Mtoto wa Malaya
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 202
- 154
Ni pombe mpya inayotokana na viazi vitamu na hupikwa kama ugali,Ati kwani sisha ndo nini?!
Sio pombe ya kunywa ni pombe ya kutafuna!
Ni pombe mpya inayotokana na viazi vitamu na hupikwa kama ugali,Ati kwani sisha ndo nini?!
Acheni upuuzi kwenye mambo ya msingi,na msilete siasa kwenye maisha ya watu,siyo kila jambo ni kupinga tu hata kama madhara ni kidogoo bac yazuiwe yasikue zaidi,au mnataka wakianza kuugua mje kulaumu kwann shisha haikuzuiwa toka mwanzo,mpaka sasa nimeielewa serikali na hilo katazo kwa sababu imeona mbaliYaani kabisa na tai yangu na suti yangu naacha changamoto zote za wananchi wangu nakaa mbele ya Camera nazungumzia shisha?!
Hivi shisha ina percentage ngapi ya madhara ya kiuchumi na kijamii kwa mamilioni ya vijana wa Tanzania?
Hili ndilo tatizo kubwa kabisa kwa vijana kuliko mengine?
Huu mchezo wenu wa kutusahaulisha madai yetu ya msingi kwenu viongozi tumeugundua.
Shisha waachieni wazazi watashughulika nao,vipi ajira?Vipi ile mikopo?Vipi ubora wa elimu?Vipi pembejeo?vipi uhaba wa waalimu?Vipi thamani ya shilingi?Vipi afya?Vipi michezo?
Kuna mambo ya msingi hatutayasahau,nyie zungukeni wee,mkija tutawauliza haya haya,hakuna cha shisha wala shushu hapa!
Ngoja nilog off watu hawa wanatia hasira kweli!
Sheria imetungwa lini? Maana ndiyo yaleyale kila mwenye pumzi ya uhai katika awamu hii anaropoka ya kwake tu.
He kweli ni kichwa, kwahiyo serikana haina sababu ya kusimamia Afya za wananchi wake, kumbe hata wanapowashitaki watu wanakusudia kujinyonga wanakosea, kwa sababu ni uamuzi wao.kuchanganya na madawa ni uamuzi wa watumiaji.....shisha inatumia tumbaku ya kawaida........sawasawa na pombe mtu amue kutumia gongo ......NB: Tumbaku zote zina madhara
Umenena. Waache kutubabaisha. Kama muna nia ya dhati kupiga marufuku hivi vitu tungeni Sheria zifuatwe wacheni kuropoka ovyo.Yaani kabisa na tai yangu na suti yangu naacha changamoto zote za wananchi wangu nakaa mbele ya Camera nazungumzia shisha?!
Hivi shisha ina percentage ngapi ya madhara ya kiuchumi na kijamii kwa mamilioni ya vijana wa Tanzania?
Hili ndilo tatizo kubwa kabisa kwa vijana kuliko mengine?
Huu mchezo wenu wa kutusahaulisha madai yetu ya msingi kwenu viongozi tumeugundua.
Shisha waachieni wazazi watashughulika nao,vipi ajira?Vipi ile mikopo?Vipi ubora wa elimu?Vipi pembejeo?vipi uhaba wa waalimu?Vipi thamani ya shilingi?Vipi afya?Vipi michezo?
Kuna mambo ya msingi hatutayasahau,nyie zungukeni wee,mkija tutawauliza haya haya,hakuna cha shisha wala shushu hapa!
Ngoja nilog off watu hawa wanatia hasira kweli!
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amepiga marufuku matumizi ya shisha na kulitaka Jeshi la Polisi kufuatilia kutokomeza matumizi hayo ili kuwaokoa vijana.
Ameongeza kusema kuwa shisha ni aina ya tumbaku inayokuwa na ina mchanganyiko wa vilevi mbalimbali kama gongo na viroba na mtumiaji anapotumia kilevi hicho hukosa nguvu na hutaka kutumia kila siku na kufuata popote.
Ndani ya hio shisha wanatia viroba na gongo?Shisha ni hatari kuliko sigara,na hivyo wanatia viroba na gongo badala ya maji baridi ni hatari zaidi, inashangaza eti mtu anauliza;
"Hivi ni idadi gani ya wananchi wanaotumia hili shisha mpaka lilete madhara kwa nguvu kazi?"
