Waziri Makamba kaanza vibaya, nahofia atafeli kama wenzie

Nimesoma taarifa kuwa waziri Makamba atafukuza watu umeme ukiendelea kukatika nimejikuta nasema 'yale yale'..

Makamba mashabiki wake wanampamba Sana kama mtu mwenye akili na Presidential material lakini cha ajabu anakuja na kauli zile zile za kufukuza watu..
Kalemani alikuwa anafukuza na kuhamisha Hadi wafanyakazi wa chini kabisa Tanesco but still hakuna alicho achieve..

Natamani kumshauri Makamba...Ku deal na management ya Tanesco ikiwezekana kushawishi apatikane CEO hata kutoka nje ya nchi na kuvunja bodi...

Natamani kumshauri Makamba afanye reverse ya policy ya centralisation ya mashirika ya umma yote na taasisi zake
Na shirika kama Tanesco lijiendeshe kama
Any Corporation na sio kupokea maagizo ya Utumishi au wanasiasa...

Natamani kumshauri vingi Waziri Makamba but kwa level yake naamini hakuna kipya ambacho ntaweza shauri
Kama ni smart kama anavyosemwa basi
Haya anapaswa kuyajua....na mengine mengi lakini kama hayajui na atazidi kutishia kufukuza watu na kufukuza kweli

Kwa maana ya waziri mzima kufanya kazi zinazotakiwa kufanywa na CEO wa Tanesco huku ceo wa Tanesco akiwa kama picha hana mamlaka hata ya kuajiri yeyote .. wala kupanga bajeti ya chochote bila Serikali kuu kutoa maagizo basi ..
Makamba atakuwa hana jipya ..
Na mda si mrefu tutakuwa tunasubiri aondolewe aletwe mwingine wizara hiyo
Inayo ongoza kufukuza mawaziri Tz..

Hii ni wizara tamu sana.....
 
Nimesoma taarifa kuwa waziri Makamba atafukuza watu umeme ukiendelea kukatika nimejikuta nasema 'yale yale'..

Makamba mashabiki wake wanampamba Sana kama mtu mwenye akili na Presidential material lakini cha ajabu anakuja na kauli zile zile za kufukuza watu..
Kalemani alikuwa anafukuza na kuhamisha Hadi wafanyakazi wa chini kabisa Tanesco but still hakuna alicho achieve..

Natamani kumshauri Makamba...Ku deal na management ya Tanesco ikiwezekana kushawishi apatikane CEO hata kutoka nje ya nchi na kuvunja bodi...

Natamani kumshauri Makamba afanye reverse ya policy ya centralisation ya mashirika ya umma yote na taasisi zake
Na shirika kama Tanesco lijiendeshe kama
Any Corporation na sio kupokea maagizo ya Utumishi au wanasiasa...

Natamani kumshauri vingi Waziri Makamba but kwa level yake naamini hakuna kipya ambacho ntaweza shauri
Kama ni smart kama anavyosemwa basi
Haya anapaswa kuyajua....na mengine mengi lakini kama hayajui na atazidi kutishia kufukuza watu na kufukuza kweli

Kwa maana ya waziri mzima kufanya kazi zinazotakiwa kufanywa na CEO wa Tanesco huku ceo wa Tanesco akiwa kama picha hana mamlaka hata ya kuajiri yeyote .. wala kupanga bajeti ya chochote bila Serikali kuu kutoa maagizo basi ..
Makamba atakuwa hana jipya ..
Na mda si mrefu tutakuwa tunasubiri aondolewe aletwe mwingine wizara hiyo
Inayo ongoza kufukuza mawaziri Tz..
baadhi ya wafanyakazi wa kibongo ni hatari sana kuliko kansa.
hata ningekuwa mimi dawa yao ni kuwafukuza tu, wapo baadhi yao wanajituma lkn baadhi wapo wapo tu kazi yao kupiga majungu na fitina, hao hawafai kuhamisha bali kufukuza kabisa wakalime maharagwe.
naunga mkono kauli ya waziri Makamba.
asikubali kubembeleza mtu, hawataki kubadilika, wanahujumu juhudi za serikali ni bora kuwatupa.
Kwa aina ya wafanyakazi wa kitz hakuna jinsi ya kudili nao zaidi ya kuwafukuza kazi, nje wapo watanzania wengi wanataka kazi.
Umeme ndio uchumi wa nchi, ktk karne hii ni aibu sana kuona umeme unakatika katika ovyo eti kwa sababu tu ya uzembe wa wafanyakazi wachache hilo halikubaliki!!
wananchi wanataka umeme wa Uhakika na wenye nguvu ya kutosha.
 
