Waziri Muhongo anasa bil. 400/-

Waziri Muhongo anasa bil. 400/-

Tatizo letu watanzania hatupendi kuambiwa ukweli hasa na watanzania wenzetu. tumekuwa watu wa siasa wakati wote hata kwenye mambo ambayo siyo ya kisiasa. tunahitaji watu wa kutuambia hard truth ituume na mwisho tuifanyie kazi na siyo kulalama tu wakati dunia inakimbia kama usain bolt
Kweli aisee jamaa kasema ukweli Mengi (hapa anawakilisha wawekezaji wazawa) anafanya biashara ya juice na maandazi, hawezi biashara za kimataifa.. pesa zake hazifai kuzungumzwa kwenye level ya kimataifa.. huo ndio ukweli...

Hata Juzi Mengi (hapa anawakilisha wawekezaji wazawa) aliponunua hisa kwenye kampuni ya kuchimba mafuta na gesi ilikuwa uzushi tu.. hawezi hata siku moja kufanikiwa kuwekeza kwenye gesi na mafuta hata kwa kusaidiwa na serikali.
 
Kwenye hili mwenye kustahili pongezi ni Mhe.Zitto Kabwe na siyo Muhongo maana si chanzo cha jambo husika.
 
HABARI KAMILI HII HAPA: Source = Ophir Sells Tanzanian Gas Rights to Singapore Firm for $1.3 Billion - WSJ.com

Ophir Sells Tanzanian Gas Rights to Singapore Firm for $1.3 Billion

State-Owned Pavilion Gets 20% of Big Find as Asia's Quest for African Energy Continues EmailPrintSave

By Alexis Flynn
Updated Nov. 14, 2013 4:41 a.m. ET

Ophir Energy PLC has sold a share of a giant natural-gas discovery off the coast of Tanzania to state-owned Pavilion Energy Pte. Ltd. of Singapore for $1.3 billion, U.K.-based Ophir said Thursday.

Shares in Ophir were up 10% at 364.07 pence in late London trading.

The deal is the latest in a string of acquisitions by energy-hungry Asian nations in East Africa.

It marks the first major deal in Tanzania's natural-gas sector, underscoring the quality of the assets and setting a benchmark for future transactions, analysts said.

Giant gas discoveries in Tanzania and neighboring Mozambique have sparked intense interest from Chinese, Indian and Thai state-run companies, eager to secure long-term natural-gas supplies for their fast growing economies.

Pavilion, which is owned by Singapore state investment fund Temasek, will get a 20% share of Ophir's licenses in Blocks 1, 3 and 4, located in waters off the coast of Tanzania. The deal is contingent on Tanzanian government approval.
For London-listed wildcatter Ophir, the sale is an opportunity to cash in on some of the huge discoveries it has made in Tanzania. "The sale is consistent with our strategy of adding value in the exploration and appraisal phase," Ophir Chief Executive Nick Cooper said.

This is Pavilion Energy's first overseas investment in upstream energy assets and helps parent company Temasek in its efforts to expand its energy-related holdings. The transaction also will help Singapore in its goal to diversify its energy supplies and become a hub for liquefied natural gas. Singapore currently relies on neighboring Indonesia and Malaysia for the bulk of its gas imports. The city state is dependent on gas supply for about 85% of its electricity generation.

Pavilion said it was looking forward to working with Ophir and its partner, BG Group PLC, which has said it plans to build a liquefied-natural-gas plant on the Tanzanian coast to ship the fuel to Asia.

"The natural-gas developments in Tanzania hold tremendous potential-not just for Pavilion Energy, but for Singapore and Asia," Pavilion said.

A flurry of multibillion-dollar deals in the past 18 months have followed discoveries along the East African coast. In March, Italy's Eni SpA agreed to sell a 20% stake in its Mozambique license to China National Petroleum Corp. for $4.21 billion, while U.S. company Anadarko Petroleum Corp.recently sold a 10% stake in its Mozambique license to India's Oil & Natural Gas Corp.for $2.64 billion.

Last year, Royal Dutch Shell PLC was thwarted in its attempts to get a foothold in the region after it was outbid by Thailand's PTT Exploration & Production, which bought out junior Anadarko partner Cove Energy PLC for $1.8 billion.

