Waziri Mkuu Pinda kasusa ofisi

Waziri Mkuu Pinda kasusa ofisi

Eti kwenye kumseti JK alimuambia .." Tumeamua kikata wote wenye miaka 60 kuja juuu...bora wangetangaza Mapema wasichukue fomu"

Umri haumaanishi afya bora kwakuwa hata Huyu Magufuli ni compromise ndio lakini hakupita security vetting ya Ngazi ya Urais ...waliomfuatilia HAWAKUWEZA KUPATA TAARIFA ZA UHAKIKA ZA ASILI YA BABA YAKE ....zaidi mamma yake ndie ambaye kizazi chake hadi cha pili kiliweza kuwa traced ...kwa kuwa Sasa kapata ..ndio usalama wako busy kufuatilia lineage ya baba yake Magufuli ...

Kuhusu afya ...aliwahi KUPATA mshtuko wa moyo akatibiwa ujerumani kwa kuwekewa ..kifaa Maalum cha kusupport mapigo ya moyo ..wakati huko ilisadikika Kapewa hujuma ...hivyo ni Kati ya Vitu vilimfanya asipende Siasa ZA Ndani ya Chama
Anhaaa,kumbe ndio maana alienda kunywa kikombe cha Babu!
 
Gharib Bilal naye yuko wapi!?

Mkuu Gharib Bilal yupo anachapa kazi.

Juzu juzi nilimuona akiwa na Magufuli na Mbunge Ole Sendeka wakizindua ujenzi wa barabara ya Kia Mererani kwa kiwango cha lami.
 
Hakuna aibu tulioipata Tanzania pale Tume ya maadili yachama ilipo gundua kua waziri mkuu na makamu waraisi hawana maadili

watendaji wakuu waserikali hawana maadili

du inatisha sana
 
Yupo lakini
 

Attachments

  • 1438756911852.jpg
    1438756911852.jpg
    97.5 KB · Views: 559
Pinda bana.. hah hah , nasikia alijipatia mshiko toka kwa waarabu agombee. |Dili ilikuwa aingize mahakama ya kadhi. Duru zinasema jamaa alikuwa anahonga ndefu kwa wajumbe na alianza mapemaaa. Tena alikuwa anatoa hard cash in Us $.
Mwisho akamwingiza class mate wake Pengo kwenye ugomvi usiokuwa na mashiko. LEO KAPIGWA TUUU.
What goes around comes around ....
 
Hali mbaya duuh, lakini ndo ivo atafanyaje sasa
 
Akalale mbele huko kuwepo na kutokuwepo yote ni sawa tu kwani alipokuwepo alifanya nini la msingi? Aende na atokomee kabisa hatuna la kukumbuka zaidi ya kulia na kutudanganya eti mimi ni mtoto wa mkulima wakati hana lolote la kumfanaisha na mtoto wa mkulima. Nchi hii ni aibu tupu watu wanatoa ahadi lakini hawawezi hata kutimiza robo mara oh mashangingi mwisho na mambo kibao. Ki ukweli viongozi wote ni sawa tu ni wachumia tumbo km sisi hawana jipya,nyie toaneni ngeo wao wako pembeni wanawashangaa km sinema ya kihindi wakati mwisho wa siku hamna hata uhakika wa milo mitatu kwa siku.
 
Nampa pole. Watanzania bado tunasafari ndefu ya kuweza kusimamia kile tunachokiamini na ndo maana ni vigumu sana kupata viongozi thabiti. Mzee alipaswa awe amekwishajiuzulu kwani kiuhalisia hakuna mazingira rafiki tena ya kiutendaji kati yake na mzee wa nchi. Sijui anapoeaje maagizo ya mkuu. Ila kwa sababu bado tunatabia ya kuabudu viumbe, ndio hivyo tunaishia kuthalilika na hatuchukui hatua yoyote. Kiuhalisia, alipaswa awe ameachia nafasi hiyo mwenyewe au kwa kulazimishwa kwa maandamano ya wananchi. Ila kwa hali ya bongo hili ni bado sanaa
 
Mara baada ya mkutano mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma, Waziri Mkuu hayupo ofisini, kuna tetesi toka kwa watendaji wa ofisi ya Waziri mkuu wakidai kuwa Mh. Pinda amesusa ofisi kutokana na kukatwa jina lake katika harakati za kugombea kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM.
jana c alikuwa amefungua maonyesho ya nane nane lindi au sio yy?
 
attachment.php


Amegoma kurudi ofisini yupo zake kijijini na ufugaji wa ng'ombe kutoka Lanch ya Mabuki.
 
Mkuu Gharib Bilal yupo anachapa kazi.

Juzu juzi nilimuona akiwa na Magufuli na Mbunge Ole Sendeka wakizindua ujenzi wa barabara ya Kia Mererani kwa kiwango cha lami.

kwa hiyo makamu wetu wa rais naye ni kapi!?
 
Bilal na Pinda hawatakiwi kabisa kuwepo ofisini make hawa jamaa hawana maadili, na jamaa katibu kinana kapigilia msumari kwa kuwaita makapi tena bila aibu kawataja hadi majina.
 
Lakini jamani kwenye watu 32 wanaogombea nafasi 1 nani ashinde,,au na nyie mnaojifanya wasomi mnakengeuka,,cdm walogombea ni.wangapi km kweli kuna umakini kama sio kutuchanganya tusiokuwa na darasa...mshindi lazima apatikane kwenye competition yoyote ile na maana rais ni mmoja tu ,,sisi na wajinga kweli lakin wakati mwingine tunapapasa na kugundua kuwa wengi wenu ni mawakala wa hao mabwana zenu mnaowapigia debe.
Mkipewa mafuta mnalainiika na kuwaona wao ndo watakaoweza kutufikisha peponi wkati wana lundo la dhuluma hawajarudisha na wala hawajatubu,vp wawe ndo wanauwezo wa kutupa maisha mazuri.....
Nauliza tu niliacha shule darasa la 6 lakini jf nimo. Tz hakna msafi labda alotumboni tumuombe mungu tu atufanyie miujza ashushe roho takatifu miongoni mwa wagombea tupate salama......ni hayo tu hakuna msafi hapa...
 
Back
Top Bottom