Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,785
- 6,106
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kusimamia kaunzishwa na kujenga vituo vya maegesho ya Magari ili Wananchi wote watumie Mwendokasi kuingia mjini.
Majaliwa ametoa rai hiyo wakati akikagua Huduma za Mabasi yaendayo kasi katika Vituo vya Kivukoni na Kimara Jijini Dar es Salaam, baada ya kuanza kazi kwa mabasi mapya hii leo.
Majaliwa ametoa rai hiyo wakati akikagua Huduma za Mabasi yaendayo kasi katika Vituo vya Kivukoni na Kimara Jijini Dar es Salaam, baada ya kuanza kazi kwa mabasi mapya hii leo.