Duh sikujua kuwa Kagame ni mwivi na ana mvi......:lol::eyebrows::embarassed2:
CCM wanatumia style ya kugusisha sumu/siku hizi hawalishi
Japo mie sio shabiki wa EL, chuki chuki yako kwa huyu mtu imepitiliza!
Shindwa kwa jina la Yesu! Mimi simuwazii huyu jamaa nafasi yoyote ya uongozi na nna maswali mengi juu ya iadilifu wake, lakini siwezi kumwombea mabaya hata siku moja. Kama yeye ni mbaya kihivyo tumwache Mungu atashughulika naye na tukatae yale anayofanya kumstahilisha ubaya huo lakini si kumtakia ugonjwa
Tayari, kalishwa sumu!!! Au wamemuendea nigeria? Yatasemwa mengi
We Mkulima wa Kuku, mimi si mfuasi wa huyo niliyemwekea nyekundu. Kaa na mapenzi yako na Lowasa, akipona mkaribishe nyumbani kwako na mkeo ampikie chai na ubwabwa.