Ndugu wanajii,
Tumekuwa tukumsikia waziri wetu Mkuu Mhesimiwa Mizengo Pinda akijiita kuwa yeye ni mtoto wa mkulima na hivyo anapinga vitu kadhaa ambavyo vinaongeza matumizi yasiyo ya lazima ya pesa za umma. Kwa mfano aliwahi kuhoji juu ya ununuzi wa magari ya kifahari kwa watendaji waandamizi wa serikali yetu.
Jana nimesikia na kuona kwenye TV waziri huyo akienda UINGEREZA kufanya uchunguzi wa afya "wa kawaida" Inamaana hapa Nchini hakuna wataalamu /madaktari wanaoweza kufanya kazi hiyo? Ukizingatia kuwa yeye ni mtoto wa mlalahoi kama sisi?
Je, haya si matumizi mabaya ya pesa za Watanzania? Naombeni maoni yenu juu ya hili.
Rumenyela
KIGOMA.
Tumekuwa tukumsikia waziri wetu Mkuu Mhesimiwa Mizengo Pinda akijiita kuwa yeye ni mtoto wa mkulima na hivyo anapinga vitu kadhaa ambavyo vinaongeza matumizi yasiyo ya lazima ya pesa za umma. Kwa mfano aliwahi kuhoji juu ya ununuzi wa magari ya kifahari kwa watendaji waandamizi wa serikali yetu.
Jana nimesikia na kuona kwenye TV waziri huyo akienda UINGEREZA kufanya uchunguzi wa afya "wa kawaida" Inamaana hapa Nchini hakuna wataalamu /madaktari wanaoweza kufanya kazi hiyo? Ukizingatia kuwa yeye ni mtoto wa mlalahoi kama sisi?
Je, haya si matumizi mabaya ya pesa za Watanzania? Naombeni maoni yenu juu ya hili.
Rumenyela
KIGOMA.