Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,571
- 2,068
Inaongezaje pato la Taifa? Tukivunja Muungano au tukigawana majukumu kila mtu akawa na serikali yake tutapunguza mzigo wa gharama:
Tutapunguza gharama za kuwa na ma vice presidents na ma retired presidents kibao toka Zanzibar ambao wanahudumiwa na bajeti ya Muungano ambayo Zanzibar hawana cha kuchangia. Tutapunguza gharama za kuwalipa wabunge wa Zanzibar ambao hawahusiki katika mijadala mingi ya mambo yasiyo ya Muungano.
Tutapunguza gharama za umeme wa bure tunaowapa Zanzibar kwa maana serikali ya Mapinduzi imetangaza hawawalipi TANESCO! Tutapunguza mzigo wa kuwasomesha Wazanzibar vyuo vikuu vya bara.
Tutapunguza gharama za kuwatunza viongozi wa Zanzibar waliohamia Dar baada ya kustaafu, Salim Ahmed Salim, Ally Hassan Mwinyi, Abood Jumbe na wengine kibao. Tutaongeza ajira za Wabara ambazo tunalazimika kuwapa Wazanzibar serikalini kwa affirmative action.
Kimsingi, tutapunguza gharama kwa kutua mzigo wa kui finance Zanzibar, ambao hawana shukrani anyway. Na hapo bado hatujaongelea inherent injustices za sheria za Zanzibar zinazo declare wazi wazi kwamba Mtanzania Bara haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar. Ndio maana wengine tunalilia kwa machungu kuvunja Muungano.
Hukijui hata unachosema. Just unabwabwaja tu. CRAP. Bora ungelikaa kimya.