-Selina Williams in London and P.R. Venkat in Singapore contributed to this article.
 
Alivyo NASA ni za kwake? Ina Maana zisingenaswa? POOR Tanzanians...

Acha niende barabarani nikatafute sheli inayojaza mafuta ya ndege. Most of us are like that, kama hiyo ni kodi aliyeuza kavuta ngapi? nngu kama mtu wa Mungu kimbia kamuombe Mungu wako atusaidie watanzania na vizazi vijavyo vinginevyo jidunge na valuer
 
  • Thanks
Reactions: BAK
ww ni mjinga plus. mbona unajijibu na kujikanusha?? au umesahau kubadisha ID? tumia kichwa kufikiri pia sio kufuga tu nywele

Ndio sizioni zinakwenda wapi OHH CCM wananunua Mashangingi na kumualika DIAMOND Marekani kutumbuiza na kuhonga wapinzani???
 
Inawezekana mimi sijui ila katika Trillion 2 ya mali yetu tunaambulia Bil 400?
Am I dumb or what? Nisaidieni kunielimisha hapa sijaelewa kabisa!
 
Ezekiel Kamwaga | Raia Mwema - Toleo la 331 | 25 Dec 2013


TANZANIA inatarajia kupata mgawo wa takribani shilingi bilioni 400 kutokana na mauzo ya hisa yaliyofanywa na kampuni ya Ophir kwa kampuni ya Pavillion katika vitalu vya gesi vilivyopo nchini, Raia Mwema limeambiwa.

Kampuni ya Ophir inamiliki asilimia 40 ya hisa katika vitalu namba 1, 3 na 4 huku asilimia nyingine 60 ikimilikiwa na kampuni ya BG, lakini Ophir wameamua kuuza hisa zao 20, mwaka huu.


Mauzo ya hisa hizo yanatarajiwa kuiingizia Ophir kiasi cha dola bilioni 1.3 (shilingi trilioni mbili) na kutokana na mauzo hayo, Tanzania itapata kiasi cha dola milioni 260 (shilingi bilioni 400) kama kodi.


Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufaidika na mauzo ya hisa za rasilimali zake kupitia Kodi ya Ongezeko la Mtaji (Capital Gain Tax) ambayo ilipitishwa na Bunge mwaka jana.

Kodi hiyo ilipitishwa na Sheria ya Fedha (Finance Act) ya mwaka 2012 baada ya kuwasilishwa kama mapendekezo binafsi na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe na kisha Bunge kuridhia.

Katika miaka ya nyuma, Tanzania haikuwa ikifaidika na mauzo yoyote ya hisa kwa makampuni yanayouziana rasilimali zake kwa sababu Kodi hiyo ya Ongezeko la Mtaji haikuwepo.


Kwa sababu mauzo hayo ya hisa yana thamani ya dola hizo bilioni 1.3, serikali ya Tanzania inatakiwa kupata asilimia 20 ya kiasi hicho ambayo ni dola milioni 260.

Akizungumza na Raia Mwema wiki hii, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, alisema wanatarajia kupata fedha hizo wakati wowote mauzo hayo yatakapopitishwa.

"Inategemea na namna hao wanaouziana hisa watakavyokubaliana lakini sisi tunafahamu tu kwamba wakimalizana, yetu itakuwa asilimia 20. Kwa vyovyote vile, inaonekana mauzo yanaweza kufanyika kwenye robo ya kwanza ya mwaka ujao wa 2014," alisema Simbachawene.


Ophir ina makao yake makuu katika miji ya London, Uingereza na Perth nchini Australia na kwa mujibu wa tovuti yake, ilianzishwa mwaka 2004. Kampuni ya Pavillion Energy inamilikiwa na serikali ya Singapore.


Vitalu ambayo vimeuzwa katika uuzianaji huo vinaelezwa kuwa na ujazo wa mita za ujazo trilioni 15 na mauzo hayo pia yameenda sambamba na uuzaji wa hisa nyingine 17.6 katika makampuni yatakayokuwa yakifanya biashara za gesi hiyo hapa nchini.


Kwa mujibu wa Simbachawene, makampuni hayo matatu ni Ruvuma Pipeline Company Limited, Mzalendo Gas Processing Company Limited na Fahari Marketing Limited.


