Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kwenye Siku ya Kumbukumbu ya Holocaust:

Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kwenye Siku ya Kumbukumbu ya Holocaust:

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
"Ikiwa Iran itatushinda - nchi za Magharibi ndizo zitafuatia.
Baada ya Oct 07,20203 Israeli haitaruhusu tena madhara kwa Wayahudi na wala
Hatutasamehe kwa yeyote aakayejaribu kutushambulia.
Hatutasahau utawala wa Ayatollah lazima uanguke siyo baadaye bali ni Sasa!!.
 

Attachments

  • PM_Netanyahu_on_Holocaust_Remembrance_Day_“If_we_fall_to_Iran_—.mp4
    10.4 MB
"Ikiwa Iran itatushinda - nchi za Magharibi ndizo zitafuatia.
Baada ya Oct 07,20203 Israeli haitaruhusu tena madhara kwa Wayahudi na wala
Hatutasamehe kwa yeyote aakayejaribu kutushambulia.
Hatutasahau utawala wa Ayatollah lazima uanguke siyo baadaye bali ni Sasa!!.
Kauli ya mtu muoga,mwenye hofu na asiejiamini.
Sababu kubwa inayomfanya awe mtu wa maneno mengi, nikwamba nguvu alizonazo hazitoshi kuikabili Iran, na anaongea sana na kufanya kila aina ya ushawishi ili kuyavutia mataifa yenye nguvu kukubaliana na fikra zake na kujiunga nae, na kwa pamoja waikabili Iran,kwa bahati mbaya bado hajafanikiwa.na hata mshirika wake mkubwa na mlezi wake Marekani anaonekana kurudi nyuma na hajawa tayari kukabiliana na Iran kijeshi kama ambavyo yeye Netapaka anataka iwe.
 
Kauli ya mtu muoga,mwenye hofu na asiejiamini.
Sababu kubwa inayomfanya awe mtu wa maneno mengi, nikwamba nguvu alizonazo hazitoshi kuikabili Iran, na anaongea sana na kufanya kila aina ya ushawishi ili kuyavutia mataifa yenye nguvu kukubaliana na fikra zake na kujiunga nae, na kwa pamoja waikabili Iran,kwa bahati mbaya bado hajafanikiwa.na hata mshirika wake mkubwa na mlezi wake Marekani anaonekana kurudi nyuma na hajawa tayari kukabiliana na Iran kijeshi kama ambavyo yeye Netapaka anataka iwe.
Waziri Mkuu wa Israel hajawahi kuwa mwoga hasa lina pokuja suala la kukabiliana na Wafuga Midevu na Majini. Na angekuwa mwoga tu Israel ingekuwa imefutwa kwenye uso wa dunia, Israel ipo mpaka leo kwa ajili ya ushujaa wa watu wake tu.
Pia si kweli kuwa nguvu zake hazitoshi kukabiliana na na Magaidi hao wa Iran Kumbuka majeshi ya Israel yaliichakaza mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran Oct 26,2024 najua wewe hulijui hilo maana umekalia kusifia-sifia vitu ambavyo huvijui!!!
Napenda pia kukujulisha kuwa hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kupigana vita peke yake hata Russia mwenyewe anawategemea China,Iran,Afrika kusini na nchi zingine katika kukabiliana na majeshi Ukraine peke yake hawezi Alipo hapo Ana Tumia drones za Iran na makombola yake anategemea Korea kaskazini na Afrika kusini. Lakini kwa ujinga wako unaona Israel ikishirikiana na Marekani ni dhambi yaani Kunya anye kuku akina Bata unasema anaharisha. Tumia akili yako vizuri kijana!!
 
Anaomba sapoti ya ulaya, ulaya inamtupa mkono, ireland, spain,france nk wanataka kuitambua palestina,huko marekani wayahudi wa huko wamekataa kumkaribisha ben gvir kwenye masinagogi
Hiyo haisaidii wana wa Mbwa wataendelea kupigwa bila wasiwasi wowote
 
Kauli ya mtu muoga,mwenye hofu na asiejiamini.
Sababu kubwa inayomfanya awe mtu wa maneno mengi, nikwamba nguvu alizonazo hazitoshi kuikabili Iran, na anaongea sana na kufanya kila aina ya ushawishi ili kuyavutia mataifa yenye nguvu kukubaliana na fikra zake na kujiunga nae, na kwa pamoja waikabili Iran,kwa bahati mbaya bado hajafanikiwa.na hata mshirika wake mkubwa na mlezi wake Marekani anaonekana kurudi nyuma na hajawa tayari kukabiliana na Iran kijeshi kama ambavyo yeye Netapaka anataka iwe.
Promise 3 ime ishia wapi nyie msio na maneno
Maana Hamna tofauti na kijibwa koko
 
"Ikiwa Iran itatushinda - nchi za Magharibi ndizo zitafuatia.
Baada ya Oct 07,20203 Israeli haitaruhusu tena madhara kwa Wayahudi na wala
Hatutasamehe kwa yeyote aakayejaribu kutushambulia.
Hatutasahau utawala wa Ayatollah lazima uanguke siyo baadaye bali ni Sasa!!.
Kwamba israel ndo anawalinda eu .. hata eu waliamini russia ndo adui yao kumbe wapi
 
Waziri Mkuu wa Israel hajawahi kuwa mwoga hasa lina pokuja suala la kukabiliana na Wafuga Midevu na Majini. Na angekuwa mwoga tu Israel ingekuwa imefutwa kwenye uso wa dunia, Israel ipo mpaka leo kwa ajili ya ushujaa wa watu wake tu.
Pia si kweli kuwa nguvu zake hazitoshi kukabiliana na na Magaidi hao wa Iran Kumbuka majeshi ya Israel yaliichakaza mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran Oct 26,2024 najua wewe hulijui hilo maana umekalia kusifia-sifia vitu ambavyo huvijui!!!
Napenda pia kukujulisha kuwa hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kupigana vita peke yake hata Russia mwenyewe anawategemea China,Iran,Afrika kusini na nchi zingine katika kukabiliana na majeshi Ukraine peke yake hawezi Alipo hapo Ana Tumia drones za Iran na makombola yake anategemea Korea kaskazini na Afrika kusini. Lakini kwa ujinga wako unaona Israel ikishirikiana na Marekani ni dhambi yaani Kunya anye kuku akina Bata unasema anaharisha. Tumia akili yako vizuri kijana!!
Ndio ni muoga hajawahi kupigana na nchi ya maana yenye nguvu na air defence system ... kama uturuki na iran safari hii ni piga ni kupige na hapo usa akijichanganya kuingili imekula kwake na kw dunia kwa ujumla
 
"Ikiwa Iran itatushinda - nchi za Magharibi ndizo zitafuatia.
Baada ya Oct 07,20203 Israeli haitaruhusu tena madhara kwa Wayahudi na wala
Hatutasamehe kwa yeyote aakayejaribu kutushambulia.
Hatutasahau utawala wa Ayatollah lazima uanguke siyo baadaye bali ni Sasa!!.
kila siku hivyo hivyo tu nyie mtapiga vichanga na vilema na mahema sio waaatu wenye utimamu wao km IRAN
 
Back
Top Bottom