Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko wapi?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko wapi?

Amejifunza kuepuka mistake aliofanya luwasa wakt wa jk maana kumfunika raisi ni treason hhahahaa
 
Siku za kwanza za uteuzi wake tuliona mh.akizunguka huku na kule kutumbua majipu hali iliyopelekea watendaji wa serikali kushikwa na kihoro. Muda umepita sasa sijasikia kasi ya mh. wetu, najiuliza yuko wapi? Nini kimekufanya upoe mkuu majipu bado hayajaisha, sisi wananchi bado tuna imani na wewe
amefunga kwanza ramadhan ikiisha atendelea🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Hahaha kipindi kili ilikua bora ukutane na pombe kuliko majaliwa,

Majaliwa sasa kwisha stori take pombe anafanya kila kitu mwenywe
 
Bora afanyekazi kimyakimya lakini ya ukweli, ya uhakika, ya kutenda haki, ya maendeleo
Badala ya staili ya kuwazodoa watu laivu kwenye Macamera halafu eti baadae ndo uwachunguze kama wamekosea au la!
Nadhani PM amejitafakari sana na ameamua kutumia approach mpya ambayo binafsi naiunga mkono.
Hata hivyo Ukali na zero tolerance kwa uzembe na ubadhirifu wa mali ya umma ni muhimu sana kwa nchi kama ya kwetu,
Hasa pale ambapo ubadhirifu unatokea wizara ya ujenzi na ripoti ya CAG ikaweka wazi na muhusika ndo bosi wako. Hapo ukali unazidi hadi unaamua tu kukaa kimya!
 
nani kakwambia majaliwa mkristo ,siku nyingi alishafuata dini ya mke wake kama hujui jamaa ni mgalatia safi
Nilimuona jamaa (PM) kwa picha moja akiwa ndani ya kanzu na barhghashia + majina yake, nikajua mwenzetu. Nilichokisahau tu kwamba hata yanga huvaa kijani na njano
 
Siku za kwanza za uteuzi wake tuliona mh.akizunguka huku na kule kutumbua majipu hali iliyopelekea watendaji wa serikali kushikwa na kihoro. Muda umepita sasa sijasikia kasi ya mh. wetu, najiuliza yuko wapi? Nini kimekufanya upoe mkuu majipu bado hayajaisha, sisi wananchi bado tuna imani na wewe
Soda imeisha gesi yake
 
Siku za kwanza za uteuzi wake tuliona mh.akizunguka huku na kule kutumbua majipu hali iliyopelekea watendaji wa serikali kushikwa na kihoro. Muda umepita sasa sijasikia kasi ya mh. wetu, najiuliza yuko wapi? Nini kimekufanya upoe mkuu majipu bado hayajaisha, sisi wananchi bado tuna imani na wewe
Ila kwel kapoa mno.. Sjui ndio majukum yamekua mengi
 
Siku za kwanza za uteuzi wake tuliona mh.akizunguka huku na kule kutumbua majipu hali iliyopelekea watendaji wa serikali kushikwa na kihoro. Muda umepita sasa sijasikia kasi ya mh. wetu, najiuliza yuko wapi? Nini kimekufanya upoe mkuu majipu bado hayajaisha, sisi wananchi bado tuna imani na wewe
We subiri ya kasulu utayasikia. Ndo utajua alikuwa wapi?
 
Hapana mkuu majukum ya wazr yapo pia yacyo.ya halaiki huwez kfanya kaz za office hku unapga mayowe

Nzagamba tukiheshemu Kiswahili japo kidogo maana walimu wetu hawana amani.
Majukum
Wazr
Yacyo
Hewez
Kaz
Hku
Samahani Kama nimekukwaza
 
Jamii forum inazidi kushuka chati kadri siku zinavyozidi kwenda. Zamani Jamii forum ilikua kweli ya great thinkers ila kwa sasa inaanza kuchuana na facebook.
 
Proof reading ni muhimu maana mnakosea majina ya watu mpaka viongozi wa nchi.Au r na l ni sawa kwako
 
Nilimuona jamaa (PM) kwa picha moja akiwa ndani ya kanzu na barhghashia + majina yake, nikajua mwenzetu. Nilichokisahau tu kwamba hata yanga huvaa kijani na njano

Vangigula naona unamtania mbunge wa Mkulanga .
 
Yupo Nanganga anasubilia noah ijae apande aende ruangwa
 
Back
Top Bottom