Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Waziri Mkuu wa Uingereza Bi Teresa May amewasili leo nchini Kenya ikiwa ni muendelezo wa ziara yake barani Afrika, Bi May anatarajia kusaini makubaliano na Serikali ya Kenya kurejesha mabilioni ya pesa yaliyotoroshwa na kupelekwa Uingereza kinyume cha sheria. #KwanzaHabari