Simbachawene alisema nia ya serikali kwa sasa ni kutaka kutumia fedha hizo kwa ajili ya kulipa madeni na kuliboresha Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), ingawa alisema itategemea pia na mahitaji mengine yatakayokuwepo wakati fedha hizo zitakapopatikana.


"Hizi ni fedha za Watanzania wote na si za wizara yetu pekee. Tunataka kuliwezesha shirika letu la umeme ili lifanye kazi vizuri na kuboresha upatikanaji wa nishati ya umeme kwa watu wengi zaidi.


"Hata hivyo, sisemi kwamba ni hela zote zitatumika kwa kazi hiyo au la lakini kuna mawazo hayo. Mambo mengine serikali itaamua kutokana na wakati fedha hizo zitakapopatikana. Huwezi kujua kutakuwa na nini wakati huo," alisema Naibu Waziri huyo.


Alisema kwa miaka ya nyuma, Tanzania isingepata kitu kutokana na sheria zilizokuwepo na akasema serikali itajitahidi kuboresha sheria zake ili kuhakikisha inafaidika na utajiri uliokuwepo.


Mmoja wa wachambuzi wa masuala ya gesi aliyehojiwa na mtandao wa Bloomberg kuhusiana na uuzaji huu wa hisa, Tony Regan wa kampuni ya Tri Zen Inc alisema uamuzi wa kununua hisa hizo ni wa "roho ngumu" kwa sababu Tanzania ni eneo bichi kwenye sekta ya gesi.


"Mpaka sasa hakuna sheria rasmi iliyopitishwa kuhusiana na masuala ya gesi na hivyo Singapore inaingia katika eneo bichi kabisa katika sekta hii. Kumbuka pia kwamba gesi ya kwanza itaanza kuvunwa mwaka 2020 kutoka kwenye vitalu hivyo na utaona kwamba huu ni uamuzi mzito," alisema.

CHANZO
: Raia Mwema - Waziri Muhongo anasa bil. 400/-

Efforts pay off: Tanzania: Activists Want Barrick Taxed On Gains | PWYP [h=1]Tanzania: Activists Want Barrick Taxed On Gains[/h]Source: All Africa
Date: 22 Aug 2012
STAKEHOLDERS have called for the government to hurriedly charge and collect Capital Gains Tax from the African Barrick Gold (ABG) following reports that its mother company, Barrick Gold, intends to sell off its stakes to a Chinese investor.
The move follows information reported by foreign and local media last week that ABG had resolved to sell its 74 per cent stake in the Africa Barrick Gold (ABG) to the Chinese state owned China National Gold (CNG).
Concern for Development Initiatives in Africa (ForDIA) through its Publish What You Pay (PWYP) coalition was bitter over the move and warned in a statement yesterday that the 20 per cent property gains tax should be collected before the company packs and leaves.
"We remind and urge the government to set a strategy that will ensure recovery of 20 per cent capital gains tax and corporate tax arrears from ABG simultaneous with CNG acquisition of ABG goldmines," the statement stated in part.
According to ForDIA Executive Director, Mr Buberwa Kaiza, it has already been confirmed that Barrick Gold and ABG executives have started negotiations with CNG which might culminate in the latter's total acquisition of the former.
He said PWYP-Tanzania Coalition is of the opinion that ABG preparations to exit the country is something to worry, as it relates to government's competence to enforce payment of 20 per cent capital gains tax.
The capital gains tax refers to gains from the disposal of Tanzanian assets by non-residents, which is charged at 20 per cent on the realized net gains.
"Secondly, PWYP-Tanzania is worried whether the government has learnt any lessons with regards to achieving the goal of free fiscal regime offers to foreign large scale mining companies," he said.
"It is perplexing and inconceivable for the government to offer free tax incentives to richer multinational corporations, bankrolling the multinationals to make profits and later exit at their will without paying significant taxes to the government," the ForDIA boss noted.
According to the statement, PWYP-Tanzania coalition considers tax incentives offered to foreign large scale mining companies unjustifiable and looks forward to see a competitively, transparently and accountably transacted ABG-CNG deal.
Reports have it that ABG is cross listed at the London and Dar es Salaam Stock Exchange Markets with the total value of 2 billion US dollars, but since Initial Public Offer (IPO) was launched in March 2010, ABG has only operated in Tanzania with investments in Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited and Pangea Minerals operating Tulawaka and Buzwagi goldmine projects.
The Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative (TEITI) reports published in 2011 and 2012 exposed ABG's tax payment history, showing that ABG does not pay the 30 per cent corporate tax it is obliged to the government.
A statement quoting ABG Chief Executive Officer, Mr Greg Hawkins, early last year indicated ABG's net profit rose by 237 per cent during 2010 to 222.6 million US dollars (over 330bn/-) from 66 million US dollars in the previous year, meaning Tanzania would have received 66.78 million US dollars had ABG paid its 30 per cent corporate tax obligation.
 
