Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Hili suala nilitegeme sana kutokea,toka kipindi kile linaanza liligubikwa na uwalakini.Hili dili haliweza kupita bila ya kuwa na Rushwa.Huko Nigeria Waziri na Katibu Mkuu wa wizara husika waliweka ndani kwa kupokea rushwa ya dola million 50 ili kuwapa kazi SAGEM.

Tatizo siyo Masha ila ni watu ambao wana Fuatilia hiyo dili.kuna wakati hapa Africa kusini nilishawahi kumuona waziri mmoja naye akifuatilia hiyo dili.

ila so far kuna mawaziri watatu wanafukuzia hiyo dili na sijui nani ataipata...watakaangana wao kwa wao!

Hata juzi kuamishwa kwa Katibu wa Wizara ya mambo ya ndani ni kutokana na hii ishu.Kuna kipindi flani Mhe. Rais ilibidi atengue uteuzi wa Afisa mtendaji wa hii kampuni baada ya kugunduliaka ulikuwa umeandaliwa mpango wa kifisadi.

Muunwgana alionya sana kuhusu hili dili na akamwambia Masha asimamie vyema na Rushwa isijitokeze.SAGEM ni kampuni kubwa na imefanya kazi kubwa sehemu mbali mbali ila Rushwa na haya makampuni makubwa haieoukiki.

Nimeshakuwa Engineer kwa makampuni makubwa kama na ni sera zao.

Inaonekana Serikalini ni rushwa na ufisadi mtupu-WIZI MTUPU! Kama Muungwana limwambia Masha asimamie vema na rushwa isijitokeze na wakati kuna dalili zote za rushwa tena ikipaliliwa na Waziri huyohuyo basi ni wazi JK hana Waziri katika Wizara hiyo,vinginevyo basi tuseme kuna mkono wa JK.
 
Kuna kipindi flani Mhe. Rais ilibidi atengue uteuzi wa Afisa mtendaji wa hii kampuni baada ya kugunduliaka ulikuwa umeandaliwa mpango wa kifisadi.

Mheshimiwa Rais anaenguaje uteuzi wa Afisa mtendaji wa kampuni binafsi?
 
Nani huyo kasema hivyo, mbona unamsitiri? Ha haahaaaaaaa! This is hilarious! Labda tungeona posti nzima, tusije mchukilia out of context....ha haahahahaaaaa
 
Mheshimiwa Rais anaenguaje uteuzi wa Afisa mtendaji wa kampuni binafsi?
Fundi Mchundo,Ibara ya 36 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia imeweka wazi suala hili.National Id Agency(NIDA) iko chini ya serikali na siyo kampuni Binafsi..Naomba kunukuu
36.-(1) Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika Katiba hii na ya sheria nyingine yoyote, Rais atakuwa na mamlaka ya kuanzisha na kufuta nafasi za madaraka ya namna mbalimbali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.


(2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi
unaofanywa na Rais.

(3) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (2), masharti mengineyo yaliyomo katika Katiba hii na ya sheria yoyote inayohusika, mamlaka ya kuwateua watu wengine wote wasiokuwa viongozi wala watendaji wakuu, kushika nafasi za madaraka katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, na pia mamalaka ya kuwapandisha vyeo watu hao, kuwaondoa katika madaraka, kuwafukuza kazi na mamlaka ya kudhibiti nidhamu ya watu waliokabidhiwa madaraka, yatakuwa mikononi mwa Tume za Utumishi na mamlaka mengineyo yaliyotajwa na kupewa madaraka kuhusu nafasi za madaraka kwa mujibu wa Katiba hii au kwa mujibu wa sheria yoyote inayohusika.

