Waziri mkuu mstaafu ni mgonjwa!

Waziri mkuu mstaafu ni mgonjwa!

Status
Not open for further replies.
vipi hajarudi kwa nabii joshua kupata kikombe?urais bado anautamani au kaachia ngazi?
 
Angalia na rangi yake utafikiri amefanyiwa bleach ya jik. Huyu mtu ni mgonjwa sti ana ndoto za uraisi wa Tz.
 
Yote tisa kumi mtaamini kama duwa la kuku alimpati mwewe siku ya Fund rising ya kanisa katoliki pale Diamond Jubelee, hapo ndio mtakiona kidume jinsi kilivyo na afya njema.
Jamani tukumbuke maradhi huwa yanatuzoea malofa kama mimi na sio mataycoon, ukiwa na pesa ugonjwa wenyewe unakuogopa. Forget about Lowasa atawasababishia vidonda vya tumbo bure!!
 
Hii ni habari mbaya sana sidhani kama Mheshimiwa Pasco na Matola watakubaliana na hii hali.
 
Namuombea apone mapema ingawa bado hajanishawishi kwanini yeye ndiye anafikiria atakuwa rais wetu bora 2015.
 
Yeye hana nia ya Urais. Nia yake hasa ni kusafisha jina lake na kuweka mtu wake. Kweli ni mgonjwa kwa muda sasa.
Anapiga wine sana kuanzia saa za asubhui.
 
Yeye hana nia ya Urais. Nia yake hasa ni kusafisha jina lake na kuweka mtu wake. Kweli ni mgonjwa kwa muda sasa.
Anapiga wine sana kuanzia saa za asubhui.


hili nalo neno alizidisha sana maji ya ilala!!
 
Namsubiri FairPlayer atupe details za uhakika
 
Hii ni habari mbaya sana sidhani kama Mheshimiwa Pasco na Matola watakubaliana na hii hali.

Mkuu matola amesahjibu post number 24 sasa tumsubiri pasco wa jf.
 
Jamani hayo si ni matatizo ya kawaida kwa umri alionao? Atapona tu. Get well Soon EL
 
Mmmmh, hakuna jiwe litabaki juu ya jenzie Yerusalem hii
2015 ni kiboko!
 
Yote tisa kumi mtaamini kama duwa la kuku alimpati mwewe siku ya Fund rising ya kanisa katoliki pale Diamond Jubelee, hapo ndio mtakiona kidume jinsi kilivyo na afya njema.

Jamani tukumbuke maradhi huwa yanatuzoea malofa kama mimi na sio mataycoon, ukiwa na pesa ugonjwa wenyewe unakuogopa. Forget about Lowasa atawasababishia vidonda vya tumbo bure!!

Usikufuru kaka

stevejobs-illness.jpg
 
Hakika hizi habari kwangu zinanifurahisha mno, ningekuwa na uwezo ningemwongezea ya kumpofusha kabisaaaa. Amekuwa ni tatizo nchi hii. Naomba pia hilo gonjwa amrithishe na Freddy pia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom