Unajuwa Mkuu Ngongo ame nimislead, mimi sio mfuasi wa Lowasa na wala siwezi kuipigia kura CCM over my dead body, ila nimeamuwa kujipambanunuwa kwamba siko tayari tena kulishwa sumu ya kumchukia Lowasa wakati hakuna alilofanya Lowasa ambalo JK halijui au hawakushirikiana, siko tayari kuwa mnafki wa viwango hivi, tukitaka hukumu ya haki tuwatenge wote JK na Lowasa.
lakini ni kwa nini tumsakame tu mtu mmoja kila kukicha huku mtuhumiwa mwingine anapigiwa saluti na kukenuwa meno tu? na ukithubutu kumgusa tu basi utawasikia Bakwata na Shura ya Maimamu eti JK anachukiwa kutokana na uislamu wake!!
Bado naamini kuna watu wanataka kuturithisha chuki zao na maugomvi yao kwa Taifa zima, mimi nimestuka, swali ile Richmond sasa hivi inaitwa Symbion Power na ni mali ya kina Hilary Clinton je umewahi kusikia mnafki yeyote akihoji mkataba huo? maana kama mkataba wa Dowans ni haramu basi hata huu wa Symbion Power ni haramu vilevile.