Waziri Makonda anzisha sera ya mitandao mbadala wa instagram na tiktok Tanzania

Waziri Makonda anzisha sera ya mitandao mbadala wa instagram na tiktok Tanzania

Najua hili unaliweza bila shaka ili tuondokane na utegemezi wa kibeberu.Tujifunze kwa wachina
JF si ndiyo mbadala na kwa huko TZ mmeifungia, au unamaanisha CCM ndiyo iwe na overall control?
 
Haya majitu yanayozima internet nchi nzima ili kuiba kura na kuua, eti leo yanataka kutengeneza Facebook na instagram, umechoka akili wewe
 
Najua hili unaliweza bila shaka ili tuondokane na utegemezi wa kibeberu.Tujifunze kwa wachina
Kama vyombo vyote vya habari vya serekali na vya machawa wenu havina mvuto, ndio huo utopolo wenu watu watautumia? Hiki sio kizazi cha kuchaguliwa mke dogo.
 
JF hii hapa wanaipiga vita Kila uchwao
Labla waanzishe mtandao wa ccm
 
yaan mtutengenezee utopolo wenu halafu mtupekue mtuue!! mmeshachelewa dunia hairudu nyuma! labda Makonda ndio arudi nyumenyume akutane na mwiko
Na kwa sambwanda hili sipati piicha
Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
 
Hahahaha
Hata kwa dawa!
Niache x, Instagram etc etc nijiunge na ya hao machawa?!
 
Kwanini jamiiforums mnaipiga vita kila siku!!?, siku za kifungo zimeisha lakini bado mnaendelea kushikilia kuingia mpaka tuwe na VPN!, ama kweli nabii hakubaliki kwao na adui hatoki mbali.
 
Back
Top Bottom