what is 400 bn?c/o na Qtty Qlty of our gas?? Huu ni ufinyu wa kufikri @kutumia rasilimali zetu! Jamaa kalamba zake ten percent na kusepa,rasilimali zooote ikiwemo gas itahamia nje kitakachobaki kwetu ni sifa tu,ooohTz nchi ya amani,ooooh tunajivunia raslilmali zetu,mara oooh tuna gasi,mara tuna tunu,huu wizi hauvumilikiki hata sekunde!
Watu kam nyie wenye mawazo ya ujima msiwe mnapost ujinga wenu kwenye issu kama hiz! Pamoja a kuela vizurikabisa hiyo fedha itapatkaaje wewe unabeza! Ulitaka wauziane hizohisa na serikaliisipate chochote kama tulivyokuwa tunatapeliwa kwenye mahoteli na makampuni ya simu? Nawapongez waungsheria wetu kwa kutunga hiyo sharia! Sasa wewe ulitaka wafanyeje? Toa alternative na siyo kulalamika halafu hujui hata unacholalamikia! Sheni taipu! Bustard!
 
Inawezekana mimi sijui ila katika Trillion 2 ya mali yetu tunaambulia Bil 400?
Am I dumb or what? Nisaidieni kunielimisha hapa sijaelewa kabisa!

They say, ..... try ignorance, if you think education is expensive. There are such terms as 'tream of income' to gpvernments, as well as 'total Govt take'. ... it is all about the economics of oil, gas or minerals operations. 400/-bn just mere tiny of entire stream of revenue for Tanzania in the next 5-10 years when the country becomes fully natural gas economy operational. May be Google may be of help to you.
 
Kuna kina mengi wangapi wanaweza hivyo. mimi ninadhani nchi hii inapaswa kuwa na mengi wengi sana.
kuungandisha uchumi wote kwa wazawa 2-3 haitasaidia. mimi ninadhani kungekuwepo na credit finance scheme ambapo kwenye maeneo yaliyonauhakika ya madini hayo basi wananchi wapewe mikopo ili wanunue hisa kwenye makampuni hayo na hisa hizo zishikiliwe na benki hizo kama dhamana hadi deni litakapo kamilika kupitia gawio.
 
Kwani sisi kama nchi hatuna hisa kwenye hivyo vitalu? tuliwauzia au walichukua bure
Kimsingi, Tanzania hapo haijapoteza chochote...kwenye hii mikataba, TPDC/Tanzania wanakuwa na 65% na mwekezaji anakuwa na 35%. So, unapoambiwa kwamba BG wana hisa 60%, maana yake ni kwamba ni 60% ya total 35% share. Maana yake ni kwamba, ikiwa project value ni sh. 100; TPDC zake ni sh. 65 na BG+Ophir zao ni sh 35. Sasa 60% ya sh. 35 ndiyo ya BG na inayobaki ndiyo ya Ophir(pamoja na Pavillion). Hiyo maana yake ni kwamba, aliyepungukiwa hapo ni Ophir ambae ameuza hisa lakini Tanzania hajakuwa affected in any way; sana sana wameanza kuvuna kabla ya wakati!
 