Nchi hii hakuna jipya, January aliwahi kuwa waziri ,sitegemei jipya lolote.....amewahi kutuhumiwa kuwa anahusika na Kigogo2014 kule twita......naunganisha dots naona saizi ghafla Kigogo2014 kawa pro-gavamenti.....anewei ngoja niishie hapo ila Tanzania hatuhitaji watu wachapakazi ila TAASISI IMARA
 
Makamba kaletwa na kapewa maelekezo maalum na wanachokitaka watawala, msitegemee lolote jipya. Na kama alishindwa kwenye wizara muchekea kama ya muungano hivi nishati ataiweza wapi? Sema yuko pale kwa "mpango" maalum tu na si eti kuwasaidia watumiaji
 
Makamba hana lolote ukifikiria haya,
mosi. Ndo alikuwa mpinga mradi wa bwawa la kufua umeme la mwal Nyerere na leo kapewa idara yenye huo mradi.
pili. Yeye atakuwa kawekwa lengo likiwa kuchota pesa ama kuua ule mradi wa Nyerere
 
Makamba hana lolote ukifikiria haya,
mosi. Ndo alikuwa mpinga mradi wa bwawa la kufua umeme la mwal Nyerere na leo kapewa idara yenye huo mradi.
pili. Yeye atakuwa kawekwa lengo likiwa kuchota pesa ama kuua ule mradi wa Nyerere
Ila kama wana lengo la kuua ule mradi watakuwa hawafai kabisa, maana ni wapi tutakuja pata umeme mwingi na wa uhakika, ila naamini hata wakifanya hivyo, Mungu atatuletea mwingine wa kufanya kama JPM
 
Makamba hana lolote ukifikiria haya,
mosi. Ndo alikuwa mpinga mradi wa bwawa la kufua umeme la mwal Nyerere na leo kapewa idara yenye huo mradi.
pili. Yeye atakuwa kawekwa lengo likiwa kuchota pesa ama kuua ule mradi wa Nyerere
Ila kama wana lengo la kuua ule mradi watakuwa hawafai kabisa, maana ni wapi tutakuja pata umeme mwingi na wa uhakika, ila naamini hata wakifanya hivyo, Mungu atatuletea mwingine wa kufanya kama JP
Kwanini ashindwe? Wakandarasi wapo na hela zipo kunashindikana nini? Shida ni watu kimpenda jamaa sababu alijisahau na kufunga watu bila sababu
Ni nani alifunga watu bila sababu?
 
Huyo kipara ngoto muizi wa kura 2015(Tallying centre)Tangu lini akawa smart Zaid ya wizi na kupika majungu tu ndani ya chama KWA kivuli cha dingi ake.

Huyu anatumia principle ya kukaa kimya mara nyingi na kucheka cheka hovyo ila ni mficha udhaifu wake,Hebu aweke speech walau robo saa tu uone PUMBA atazotoa zisizoeleweka wala kufikirika.

