Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,703
Taarifa muhimu kwa Umma: Waziri Makamba Ziarani nchini Saud Arabia
Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba yupo Ziarani nchini Saudi Arabia kwa mualiko wa Waziri wa Nishati wa nchi hiyo Abdulaziz Bin Salman Al Saud na atashiriki hafla ya uzinduzi wa "Saud Green Initiative"
Waziri Makamba pia atashiriki kufanya mikutano ya kutangaza fursa za uwekezaji kwenye sekta ya Nishati nchini Tanzania.
KaziIendelee
Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba yupo Ziarani nchini Saudi Arabia kwa mualiko wa Waziri wa Nishati wa nchi hiyo Abdulaziz Bin Salman Al Saud na atashiriki hafla ya uzinduzi wa "Saud Green Initiative"
Waziri Makamba pia atashiriki kufanya mikutano ya kutangaza fursa za uwekezaji kwenye sekta ya Nishati nchini Tanzania.
KaziIendelee