The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,870
Nimesoma taarifa kuwa waziri Makamba atafukuza watu umeme ukiendelea kukatika nimejikuta nasema 'yale yale'..
Makamba mashabiki wake wanampamba Sana kama mtu mwenye akili na Presidential material lakini cha ajabu anakuja na kauli zile zile za kufukuza watu..
Kalemani alikuwa anafukuza na kuhamisha Hadi wafanyakazi wa chini kabisa Tanesco but still hakuna alicho achieve..
Natamani kumshauri Makamba...Ku deal na management ya Tanesco ikiwezekana kushawishi apatikane CEO hata kutoka nje ya nchi na kuvunja bodi...
Natamani kumshauri Makamba afanye reverse ya policy ya centralisation ya mashirika ya umma yote na taasisi zake
Na shirika kama Tanesco lijiendeshe kama
Any Corporation na sio kupokea maagizo ya Utumishi au wanasiasa...
Natamani kumshauri vingi Waziri Makamba but kwa level yake naamini hakuna kipya ambacho ntaweza shauri
Kama ni smart kama anavyosemwa basi
Haya anapaswa kuyajua....na mengine mengi lakini kama hayajui na atazidi kutishia kufukuza watu na kufukuza kweli
Kwa maana ya waziri mzima kufanya kazi zinazotakiwa kufanywa na CEO wa Tanesco huku ceo wa Tanesco akiwa kama picha hana mamlaka hata ya kuajiri yeyote .. wala kupanga bajeti ya chochote bila Serikali kuu kutoa maagizo basi ..
Makamba atakuwa hana jipya ..
Na mda si mrefu tutakuwa tunasubiri aondolewe aletwe mwingine wizara hiyo
Inayo ongoza kufukuza mawaziri Tz..
Makamba mashabiki wake wanampamba Sana kama mtu mwenye akili na Presidential material lakini cha ajabu anakuja na kauli zile zile za kufukuza watu..
Kalemani alikuwa anafukuza na kuhamisha Hadi wafanyakazi wa chini kabisa Tanesco but still hakuna alicho achieve..
Natamani kumshauri Makamba...Ku deal na management ya Tanesco ikiwezekana kushawishi apatikane CEO hata kutoka nje ya nchi na kuvunja bodi...
Natamani kumshauri Makamba afanye reverse ya policy ya centralisation ya mashirika ya umma yote na taasisi zake
Na shirika kama Tanesco lijiendeshe kama
Any Corporation na sio kupokea maagizo ya Utumishi au wanasiasa...
Natamani kumshauri vingi Waziri Makamba but kwa level yake naamini hakuna kipya ambacho ntaweza shauri
Kama ni smart kama anavyosemwa basi
Haya anapaswa kuyajua....na mengine mengi lakini kama hayajui na atazidi kutishia kufukuza watu na kufukuza kweli
Kwa maana ya waziri mzima kufanya kazi zinazotakiwa kufanywa na CEO wa Tanesco huku ceo wa Tanesco akiwa kama picha hana mamlaka hata ya kuajiri yeyote .. wala kupanga bajeti ya chochote bila Serikali kuu kutoa maagizo basi ..
Makamba atakuwa hana jipya ..
Na mda si mrefu tutakuwa tunasubiri aondolewe aletwe mwingine wizara hiyo
Inayo ongoza kufukuza mawaziri Tz..