(4) Masharti ya ibara ndogo ya (2) na ya (3) hayatahesabiwa kuwa yanamzuia Rais kuchukua hatua za kudhibiti nidhamu ya watumishi na utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
 
Last edited:
Baada ya Masha kushirikiana na kina Rostam Aziz na Lowassa kumhujumu mengi, sana mfanyabiashara huyo naye amefanikiwa kumnasa Masha. Habari za ndani toka kwenye kambi ya Masha zinadokeza kuwa Waziri huyo kijana anahaha baada ya nyaraka zinazoonyesha matumizi mabaya ya madaraka katika mradi wa vitambulisho vya taifa kutinga kwa mengi. Wadadisi wa mambo wanachambua kuwa sakata hilo linaweza kabisa kumwondoa waziri huyo kijana katika nafasi yake ya kisiasa.

PM

Masha linked to furore over national ID project

2009-01-29 10:47:09
By Guardian Team


Home Affairs Minister Lawrence Masha interfered with the process of obtaining a company to implement the National Identity Card Project contrary to the rules and regulations governing tendering procedures, it has been established.

Impeccable sources have intimated to The Guardian that the minister made the move after discovering that the firm he deemed appropriate for the job was likely to lose the tender.

The sources say he intervened after his firm of choice, Spain’s Sagem Securite, was eliminated in the third round of the selection exercise.

The exercise was done by the ministry`s tender board and involved the screening of a total of 54 eligible firms.

The first round saw 33 bidders thrown out and 13 were dropped in the second, leaving only eight.

Members of the tender board include the Commissioner for Prisons, Inspector General of Police and the Head of the Fire Brigade, while the Prevention and Combating of Corruption Bureau is also represented.

According to the sources, Masha interfered with the process after receiving complaints from companies that were protesting ``unfair elimination``.

The sources add that on November 4 last year he summoned to his Dodoma office the ministry`s permanent secretary, who also chairs the tender board and is co-ordinator of the project. That was after receiving the complaints.

The minister is reported to have used the occasion to instruct the PS to call on the board to give a second chance to all tenders before the next phase of the process could start.

However, after going through the directives, the board stated that it was satisfied that there were no faults in the evaluation they had done.

It said Sagem Securite and all other bidders eliminated were treated fairly.

It is claimed that the PS was satisfied with the board`s response, which made minister Masha to summon him again apparently for advice from the Public Procurement Regulatory Authority (PPRA).

Meanwhile, Chief Secretary Philemon Luhanjo had already ordered the PS to present implementation reports to the cabinet meeting. This was after the PS had presented a report on the tender evaluation exercise to him.

The sources hint that Luhanjo`s decision to order the Home Affairs ministry PS to present an implementation report at a cabinet meeting annoyed Masha because he (the minister) claimed that he had not been involved.

The minister is further reported to have been discontented because he believed that he was the one supposed to present the report and was also the one who would be responsible for any further decisions that would be made in connection with the issue.

Following the controversy, the sources say, Masha wrote Prime Minister Mizengo Pinda a letter complaining about what the Chief Secretary had done.

Contacted for comment by telephone yesterday in Dodoma, where he is attending National Assembly sessions, Masha would neither confirm nor refute the reports.

``Who had told you that I interfered with the process? Ask that person for the details you want. As for me, I have just been discharging my ministerial responsibilities as usual,`` he said.

Asked if indeed he once wrote the PM a letter complaining against Luhanjo, the minister responded: ``Whether I wrote the PM the purported letter or not is confidential information. I don’t need to tell you that.``

A well-placed source with the PPRA said in an interview yesterday that any bidder feeling that he or she had been eliminated unfairly from a government tendering process ought to complain to the PS of the respective ministry.

The source said a bidder not satisfied with the decision made by the PS had the right to appeal to the PPRA no more than 28 working days after the results of tendering process are out.

Bidders not satisfied with the decision of the PPRA have the right to appeal to the Public Procurement Appeals Authority (PPAA), the topmost authority in that respect.

If a tender is announced and a contract has been signed by both parties, the aggrieved bidder can complain straight to the PPAA.