Kwa hiyo mlitaka serikali isubiri kwanza mpaka Shisha lisambae nchi nzima na kudhuru idadi kubwa ya watu ndipo serikali iingilie kati?
Ni vizuri kulikabili tatizo kabla halijakua.
na sigara wapige marufuku maana yote ni kundi mojaMkuu hii shisha inaonekana inaharibu sana nguvu ya taifa, kuna hatari kubwa ya vijana wengi kuingia kwnye matumizi hayo kwa sababu ni addictive
Soma post namba 186.Kama hutaielewa rudia tena na tena hadi uelewe.Acheni upuuzi kwenye mambo ya msingi,na msilete siasa kwenye maisha ya watu,siyo kila jambo ni kupinga tu hata kama madhara ni kidogoo bac yazuiwe yasikue zaidi,au mnataka wakianza kuugua mje kulaumu kwann shisha haikuzuiwa toka mwanzo,mpaka sasa nimeielewa serikali na hilo katazo kwa sababu imeona mbali
Mbona comment yako kama umekunywa maji machafu? Nime quote maneno ya PM na ndio maana nikasema "na hivyo wanavyotia gongo na viroba ndio hatari zaidi" hukumsikia PM akisema maneno hayo? Mimi najua Shisha hutiwa maji baridi kwenye ule mtungi wake, umenielewa wewe Punguani?Ndani ya hio shisha wanatia viroba na gongo?
angalau ungesema wanaweka bangi.
msiropokwe tu vitu musivyovijua.
ni kweli ni hatari kuliko sigara, maana kumaliza kile kipande cha tumbaku ni sawa na kukaribia pakti mbili za sigara. ila usidanganye watu kama wanawake gongo utachekwa
mkuu, tatizo linapaswa kuwa kubwa kiasi gani ndio lianze kupigwa marufuku???!!!!!!!!!!!!!!Yaani kabisa na tai yangu na suti yangu naacha changamoto zote za wananchi wangu nakaa mbele ya Camera nazungumzia shisha?!
Hivi shisha ina percentage ngapi ya madhara ya kiuchumi na kijamii kwa mamilioni ya vijana wa Tanzania?
Hili ndilo tatizo kubwa kabisa kwa vijana kuliko mengine?
Huu mchezo wenu wa kutusahaulisha madai yetu ya msingi kwenu viongozi tumeugundua.
Shisha waachieni wazazi watashughulika nao,vipi ajira?Vipi ile mikopo?Vipi ubora wa elimu?Vipi pembejeo?vipi uhaba wa waalimu?Vipi thamani ya shilingi?Vipi afya?Vipi michezo?
Kuna mambo ya msingi hatutayasahau,nyie zungukeni wee,mkija tutawauliza haya haya,hakuna cha shisha wala shushu hapa!
Ngoja nilog off watu hawa wanatia hasira kweli!
He kweli ni kichwa, kwahiyo serikana haina sababu ya kusimamia Afya za wananchi wake, kumbe hata wanapowashitaki watu wanakusudia kujinyonga wanakosea, kwa sababu ni uamuzi wao.
Umeeleweka mkuu, wakati mwingine lazima tukae upande wa pili, ili kuona mawazo na michango ya wengine.nilichokuwa namaanisha SHISHA NI KAMA TUMBAKU NYINGINE...wanaoitumia kwa kuchanganya na madawa ni kwa uraibu wao binafsi lakini shisha haina madawa ya kulevya.... .ilipaswa kupiga marufuku matumizi ya tumbaku zote kwa sababu zote zina madhara ya kiafya kwa binadamu na sio kuichagua shisha tu...ndo maana nikasema nb..tumbaku zote zina madhara
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amepiga marufuku matumizi ya shisha na kulitaka Jeshi la Polisi kufuatilia kutokomeza matumizi hayo ili kuwaokoa vijana.
Ameongeza kusema kuwa shisha ni aina ya tumbaku inayokuwa na ina mchanganyiko wa vilevi mbalimbali kama gongo na viroba na mtumiaji anapotumia kilevi hicho hukosa nguvu na hutaka kutumia kila siku na kufuata popote.