Waziri Mkuu aagiza daktari akamatwe baada ya wananchi kusimamisha msafara wake na kulalamika

We are going too far na naomba tusifike huko,ila mwenye nia ya kweli ya maendeleo ya nchi hii anajua kwamba this is true.Niseme tu kwamba nimekuwa kwa muda mrefu kwenye system ya utendaji serikalini,kwa hiyo ninajua ninacho ongelea.Hata CAG amewahi kuzungumzia swala hili,kwa hiyo sio siri.
Na kwa uwezo wako wa kufikiri,unaamini kila mfanyakazi wa serikali anahusika na wizi wa fedha ambazo CAG anaripoti!
Na kwa mantiki hiyo hapo juu,waziri mkuu anastahili kuagiza daktari wa kituo akamatwe kwa sababu kama hakuiba dawa,basi ameiba fedha za kununulia dawa?
Sitakulaumu kwa upeo huo,maana Mungu amejalia watu upeo tofauti na ndio maana hata mtu akikosa kitanda hospitali,anaamini nesi au daktari amekiiba.
Watanzania tunahitaji elimu maana si kwa hisia hasi kama hizi!
 
Hii ni kweli kabisa, nilipeleka mtoto Hospital (jina kampuni) kufika huko Dr aliyetupokea akatuandikia dawa na form ya kulazwa tumekwenda wodini na dawa kufika pale nikawa busy mara fanya hiki mara kile nurse mmoja kachukua zile dawa na kuziweka karibu na mgonjwa mara nikaitwa na kutakiwa nikanunie dawa zingine, nasoma ni zile zile nikawauliza wakasema nikanunue tu, nikasema siwezi maana ni hizo hizo ikabidi ati waangalie upya yule nurse wa kwanza hakuja kuangalia akaniambia aninanidai dawa yake kamchoma mgonjwa nikamwambia na yenyewe ipo kuangalia haipo, nikawaambia nimekuja nayo imepoteaje? Ikanibidi ninunue ile, kufika kwenye dawa mhudumu akasikitika sana maana aliniuzia, hakuna jinsi nikanunua, hapo nashukuru angalau najua kuzisoma hizo dawa, je wenzangu na Mimi inakuwaje?

Tabia hiyo walikuwa nayo manesi wa Hospitali ya mwana....... miaka ya 2010,

Sijui kwa sasa kama walijirekebisha au business as usual, Hospital ile niliichukia sana, kwani ilisababisha kifo cha Dada Yangu kwa mtindo huo huo.

Tangu 2010 sijawahi kwenda kutibiwa pale wala kumpeleka ndugu Yangu na aina hakika kama nitakuja niende kutibiwa pale kwanini hata njia sipitagi kabisa huko kwanini kikiiona tu namkumbuka Dada yangu .
 
Na kwa uwezo wako wa kufikiri,unaamini kila mfanyakazi wa serikali anahusika na wizi wa fedha ambazo CAG anaripoti!
Na kwa mantiki hiyo hapo juu,waziri mkuu anastahili kuagiza daktari wa kituo akamatwe kwa sababu kama hakuiba dawa,basi ameiba fedha za kununulia dawa?
Sitakulaumu kwa upeo huo,maana Mungu amejalia watu upeo tofauti na ndio maana hata mtu akikosa kitanda hospitali,anaamini nesi au daktari amekiiba.
Watanzania tunahitaji elimu maana si kwa hisia hasi kama hizi!
Sawa mimi uwezo wangu wa kufikiri ni mdogo na wala hakuna haja ya kuendelea kubishana,ila kama kweli uko serikalini you know what I am talking about.Ila hiki ni kiburi cha ajabu sana,yaani aliyekuajiri unamuona hajui wewe ndiye unayejua,sasa si ukatafute ajira pengine kama unaona hapo hapafai, kwa nini unaendelea kupang'ang'ania ?
 
Tabia hiyo walikuwa nayo manesi wa Hospitali ya mwana....... miaka ya 2010,

Sijui kwa sasa kama walijirekebisha au business as usual, Hospital ile niliichukia sana, kwani ilisababisha kifo cha Dada Yangu kwa mtindo huo huo.

Tangu 2010 sijawahi kwenda kutibiwa pale wala kumpeleka ndugu Yangu na aina hakika kama nitakuja niende kutibiwa pale kwanini hata njia sipitagi kabisa huko kwanini kikiiona tu namkumbuka Dada yangu .
Pole sana mkuu wasamehe bure
 
Kuna wengine wanajua pesa za makinikia zimeshalipwa za kutosha kununua Noah kwa kila mwananchi,ila hatuzioni kwa sababu kuna watumishi wa umma wameziiba!
Uelewa wa wananchi ndio huo.Sasa mtu kama PM akipewa tuhuma kama hizo ataagiza nani akamatwe?


Kwa akili yako, kila mtanzania awe na Noah, utaendeshea barabara gani? Kama hizo hela za makinikia zimelipwa wacha serikali ipeleke maendeleo katika sehemu husika.
 
Wanaiba wanapeleka wapi ndugu?Umewahi kufanya biashara ya dawa?Hebu jaribu kufanya halafu uuze dawa za serkali uone kama utamaliza hata miezi miwili katika biashara yako hujakamatwa!
Acheni kuishi kwa hisia,dawa ziletwe mwaka Jana,halafu ziwepo hadi leo?
Dawa gani hizo?


Mimi ni mfanya biashara...na hizi data nilizokupa ni za uhakika. Ukitaka ukweli zaidi ni PM nikupe habari kamili.
 
Back
Top Bottom