CCM ndiyo waleta fujo sasa Mbona hawajakiona cha mtema kuni?Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Kule Uganda alikuwepo msaidizi wa Iddy Amin alijulikana kwa jina la colonel maliyamungu alikuwa na roho mbaya kama ya Daud Bashite leo hii yupo wapi?Walikuwepo wababe kama Sadam hussein, Ghadafu, Noriega na wengine wengi. Tuwasihi tu Watanzania waienzi amani yao.
Kwani wanashindana na naniWaziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Wameachiwa wapite bila kupingwa nchi nzima, nilitegemea shangwe na vigelegele kutoka kila kona ya nchi kushangilia ushindi wa kishindo. Badala yake ni kelele za kuweweseka, jana vilikuwa vitisho vya Siro leo vya waziri mkuu.Mambo ya aibu sana haya.
Majaliwa amenikumbusha kauli iliyowahi kutolewa na bwana Mizengo Pinda.Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Hawa watu ni wapumbavu, wanafanya kampeni za nini wakati wameshapita bila kupingwa! Pumbavu kabisa!Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Maccm yote ni mapumbavu tu, hakuna mwenye akili hata mmoja! Eti atakayevuruga uchaguzi wakati yameuvuruga yenyewe!Huyu mzee nilikuwa namheshimu sana ila kwahii kauli nimemdharau sana.
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Kasimu Majaliwa achana na siasa za kichovu , kama vyama vyote vimejitoa kampeni za kazi gani ?Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Hakuna lolote wanahaha kuhalalilisha uchaguzi haramu uonekane halali.Mkuu huwa hawasemi tu, ni kwa sababu wana habari za kuaminika kutoka kwa intelligence sio bure. Wewe lala salama wenye yao wanajifahamu. Tupo kwenye key boards hapa kwa sababu nchi ni salama.
CCM imeingiliwa, nchi imeingiliwa.Kasimu Majaliwa achana na siasa za kichovu , kama vyama vyote vimejitoa kampeni za kazi gani ?
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Hivi kwa nini maccm yanapenda kupandikiza hofu kwa wananchi? Tumewaachia mzoga wenu wa nguruwe mle wenyewe sasa vitisho vya nini?Mumenunua silaha za kutuumiza mumetukosa sasa mnalazimisha kuzitumia. Sisi tutakuwa majumbani kwetu labda mtufuate huku na ndiyo patachimbika. Kuleni wenyewe haramu yenu.Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.