Walikua wanabadilishia nguo AirportHawa ndo walikua wanapishana angani enzi za JK...naona trend inarudi taratibu...
Kama wanapishana angani ili kuhamasisha uwekezaji nchini aisee ndege zijazwe mafuta kabisa ziwe tayari tayari. Si afya nchi kujaa machinga kiasi hiki.Hawa ndo walikua wanapishana angani enzi za JK...naona trend inarudi taratibu...
And yet he is ahead of you in everything......fame, status, economic stability and right now, while you are there hiding in your village (which lacks electricity and tarmac road) trying to put a spell, he is in Saudi Arabia trying to do something for you while handsomely paid!Huyu failure na Mwizi wa Mitihani Galanos ni kilaza sana
Kabisa, ndo hukohuko, alitaka kujua visivyofaa kujulikanaHivi Saudi Arabia ndiko walimkashogu yule mwandishi wa habari?
Brain zero at workTanzania si KISIWA.....
Ni lazima tushirikiane na DUNIA kwani tuko ndani ya UMOJA WA MATAIFA(UN)!!!
Siempre JMT
Umewaza mbali sana.Akienda kuwambia fursa kuwekeza kwenye gesi na mafuta itakuwa ni kuwatangazia kuwa Tz ni mshindani wao. Labda akahimize utalii na biashara ya nyama na samaki
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Hao wako mbali wamemalizana adui ujinga maradhi umasikini....sasa wanakimbiza dunia ilipo....kuna steps tunataka kurukia ingawa sio mbaya sana ila tuwe makini kurkia rukia huko.....angalizo tu
Mh. Waziri tafadhali tunaomba utuombee tuletewa wakimbizi wa Syria, Afghanistan na vijana magaidi waje watufundishe maishaTaarifa muhimu kwa Umma: Waziri Makamba Ziarani nchini Saud Arabia
Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba yupo Ziarani nchini Saudi Arabia kwa mualiko wa Waziri wa Nishati wa nchi hiyo Abdulaziz Bin Salman Al Saud na atashiriki hafla ya uzinduzi wa "Saud Green Initiative"
Waziri Makamba pia atashiriki kufanya mikutano ya kutangaza fursa za uwekezaji kwenye sekta ya Nishati nchini Tanzania.
KaziIendelee
Tuna waziri wa masuala ya biashara na uwekezaji.Waziri Makamba pia atashiriki kufanya mikutano ya kutangaza fursa za uwekezaji kwenye sekta ya Nishati nchini Tanzania.
Bhaghosha!!!!Hiii
So what ????And yet he is ahead of you in everything......fame, status, economic stability and right now, while you are there hiding in your village (which lacks electricity and tarmac road) trying to put a spell, he is in Saudi Arabia trying to do something for you while handsomely paid!
IQ ndogo bwana Mataga huwezi kuelewa.Kwani amehamishiwa Wizara ya Uwekezaji tena?
Wengine tunaogopa asije kua anatafuta wanunuzi wa tanesco. Tatizo huyu kijana anajidai anajua sana asije kutuharibia nchi. Anaonekana anapenda mfumo wa kibwanyenye ili anufaike binafsi.Taarifa muhimu kwa Umma: Waziri Makamba Ziarani nchini Saud Arabia
Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba yupo Ziarani nchini Saudi Arabia kwa mualiko wa Waziri wa Nishati wa nchi hiyo Abdulaziz Bin Salman Al Saud na atashiriki hafla ya uzinduzi wa "Saud Green Initiative"
Waziri Makamba pia atashiriki kufanya mikutano ya kutangaza fursa za uwekezaji kwenye sekta ya Nishati nchini Tanzania.
KaziIendelee