SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,446
Kuitwa makapi siyo mchezo hata ningekuwa mimi ningesusa
WASIPOTOKEA AU akitokea 1 . Imeonekana afadbali hv hv kama wamesusa kisijulikane. kawaida ilitakiwa watoe neno lakini hali tete FUNIKA KIKOMBE.....Mimi ningekuwa mwenyekiti WA ccm ningewaita wagombea wote WA ccm nafasi ya urais wakati magufuli akichukuwa form NEC watoe maneno yao.
kwa hiyo makamu wetu wa rais naye ni kapi!?
Kwa tafsiri ya Kinana wote waliochujwa ni makapi; naye yumo...!!
Mara baada ya mkutano mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma, Waziri Mkuu hayupo ofisini, kuna tetesi toka kwa watendaji wa ofisi ya Waziri mkuu wakidai kuwa Mh. Pinda amesusa ofisi kutokana na kukatwa jina lake katika harakati za kugombea kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM.