Ccm wanaumiza bwana na ni vizuri achane nao aje kwetu chadema home of democrcy
Mara baada ya mkutano mkuu wa ccm uliofanyika dodoma, waziri mkuu hayupo ofisini, kuna tetesi toka kwa watendaji wa ofisi ya waziri mkuu wakidai kuwa mh. Pinda amesusa ofisi kutokana na kukatwa jina lake katika harakati za kugombea kuteuliwa kuwa mgombea wa ccm.
Baada ya kukatwa na "Kitengo" kuashiria kuwa hana maadili unadhani atakuwa na moral authority ya kiutendaji tena kweli! Yaani kwa maadili kapitwa na naibu waziri Makamba halafu atamwongozaje? Mungu atuepushe lisitokee la kutokea linalohitaji maamuzi mazito ya pamoja kwani kwa sasa ombwe ni kubwa kuliko wakati wowote!
Mchakato ule umewaathiri wengi sema wanakufa na tai shingoni tu.
Mchakato ule umewaathiri wengi sema wanakufa na tai shingoni tu.
Ila hajasikika sana popote tangu kikao kile katuni walimdondosha kwenye bench wakati wenzake watano wakishangilia na karatasi za tick. Siasa mbaya sana.
Ila hajasikika sana popote tangu kikao kile katuni walimdondosha kwenye bench wakati wenzake watano wakishangilia na karatasi za tick. Siasa mbaya sana.
Mara baada ya mkutano mkuu wa ccm uliofanyika dodoma, waziri mkuu hayupo ofisini, kuna tetesi toka kwa watendaji wa ofisi ya waziri mkuu wakidai kuwa mh. Pinda amesusa ofisi kutokana na kukatwa jina lake katika harakati za kugombea kuteuliwa kuwa mgombea wa ccm.
Gharib Bilal naye yuko wapi!?
Magambaz