mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,834
mzee majaliwa anapigana na kivuli chake
absolutely trueThe guilty are afraid
Anajiabisha sana maskini, maana awamu hii yeye na mama Samia ndio walioonekana wana busara.mzee majaliwa anapigana na kivuli chake
Hata wafanyaje hatushiriki uchaguzi wao haramu, wanywa damu huwa hawatosheki mpaka wanyonye damu za watu.absolutely true
Hao maccm wanahangaika kweli kweli kutokana na uhalifu mkubwa walioufanya katika huu wanaouita Uchaguzi wa serikali za mitaa
Hata hivyo penye ukweli uwongo hujitenga
Maskini maccm hata aibu hayana, majitu ya ajabu sana haya.CCM ndiyo waleta fujo sasa Mbona hawajakiona cha mtema kuni?
Yaani watu muwadhuluma haki zao halafu muwatishe na uchaguzi walishawaachia akili matope?Huyo naye atakuwa ameanza kupagawa. Tulikuwa tunamwona ana uafadhali kukbe hakuna kitu.
Hofu ya Roho za uharifu
Waziri gani amelia? Funguka mkuu umeficha mno ubuyu huuNasikia leo kuna waziri mmoja mkubwa amelia eti.Hivi ni nin haswa kimamfanya alie.
Mkuu ulikuwa unakosea sana. Huyu ni diktera hatari. Nitafungua Uzi kuelezea ukatili wake akiwa mkuu wa wilaya ya UramboHuyu mzee nilikuwa namheshimu sana ila kwahii kauli nimemdharau sana.
Kaa kimya wewe mlamba korido za LumumbaMkuu huwa hawasemi tu, ni kwa sababu wana habari za kuaminika kutoka kwa intelligence sio bure. Wewe lala salama wenye yao wanajifahamu. Tupo kwenye key boards hapa kwa sababu nchi ni salama.
Anafanana na Baba yakoNdio akili za ccmView attachment 1263895
Kuharibu nguvu kazi na rasilimali za taifa kwa mambo yasiyo msingi.Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Anafanana na Baba yako
Nilidhani ndiye aliyebaki mwenye busara kumbe naye ni wale wale!!!Huyu mzee hajui kwamba tunamheshimu sana
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.