Two years ago the government announced the immediate implementation of a multi-billion-shilling National Identification Card Project scheduled for completion this year.

Joseph Mungai, then Home Affairs minister, said in Dodoma in February 2007 that the Smartcard system would be employed in place of the Barcode one used during the registration of voters for the 2005 General Election.

``Plans to execute the national ID project have been in progress since 1995. The cabinet received and endorsed a circular on the matter early this month after having decided that the project would be on a national scale,`` he explained.

The former minister said the project would cost 192bn/- and an independent National ID Management Agency would be formed and operate under the auspices of the ministry.

Funds had already been secured from various sources, with the World Bank having set aside USD 20m for the project, he added.

Explaining the comparative advantages of the Smartcard system, Mungai said it could store abundant information such as DNA analyses, criminal or medical reports, fingerprints and people`s birthplaces.

He added that any other valid data could be added to the card when necessary, including relevant information for national census purposes and on the number of eligible voters, the birth rate and development plans.

According to Mungai, the implementation of the project was preceded by studies from countries like Kenya, South Africa and Malaysia, with the Malaysian model found to be ``the best of them all``.

``The project will be provided with all facilities effective this month to cope with the timeframe set, which is December 2009. The IDs will be given free of charge but in case of misplacement one will be required to make some payment,`` said Mungai, without giving the amount.

He said overseeing the implementation of the exercise would be a steering committee drawing members from different categories, among them appropriate permanent secretaries and heads of department overseeing foreign affairs, civil service management, finance, and justice and constitutional affairs.

Local authorities would assist in data collection in Tanzania mainland and Zanzibar.

Mungai explained that security at the country`s territorial borders would be enhanced, with Immigration officials on hand to keep illegal immigrants away.

``The registration exercise will target all Tanzanian citizens wherever they may be residing as well as foreign nationals living in Tanzania. The IDs will indicate the actual status of each and every person covered,`` he noted.

A section of the media in January this year quoted the Home Affairs ministry`s spokesperson as saying that the government would pick one firm from a short-listed eight later cut to three to implement the project using `smart card` technology.

The spokesperson said a total of 54 local and foreign companies had tendered for prequalification.

Minister Masha was earlier quoted as having said the IDs could be made available before the end of this year through the National Identification Agency.

* SOURCE: Guardian
 
-Premier Pinda asked to intervene

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam


HOME Affairs Minister Lawrence Masha is reported to have clashed head-on with State House Chief Secretary Philemon Luhanjo over the ongoing tender process for the $152m (approx. 200bn/-) national identity cards project.

And well-placed sources confirm that the minister has officially brought the matter to the attention of the Prime Minister, Mizengo Pinda, and other top government leaders.

It is understood that the home affairs ministerial tender board had initially sought to float a restricted tender, but the government ordered the tender process to be made public to avoid loopholes for corruption and other wrongdoings.

According to the sources, Masha made a formal complaint to Pinda that Luhanjo instructed the permanent secretary in the home affairs ministry to submit a report to the ministerial cabinet on the implementation of the tender process without informing him (Masha) as minister.

An informed source told THISDAY: ’’The minister believes that the chief secretary should have involved him in the matter out of courtesy, instead of just communicating with the permanent secretary.’’

’’Sometime in December last year, he (the minister) decided to officially notify the prime minister that he was not satisfied with the way the tender process was being handled.’’

’’The minister told the prime minister that he was compelled to complain about the tender process out of political responsibility, although he acknowledged having no legal authority to intervene in the matter.’’

The chief secretary, who operates from State House, is secretary to the Cabinet and responsible for ensuring that all important government decisions are implemented.

However, it now transpires that Masha was apparently not amused by CS Luhanjo’s decision to instruct the Home Affairs PS to report straight to the Cabinet about the tender process.

It is understood that the minister’s argument was that he would be the one forced to shoulder political responsibility should anything go wrong within the ministry.

