Kule kijijini kwetu hakuna hata mmoja anayejua kitu kinaitwa shisha, sielewi kwa nini serikali inataka kulifanya kama jambo la kitaifa.
Sehemu wanapovuta bado ni chache na zinajulikana badala ya kutuma polisi kuwakamata wahusika instead wamekazana kushindana kwa matamko.
Sehemu wanapovuta bado ni chache na zinajulikana badala ya kutuma polisi kuwakamata wahusika instead wamekazana kushindana kwa matamko.