, and that's about it.
 
Good, i made numbers based on you assumption to drive home a point. Again you are mixing up two things. Microsoft did not have to Bid to acquire part of Nokia Operations,GMC's do not have to bid if it was not a government contract.Remember this was not a public sale of whatever Ophir had.This was an internal sale of Ophir interest in the block. Pavilion is not Taking over the contract from Ophir, it is merely injecting cash and in the process it is becoming a shareholder of the whole thing,appraisal wanafanya serikali ya Tanzania, mara baada ya hao waheshimiwa kupokea taarifa za hiyo offer.Kumbuka transaction haitapita bila kuwa approved na Serikali ya Tanzania,serikali ya Marekani (where the company is listed) na serikali za nyumbani za makampuni husika.

Nafahamu tuna paranoia ya kudhulumiwa na hawa mafisadi kwenye kila aina ya deal hapa Tanzania, lakini kwa hili nasimama na Serikali yetu,kama kosa, basi litafanywa na Ophir na Pavilion, and they would not want to risk their $100B+ businesses for $1B, especially when it is involving the US. We all knew what happened to BAE.

What might happen is Muhongo and Team might receive a few mils to fasten up the deal, but there is no way kwa mfano Pavilion can buy the shares for $5B and report it as $1.3B, a billion Dollars is a lot of money to hide under the carpet. a few millions,up to ten can easily be hidden under facilitation, and that's about it.

kwanza nashukuru kwa majibu mazuri ha hasa kifungu chako cha mwisho hata mimi nakubaliana nawe.
ila mpk sasa hatufahamu na hata kwy majibu ujaonyesha bei ya US DOLLAR YA 1.3 BILLION ILIPATIKANAJE kwa maana serikali ya Tanzania kama vile Nokia wanao uwezo wa kuikataa bei hiyo kwa kuamua ku hire kampuni kufanya valuation ili kujiridhisha kama price hiyo ina meet market value. sija confuse kuhusu haya mauzo na

Once again hatuwezi kutoa madai ya serikali kupatia au kutokupatia kama hatujui market valuation ya mgao huu aliyepata faida ni muuzaji ambaye ni ophir na mnunuzi pavillion. serikali ya Tanzania bado ni questionable.
 
Back
Top Bottom