The sources say Masha also told Premier Pinda that he had received complaints from one of the bidders for the lucrative national IDs tender, SAGEM SECURITE of France, and subsequently summoned the Home Affairs PS to Dodoma last November for discussions on the matter.

According to the sources: ’’Apparently, he (Masha) was not happy with the way the preliminary evaluation of the tender was conducted, after some of the bidders were uplifted and given conditional pre-qualification, while others with similar qualifications were left out.’’

The sources further hinted that the minister told Pinda of a spreading ’notion’ that he (Masha) was personally favouring the French company to be awarded the tender, because he had decided to act on the company’s complaints after it was not short-listed.

A total of 54 companies initially tabled bids for the tender to supply a national identification, system-based, Smartcard technology, and a special government evaluation committee then picked 21 of the bidders for the pre-qualification stage.

Out of these, 16 bidders were found to be ’substantially responsive’, while five bidders were given ’conditional pre-qualification.’ The tender board later came up with a shortlist of eight companies, excluding SAGEM SECURITE, out of those recommended by the evaluation committee.

According to officials close to the national IDs project tender process, minister Masha apparently feels that a number of mistakes were made by the evaluation committee, and that all 21 initial bids (including SAGEM SECURITE) should be evaluated by the tender board.

The multi-billion shilling project is understood to have attracted the interest of quite a number of local politicians-cum-businessmen, said to be eagerly waiting to pounce on the deal.

Sources say there has been remarkable behind-the-scenes lobbying by some of the bidding companies to land the contract.
 
Baada ya Manji, sasa attention imehamia kwa Masha!
Kweli hivi vitakuwa vyombo vya habari? Ukigombana na mmiliki, wewe ndio unatengeneza habari!
 
Baada ya Manji, sasa attention imehamia kwa Masha!
Kweli hivi vitakuwa vyombo vya habari? Ukigombana na mmiliki, wewe ndio unatengeneza habari!


Kwa hiyo unaamini kwamba hii habari haistahili kutoka magazetini isipokuwa kwa sababu Masha amegombana na mmiliki?
 
- Kesi ya Pinda na maneno ya Albino haijaisha, halafu yeye huyo Pinda ameletewa kesi nyingine ya Masha na ID, ili atoe umauzi kabla ya uamuzi wa kesi yake Pinda, wooow! this is incredible!

Mungu Aibariki Tanzania.
 
Ukiyavulia maji nguo huna budi kuyaoga. With Kulikoni, This Day, Nipashe et al.... Masha is finished!!!! Uzuri wa mzee Mengi huwa hapendi kuendekeza ubishi au malumbano, huwa analimaliza taratibu kwa sauti ndogo kabisa lakini kichwani mipango moto. Pole Masha. Ila kama kweli ana vithibitisho kuwa kuna kaupendeleo fulani Masha alijaribu ili kuipa kazi company of his choice basi ni vema mzee mengi au vijana wake waturushie hapa kama ile midocs ya EPA. Isije ikawa tena ni kuchafuliana majina.
 
Ukiyavulia maji nguo huna budi kuyaoga. With Kulikoni, This Day, Nipashe et al.... Masha is finished!!!! Uzuri wa mzee Mengi huwa hapendi kuendekeza ubishi au malumbano, huwa analimaliza taratibu kwa sauti ndogo kabisa lakini kichwani mipango moto.

- Maneno mazito sana haya mkuu, by the way for the record Mengi amewahi kuwamaliza viongozi wangapi in the past, just to be safe na the history maana si unajua hapa ni where we dare.

Thanxs!
 
-Premier Pinda asked to intervene

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam


HOME Affairs Minister Lawrence Masha is reported to have clashed head-on with State House Chief Secretary Philemon Luhanjo over the ongoing tender process for the $152m (approx. 200bn/-) national identity cards project.

And well-placed sources confirm that the minister has officially brought the matter to the attention of the Prime Minister, Mizengo Pinda, and other top government leaders.