Huyu KWA upishi wa majungu tu anafaa sanaa lakini si kua great thinker ktk kuwaongoza watu.
ukawa era.jpg
 
Ila kama wana lengo la kuua ule mradi watakuwa hawafai kabisa, maana ni wapi tutakuja pata umeme mwingi na wa uhakika, ila naamini hata wakifanya hivyo, Mungu atatuletea mwingine wa kufanya kama JP

Ni nani alifunga watu bila sababu?
Aliyetoka alikuwa anaona sifa kuvuruga watu tena kwa kuwaonea
 
Huyo kipara ngoto muizi wa kura 2015(Tallying centre)Tangu lini akawa smart Zaid ya wizi na kupika majungu tu ndani ya chama KWA kivuli cha dingi ake.

Huyu anatumia principle ya kukaa kimya mara nyingi na kucheka cheka hovyo ila ni mficha udhaifu wake,Hebu aweke speech walau robo saa tu uone PUMBA atazotoa zisizoeleweka wala kufikirika.

Huyu KWA upishi wa majungu tu anafaa sanaa lakini si kua great thinker ktk kuwaongoza watu.
Hakika mkuu umenena
Moja ya kauli zake "CCM hawezi ondoka kwa njia ya makalatasi" afu utashangaa watu wanakuja kumwagia sifa kibao. Huyu jamaa hafai hata kupewa uwenyekiti wa kitongoji. Upigaji utarudi kama enzi za JK , maneno haya yawe kama akiba uko tuendako
 
Nimesoma taarifa kuwa waziri Makamba atafukuza watu umeme ukiendelea kukatika nimejikuta nasema 'yale yale'..

Makamba mashabiki wake wanampamba Sana kama mtu mwenye akili na Presidential material lakini cha ajabu anakuja na kauli zile zile za kufukuza watu..
Kalemani alikuwa anafukuza na kuhamisha Hadi wafanyakazi wa chini kabisa Tanesco but still hakuna alicho achieve..

Natamani kumshauri Makamba...Ku deal na management ya Tanesco ikiwezekana kushawishi apatikane CEO hata kutoka nje ya nchi na kuvunja bodi...

Natamani kumshauri Makamba afanye reverse ya policy ya centralisation ya mashirika ya umma yote na taasisi zake
Na shirika kama Tanesco lijiendeshe kama
Any Corporation na sio kupokea maagizo ya Utumishi au wanasiasa...

Natamani kumshauri vingi Waziri Makamba but kwa level yake naamini hakuna kipya ambacho ntaweza shauri
Kama ni smart kama anavyosemwa basi
Haya anapaswa kuyajua....na mengine mengi lakini kama hayajui na atazidi kutishia kufukuza watu na kufukuza kweli

Kwa maana ya waziri mzima kufanya kazi zinazotakiwa kufanywa na CEO wa Tanesco huku ceo wa Tanesco akiwa kama picha hana mamlaka hata ya kuajiri yeyote .. wala kupanga bajeti ya chochote bila Serikali kuu kutoa maagizo basi ..
Makamba atakuwa hana jipya ..
Na mda si mrefu tutakuwa tunasubiri aondolewe aletwe mwingine wizara hiyo
Inayo ongoza kufukuza mawaziri Tz..
Its too early to judge someone in this short a time. Tunahitaji Waziri aneweza kufikiri strategically not operational wise. Waziri Makamba please think trategically isiingie kwenye kuayaendesha mashirika yaliyo chini yako utapoteza mwelekeo kama aliyekutangulia. Nashindwa kuelewa mwelekeo wa viongozi wa leo kazi yao kubwa ni kukagua miradi badala ya kufikiri solution zitakazopeleka nchi mbele. Fukuza huyu fukuza yule kumbe tatizo ni mwajiri mwenyewe hii sio njia sahihi ya kuongoza nchi. Ministers should think big not operational. Wamefunga nguzo mkataba ilikuwaje ooh Mkandarasi ametender high nakadhalika. Waziri mwenyewe mwalimu anahoji tender ya kiufundi mtu anafukuzwa. Hii ni ujima.
 
Back
Top Bottom