gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Mh Makamba sijawahi kuona wafanyakazi wako wazembe mkiwawajibisha kwenye ziara zako zakusikiliza kero za wananchi nafikiri ndio sababu wakandarasi wakishirikiana na wakaguzi Kabla ya miradi ya REA kukabidhiwa kwa TANESCO wanaendelea kupiga pesa.
Mh makamba huwa nafuatilia sana makala zenu za kuelemisha kwenye TV,moja ya sababu ambazo umekua ukitolea ufafanuzi zinazopelekea umeme kuwa mdogo ni ukubwa wa waya unaotumika kwenye service line yaani kwenye zile nguzo za mitaani kutoka nguzo moja kwenda nyingine.
Mh Makamba pamoja na mtendaji mkuu wako wa TANESCO bw Maharage mlishawahi kuwawajibisha wakaguzi wangapi kwakuikubali na kuipitisha miradi ya REA kwakuwa chini ya kiwango?
Hili la usambazaji wa waya za 25mm hasa kwenye miradi ya REA ni tatizo kubwa sana ambapo wakandarasi wanazitumia ili kupiga pesa jambo ambalo linasababisha vyombo vyetu wananchi vinaungua kutokana na umeme kuwa mdogo.
Mh Makamba hakikisheni hili jambo linakomeshwa, hizi makala zenu zitakuwa hazina maana kama yale mnayoyasemea bado mnaendelea kuyafanya.
Nipo tayari kuwaonesha hizi waya zenu kama ninyi mtajifanya vipofu hamzioni huko mitaani.
Asante.
22/10/2022
Mpaka leo licha ya kuwatumia namba yangu ya simu pm TANESCO hawajanitafuta.
Binafsi nimejua ni kwanini wanakuwa wazito kunitafuta,
Katika tatizo sugu tanesco ni uzingatiaji wa matumizi sahihi ya size za waya,
Ukitembea humu mitaani naweza sema maeneo mengi wanatumia 25mm badala ya 50mm inayohitajika.
Niendelee kusisitiza kwa wizara waache ile kauli ya wazaramo,"zilongwa mbali zitendwa mbali".
Haya kama mnaona haina haja kunitafuta,zingatieni standard kwenye utekelezaji wa kazi zenu ili vifaa vyetu viwe salama.
Mh makamba huwa nafuatilia sana makala zenu za kuelemisha kwenye TV,moja ya sababu ambazo umekua ukitolea ufafanuzi zinazopelekea umeme kuwa mdogo ni ukubwa wa waya unaotumika kwenye service line yaani kwenye zile nguzo za mitaani kutoka nguzo moja kwenda nyingine.
Mh Makamba pamoja na mtendaji mkuu wako wa TANESCO bw Maharage mlishawahi kuwawajibisha wakaguzi wangapi kwakuikubali na kuipitisha miradi ya REA kwakuwa chini ya kiwango?
Hili la usambazaji wa waya za 25mm hasa kwenye miradi ya REA ni tatizo kubwa sana ambapo wakandarasi wanazitumia ili kupiga pesa jambo ambalo linasababisha vyombo vyetu wananchi vinaungua kutokana na umeme kuwa mdogo.
Mh Makamba hakikisheni hili jambo linakomeshwa, hizi makala zenu zitakuwa hazina maana kama yale mnayoyasemea bado mnaendelea kuyafanya.
Nipo tayari kuwaonesha hizi waya zenu kama ninyi mtajifanya vipofu hamzioni huko mitaani.
Asante.
22/10/2022
Mpaka leo licha ya kuwatumia namba yangu ya simu pm TANESCO hawajanitafuta.
Binafsi nimejua ni kwanini wanakuwa wazito kunitafuta,
Katika tatizo sugu tanesco ni uzingatiaji wa matumizi sahihi ya size za waya,
Ukitembea humu mitaani naweza sema maeneo mengi wanatumia 25mm badala ya 50mm inayohitajika.
Niendelee kusisitiza kwa wizara waache ile kauli ya wazaramo,"zilongwa mbali zitendwa mbali".
Haya kama mnaona haina haja kunitafuta,zingatieni standard kwenye utekelezaji wa kazi zenu ili vifaa vyetu viwe salama.