NAFIKIRE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 681
- 467
Baada ya kukatwa na "Kitengo" kuashiria kuwa hana maadili unadhani atakuwa na moral authority ya kiutendaji tena kweli! Yaani kwa maadili kapitwa na naibu waziri Makamba halafu atamwongozaje? Mungu atuepushe lisitokee la kutokea linalohitaji maamuzi mazito ya pamoja kwani kwa sasa ombwe ni kubwa kuliko wakati wowote!
Yaani!....inauma sana...mimi waziri mkuu namkubali sana kiutendaji na kimaadili.kusema kweli inauma sana kuona "kitengo" walimuona Makamba na wengine walioingia tano bora kuwa ni bora kuliko mtoto wa mkulima.....inauma sana.....nasema inauma sana na sina namna ya kuelezea maumivu yake....Ninaamini leo na kesho kwamba mheshimiwa waziri mkuu kwamba ni mtu anafaa kuingoza hii nchi na bado mchango wake kwa hii nchi unaitaitajika sana.
Nitoe pole kwako mheshiwa kwa kukatwa ila usikate tamaa....aluta continua.......
Ushauri unaweza kuuzingatia au la....
Kikubwa waziri mkuu sema mbwai ni mbwai tu.......ungana na Mheshimiwa EDO mlete mabadiliko ya kweli.