Anajua sn sema anajitoa ufahamuWaziri punguza kodi kwenye nishati mbadala Ili bei iwe chini wananchi wataacha kutumia kuni.
Ni simple tu. Ukitaka kulinda misitu punguza kodi.
Gesi bei kubwa, pia hali ikibana huwezi kupata gesi ya buku 3. Lakini mkaa na kuni unapata,Wanasema tusitumie kuni na mkaa kupikia sasa tutumie nini? Majiko ya gesi na gesi yenyewe bei zake ziko juu mno hatuwezi kuzimudu, umeme ndo usiseme. Wanataka tule vyakula bila kupika?
Mambo ni ngumu kuliko Viongozi wanavyofahamu.Dar es Salaam mtungi wa 30Kg ni 57,000/= ambayo roughly ni kwa mwezi. Ni wananchi wangapi wa Tanzania hii wenye uwezo wa kumudu bei hiyo kila mwezi kwa ajili ya nishati peke yake? Tulitegemea serikali ije na mikakati inayotekelezeka badala ya kauli za jumla jumla!
Huyo mpumbaa kwanini asikeshe kwenye ujenzi wa bwawa la umeme ili likamilike umeme ukiuzwa UNIT 4 SH1000 hapo ndiyo utakuwa mwisho wa mkaa tz nasi vinginevyo watu wanatumia nishati iliyo nafuu zaidi kama bei ya gesi inapandishwa kila siku na mafisadi yeye anategemea nini?Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ndugu Kassim Majaliwa, amewataka wananchi kupunguza matumizi ya kuni na mkaa na kutumia nishati mbadala.
Swali langu ni nishati mbadala kwa mwananchi wa kipato Cha chini ni ipi?
Poleni. Viongozi wetu siyo wazalendo. Pm na ukoo wake pengine hawajui hata bei ya gesi Wala nishati yoyote kwa maana wanazitumia at zero cost. Hawawezi kuona uchungu na maisha ya binadamu wengine kabisaDar es Salaam mtungi wa 30Kg ni 57,000/= ambayo roughly ni kwa mwezi. Ni wananchi wangapi wa Tanzania hii wenye uwezo wa kumudu bei hiyo kila mwezi kwa ajili ya nishati peke yake? Tulitegemea serikali ije na mikakati inayotekelezeka badala ya kauli za jumla jumla!
Pengine waziri ana ubia na makampuni ya nishati mbadala kwahiyo hii kauli ni kama tangazo la biasharaGesi bei kubwa, pia hali ikibana huwezi kupata gesi ya buku 3. Lakini mkaa na kuni unapata,
Nashauri gesi iuzwe kwa kupima kuanzia kilo moja, siku hali ikiwa ngumu unaenda na mtungi unapimiwa,
Hawa watu hawako serious. Gas bei ghali kiasi kwamba mwananchi wa kipato cha chini hawezi kuafford. Kuni na mkaa hawawezi kuacha kamwe.Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ndugu Kassim Majaliwa, amewataka wananchi kupunguza matumizi ya kuni na mkaa na kutumia nishati mbadala.
Swali langu ni nishati mbadala kwa mwananchi wa kipato Cha chini ni ipi?
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ndugu Kassim Majaliwa, amewataka wananchi kupunguza matumizi ya kuni na mkaa na kutumia nishati mbadala.
Swali langu ni nishati mbadala kwa mwananchi wa kipato Cha chini ni ipi?