Waziri Mkuu Atakayefanye Vurugu Atakiona Cha Mtema Kuni

Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
CCM ndiyo waleta fujo sasa Mbona hawajakiona cha mtema kuni?
 
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Kwani wanashindana na nani
 
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Majaliwa amenikumbusha kauli iliyowahi kutolewa na bwana Mizengo Pinda.
 
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Hawa watu ni wapumbavu, wanafanya kampeni za nini wakati wameshapita bila kupingwa! Pumbavu kabisa!
 
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.

Mkuu huwa hawasemi tu, ni kwa sababu wana habari za kuaminika kutoka kwa intelligence sio bure. Wewe lala salama wenye yao wanajifahamu. Tupo kwenye key boards hapa kwa sababu nchi ni salama.
 
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Kasimu Majaliwa achana na siasa za kichovu , kama vyama vyote vimejitoa kampeni za kazi gani ?
 
Mkuu huwa hawasemi tu, ni kwa sababu wana habari za kuaminika kutoka kwa intelligence sio bure. Wewe lala salama wenye yao wanajifahamu. Tupo kwenye key boards hapa kwa sababu nchi ni salama.
Hakuna lolote wanahaha kuhalalilisha uchaguzi haramu uonekane halali.
 
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.

Hawakuisikia hutuba ya Mkapa juu ya uwongozi na dowa
 
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Hivi kwa nini maccm yanapenda kupandikiza hofu kwa wananchi? Tumewaachia mzoga wenu wa nguruwe mle wenyewe sasa vitisho vya nini?Mumenunua silaha za kutuumiza mumetukosa sasa mnalazimisha kuzitumia. Sisi tutakuwa majumbani kwetu labda mtufuate huku na ndiyo patachimbika. Kuleni wenyewe haramu yenu.
 
Back
Top Bottom