Amenasa alikuwa ametega? Na Je asingenasa? Huu ujinga watanzania mtauacha lini? Kipato cha Ophir na cha Tanzania ambao ndomwenye gas vinalingania wapi?
Mkuu wangu ina iwezekana hufahamu vizuri masuala ya uwekezaji...hapa Tanzania haijapoteza chochote na kama ni kupoteza basi kupoteza huko hakutokani na Ophir kuuza hisa zake kwa Pavillion. Kilichotokea ni kwamba, tuseme nimekukodisha shamba wewe pamoja na mwenzako mmoja kwa makubaliano kwamba, mazao mtakayovuna, gunia 65 zangu na 35 zenu nyinyi. Sasa tuseme ktk shamba husika, wewe unamiliki 40% ya hisa na mwenzako 60% lakini mnatakiwa kuchangia gharama za uzalishaji. Kwa bahati mbaya, labda wewe hauna mtaji wa kutosha kwahiyo unaamua ktk 50% ya kwako, unauza 20% kwa mtu mwingine ili upate fedha za kuendesha mradi. Sasa kwavile umeuza 20%, mimi nakubana wewe kwamba kv umeuza kiasi cha hisa zako, inabidi unipe kodi ya capital gain. Sasa basi, tofauti kubwa ni kwamba, kabla hujauza, shamba ilibidi liendeshwe na wewe na yule mwenzako na mkivuna, mnanipa gunia zangu 65. Lakini kwavile umeuza, sasa shamba litahudumiwa na wewe, mwenzako wa awali na yule ambae umemuuzia hisa sasa; lakini mkivuna, gunia zangu 65 zipo pale pale!!

Tofauti nyingine ni kwamba, kama usingeuza kiasi cha hisa zako, ina maana wakati wa mgao ungepata gunia nyingi zaidi lakini kwavile umeuza; kiasi cha mgao ambao ulipaswa upate hapo kabla, sasa uta-share na yule uliyemuuzia! Ina maana, kama kabla, out of 100sacks, kwenu zinabaki 35 such that, 20 za mwenzako(awali) na 15 za kwako; kwavile umeuza hisa, hizo 20 za mwenzako zitabaki vilevile lakini out of 15 zitakazobaki, za mwenzako(uliyemuuzia hisa) atachukua 3 (20%) na wewe utabaki na 12(80%).
 
Inawezekana mimi sijui ila katika Trillion 2 ya mali yetu tunaambulia Bil 400? Am I dumb or what? Nisaidieni kunielimisha hapa sijaelewa kabisa!
Mkuu Stefano Mtangoo...salaam! Niliwakimbia kule kwenye habari za Mungu and related stuffs! Hope to come back when necessary!

Back to topic! Is good enough kwamba umetilia shaka uelewa wako; ni kweli! Kimsingi, hakuna ubaya wowote hapo, sana sana sisi tumechukua chetu mapema. Pitia posts zangu #35 na #36 , I hope utaelewa nini maana ya kilichofanyika! In fact, it's on our interest.
 
Last edited by a moderator:
Mbona wale wa Usaliti wa Zitto leo siwaoni? Hii no mojawapo ya kitu Zitto alisimamia kidete mpaka wizara ya fedha ikaleta mswada na ukapitishwa, CDM iliwabidi mfurahie kijana wenu kuisaidia serikali kukusanya mapato!!
 
Kimsingi, Tanzania hapo haijapoteza chochote...kwenye hii mikataba, TPDC/Tanzania wanakuwa na 65% na mwekezaji anakuwa na 35%. So, unapoambiwa kwamba BG wana hisa 60%, maana yake ni kwamba ni 60% ya total 35% share. Maana yake ni kwamba, ikiwa project value ni sh. 100; TPDC zake ni sh. 65 na BG+Ophir zao ni sh 35. Sasa 60% ya sh. 35 ndiyo ya BG na inayobaki ndiyo ya Ophir(pamoja na Pavillion). Hiyo maana yake ni kwamba, aliyepungukiwa hapo ni Ophir ambae ameuza hisa lakini Tanzania hajakuwa affected in any way; sana sana wameanza kuvuna kabla ya wakati!
Asante! NasDaz
 
Last edited by a moderator:
Ni jambo la kujivunia kuwa tunae waziri ambae ni msomi na muelewa wa mambo ya utawala na maendeleo. Na hakika amepewa wizara ambayo inafanana na professional yake na kwa bahati mbaya amewabana sana makanjanaja na matapeli wa mjin mpaka imekuwa nongwa.

Soma vizuri,Mhe. Zitto Zuberi Kabwe ndie aliyeanzisha hii kitu ikawa sheria,sio waziri. All kudos to Mr ZZK
 
Back
Top Bottom