It is understood that the home affairs ministerial tender board had initially sought to float a restricted tender, but the government ordered the tender process to be made public to avoid loopholes for corruption and other wrongdoings.

According to the sources, Masha made a formal complaint to Pinda that Luhanjo instructed the permanent secretary in the home affairs ministry to submit a report to the ministerial cabinet on the implementation of the tender process without informing him (Masha) as minister.

An informed source told THISDAY: ’’The minister believes that the chief secretary should have involved him in the matter out of courtesy, instead of just communicating with the permanent secretary.’’

’’Sometime in December last year, he (the minister) decided to officially notify the prime minister that he was not satisfied with the way the tender process was being handled.’’

’’The minister told the prime minister that he was compelled to complain about the tender process out of political responsibility, although he acknowledged having no legal authority to intervene in the matter.’’

The chief secretary, who operates from State House, is secretary to the Cabinet and responsible for ensuring that all important government decisions are implemented.

However, it now transpires that Masha was apparently not amused by CS Luhanjo’s decision to instruct the Home Affairs PS to report straight to the Cabinet about the tender process.

It is understood that the minister’s argument was that he would be the one forced to shoulder political responsibility should anything go wrong within the ministry.

The sources say Masha also told Premier Pinda that he had received complaints from one of the bidders for the lucrative national IDs tender, SAGEM SECURITE of France, and subsequently summoned the Home Affairs PS to Dodoma last November for discussions on the matter.

According to the sources: ’’Apparently, he (Masha) was not happy with the way the preliminary evaluation of the tender was conducted, after some of the bidders were uplifted and given conditional pre-qualification, while others with similar qualifications were left out.’’

The sources further hinted that the minister told Pinda of a spreading ’notion’ that he (Masha) was personally favouring the French company to be awarded the tender, because he had decided to act on the company’s complaints after it was not short-listed.

A total of 54 companies initially tabled bids for the tender to supply a national identification, system-based, Smartcard technology, and a special government evaluation committee then picked 21 of the bidders for the pre-qualification stage.

Out of these, 16 bidders were found to be ’substantially responsive’, while five bidders were given ’conditional pre-qualification.’ The tender board later came up with a shortlist of eight companies, excluding SAGEM SECURITE, out of those recommended by the evaluation committee.

According to officials close to the national IDs project tender process, minister Masha apparently feels that a number of mistakes were made by the evaluation committee, and that all 21 initial bids (including SAGEM SECURITE) should be evaluated by the tender board.

The multi-billion shilling project is understood to have attracted the interest of quite a number of local politicians-cum-businessmen, said to be eagerly waiting to pounce on the deal.

Sources say there has been remarkable behind-the-scenes lobbying by some of the bidding companies to land the contract.

Mkuu, hii ni Richmond, Richmond period! Masha, kutokana na ufuasi wake kwa Lowassa, sasa anaiga hata staili ya kuingilia michakato ya zabuni aliyokuwa nayo bosi wake. Tatizo ni kuwa Masha bado ana akili ya kitotototo, ameingia mwenyewe kichwakichwa! Bosi wake Lowassa alipitia kwa Msabaha na Karamagi, akasevu kijanja ingawa bado tunamhitaji Kisutu baadaye. Sasa naelewa kwa nini Masha alikwenda Segerea kukagua vyumba vipya vya wafungwa maVIP. Kumbe alikuwa anajiandalia chumba chake! Soma ripoti ya Kamati ya Mwakyembe uone mbinu za Lowassa na za Masha zinavyofanana!
 
- Kesi ya Pinda na maneno ya Albino haijaisha, halafu yeye huyo Pinda ameletewa kesi nyingine ya Masha na ID, ili atoe umauzi kabla ya uamuzi wa kesi yake Pinda, wooow! this is incredible!

Mungu Aibariki Tanzania.

