MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,415
- 4,881
Mkuu huyu mkulu haelewi kuwa kauli yake hiyo ni ya kuvuruga uchaguzi. Ukimuuliza maana ya neno kuvuruga ni nini? Atakwambia lazima watu wakapige kura. Wenye akili walushajua si uchaguzi bali uchafuzi wamewaachia waendelee.Inabidi watoe vitisho ili waonekane kuna watu wanapambana nao kwenye uchaguzi kumbe wanapambana na hewa.