In short, ukiangalia vizuri, unaona kabisa kwamba $1.3BN ni somewhere reasonable na ingawaje niliweka possibility ya Ophir ku-report less than what they actually earned ni kv tu nafahamu no one business entity that acts like an angel...any business entity that may find the room to make more profit, it'll use it!Good, i made numbers based on you assumption to drive home a point. Again you are mixing up two things. Microsoft did not have to Bid to acquire part of Nokia Operations,GMC's do not have to bid if it was not a government contract.Remember this was not a public sale of whatever Ophir had.This was an internal sale of Ophir interest in the block. Pavilion is not Taking over the contract from Ophir, it is merely injecting cash and in the process it is becoming a shareholder of the whole thing,appraisal wanafanya serikali ya Tanzania, mara baada ya hao waheshimiwa kupokea taarifa za hiyo offer.Kumbuka transaction haitapita bila kuwa approved na Serikali ya Tanzania,serikali ya Marekani (where the company is listed) na serikali za nyumbani za makampuni husika.
Nafahamu tuna paranoia ya kudhulumiwa na hawa mafisadi kwenye kila aina ya deal hapa Tanzania, lakini kwa hili nasimama na Serikali yetu,kama kosa, basi litafanywa na Ophir na Pavilion, and they would not want to risk their $100B+ businesses for $1B, especially when it is involving the US. We all knew what happened to BAE.
What might happen is Muhongo and Team might receive a few mils to fasten up the deal, but there is no way kwa mfano Pavilion can buy the shares for $5B and report it as $1.3B, a billion Dollars is a lot of money to hide under the carpet. a few millions,up to ten can easily be hidden under facilitation, and that's about it.
Binafsi niliona ni reasonable kwa kuangalia jambo moja kwamba, ikiwa % za Ophir as for now zina mzigo unaopata $60BN, we can then assume that 100% of Ophir Shares is equivalent to $60BN and in turn, 20% Ophir Shares (sold to Pavillion) is equivalent to $12BN. This literally means that, kama ingekuwa ni independent project, ni sawa na Ophir kumwambia Pavvilion kwamba nina Vitalu ambavyo gas available ina thamani ya $12BN. So, in order Pavillion to extract those $12BN from undersea, ni kwamba anatakiwa ku-inject few billion dollars zitakazoongeza cost juu ya ile $1.3BN.