Mkulu FMES,

Nchi hii ni nchi ya Maigizo, tunamaliza hili linakuja hili. Mie natafuta Maproducer wa haya matukio.

Suala la RDC na lenye we halijaisha, EPA hivyo hivyo. Pinda alibebeshwa mizigo miwili mizito ya RDC na na hili la EPA-KAGODA! Mbaya zaidi la Kagoda walimuandalia na jibu.

Kuhusu suala la maalbino,Hivi kweli mnataka Ajiuzuru? Na nani apewe uwaziri Mkuu? Atarudishwa Mamvi

Jana niliposoma thread ya kuandikisha Line za Simu, Najua ipo siku kuna mpuuzi mmoja tena kiongozi atakurupuka na kuuliza kama kuna uwezekano wa wana JF tuweke Majina yetu halisi... Ipo siku
 
Ndugu zangu wana JF, hivi kwa nini Uhamiaji (Immigration) wasiwezeshwe kidogo, ili wachukue kazi hii, Kikatiba na Kitaalamu wao ndio wenye uwezo wa kufanya kazi hii vizuri kuliko wageni, tena , hapa tatizo ni kuwapa teknolojia na vitendea kazi, hivi serikali inashindwa kununu teknolojia kwa kampuni kama HP au IBM, ikafanya kazi yenyewe?
 
Something is not right here, and damn right fishy!

So, out of 54 companies only 8 "passed" the process and will receive RFPs? I think that is foul - rumor has it that what Masha did was advise that at least 25 companies should receive RFPs to avoid the "loopholes and other wrongdoings". Besides, hiyo list ya kampuni 8 haijatangazawa sasa hao SAGEM wameenda kulalamika nini kwa Masha? Unadhani Masha angejiingiza hivihivi tu kujaribu kutetea kampuni inayolalamika huku akijua waliopita hawajatangazwa? I don't think he is that stupid.

Furthermore, he as the minister, is the one responsible for this project, even though it is rumored that the whole project is being handled straight out of the State House, hence the overwhelming presence of Chief Secretary Luhanjo. I don't know the rules ya mambo ya huko Ikulu but shouldn't the minister be the one to table issues to the cabinet? If he was by-passed throughout the whole process and the PS was "summoned" to the cabinet, I think he as a full minister has the right to protest hence the supposed letter to PM Pinda

Aaahh, kwangu mimi hakuna kitu hapa, hakuna Richmond wala kumalizwa na Mengi - Mengi himself is one overrated and egotistical publicity seeking businessman and I personally think he should avoided like the plague!!!!
 
Wakuu;

Nimesoma Mwananchi Online kuwa Wapinzani wamliza Mh Pinda. Mlioko karibu, nini kimetokea? ni hili la Masha?
 
Niko nasikiliza kipindi cha Bunge live, Maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu. Amemuuliza Waziri Mkuu kuhusu Waziri mmoja kuingilia tenda ya kuchapa vitambulisho vya taifa kinyume cha utaratibu. Amembana Waziri Mkuu atoe kauli maana ukiukwaji huo umesharipotiwa kwake na akataja namba ya Barua. Waziri Mkuu amekiri ni kweli suala hilo liko kwake ila Dk. Slaa amekuwa na haraka kuliongelea na kusema kuwa Ofisi ya Waziri Mkuu itamchukulia hatua Waziri huyo baada ya uchunguzi kuthibitisha hilo.
Nadhani Dk Slaa alikuwa akimzungumzia Waziri Masha ambaye thread moja inamtaja Mh Masha kama Waziri mmojawapo aliyekalia kuti kavu.

Waziri mkuu kakubali. Tuvute subira tuone ni hatua gani zitachukuliwa?? Ila hili la uchunguzi linaleta mashaka ukichukulia uchunguzi wa Bongo ulivyo wa kisiasa ili kuwayeyusha watu (mazingaombwe)????
 
Back
Top Bottom