Alikuwa DraculaYule jamaa alikuwa subiani kabisa
Natamani nipate kuwa karibu naye ni we tulizo lake kwani ni muhimu na haki ya kisaikolojia kwake kuipataMama Janeth kanenepa na kunenepa. Daah! Dikteta alikuwa hatari Sana.
Hahahaha......😃😅Natamani nipate kuwa karibu naye ni we tulizo lake kwani ni muhimu na haki ya kisaikolojia kwake kuipata
Hivi hilo Jimbo lilishapata Mgombea au bado liko wazi?Mama Janeth kanenepa na kunenepa. Daah! Dikteta alikuwa hatari Sana.
Daaah kweli kabisa. Mama kanonaMama Janeth kanenepa na kunenepa. Daah! Dikteta alikuwa hatari Sana.
Kuwa mjane na wewe unenepe,Mama Janeth kanenepa na kunenepa. Daah! Dikteta alikuwa hatari Sana.
Alikuambia? Acha uswahiliKwa taarifa yako huyo mama kimoyoni alifurahia sana kutwaliwa hata kauli ya Makamba sr ilimzidishia furaha.
Oooh! Sorry!! Sikujua!!!Yeye ana mme hana mke
Sasa wewe ulitaka akutue wewe?Mama kapendeza sana!!!
Mzigo ameutua
Mim sio na siwezi kuwa mzigo kwa mama magufuli, mama asiye na mawaa wala makuu.Sasa wewe ulitaka akutue wewe?
Muandiko mbona kama ni wa kiume?Mim sio na siwezi kuwa mzigo kwa mama magufuli, mama asiye na mawaa wala makuu.
Mzigo ni ule alioutua moyoni mwake
Papa hujamsikia..Muandiko mbona kama ni wa kiume?
Enzi zile ya Kayafa hata sindano ilikuwa nene kuliko huyu mama.Hata mimi nimeona, yaani hatoshei kwenye kochi