Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko wapi?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko wapi?

Ukisema hivyo hata JPM alikuwa Waziri kipindi cha JK; kwa hiyo naye sijui tusemeje kuhusu madudu yaliyofanyika wakati akiwa mmoja katika baraza la mawaziri?!
Uuzaji nyumba za Serikali , Ununuzi kivuko , kuna pesa zilipotea Wizara ya Ujenzi na Ujenzi wa barabara nyembamba toka Ubungo mpaka magomeni , kule UDOM mwanae bado yupo lakini wale wa masikini vilaza wapo Mtaani wanataabika , NSSF bajeti ya Ujenzi wa daraja la Kigamboni ilizidishwa mara dufu nk.
 
Ila kusema ukweli Majaliwa kapotea, pengine amepangiwa majukumu mengine
Anajipanga mkuu Dili la sukari limemchanganya sana baada ya kugundua kuwa wajanja wa town wamemzunguka .
 
Hapana mkuu majukum ya wazr yapo pia yacyo.ya halaiki huwez kfanya kaz za office hku unapga mayowe
Same tu amejifunza kwamba style alianza nayo alikuwa anachemka,siku hizi anafanya kazi yake vizuri bila makeke. Awafunze walioko chini yake kuheshimu watumishi wa umma.
 
1467006610152.jpg

Anawaza yasije yakamkuta
 
Kapoa sana PM... sijui kimetokea nn hapa katikati.. nakumbuka baada ya kupambana na MABASI YA MWENDO KASI sijamsikia tena akimtumbua majipu au kufuatilia kwa kasi mali za umma zilizoibiwa au kufuatilia taasisi na sekta za serikali kwa speed ya awali...!!

Sijui kumetokea nn...!!
 
Mwezi mtukufu huu;
atakuwa anahangaika na suala la sugar;
 
Siku za kwanza za uteuzi wake tuliona mh.akizunguka huku na kule kutumbua majipu hali iliyopelekea watendaji wa serikali kushikwa na kihoro. Muda umepita sasa sijasikia kasi ya mh. wetu, najiuliza yuko wapi? Nini kimekufanya upoe mkuu majipu bado hayajaisha, sisi wananchi bado tuna imani na wewe
Duh, Umenikumbusha..Nilianza kusahau kama kuna waziri mkuu
 
Mtini
Mzee PM ndiye msimamizi/mtendaji mkuu wa shuguli za serikali so kwa sasa yupo bungeni akiisemea na kutumika dhidi ya serikali.
 
Back
Top Bottom