StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 3,679
- 3,718
Hahahahaaa. Mkuu inaonekana alikukera sana hiyo 2015. Eti kiparangoto!Huyo kipara ngoto muizi wa kura 2015(Tallying centre)Tangu lini akawa smart Zaid ya wizi na kupika majungu tu ndani ya chama KWA kivuli cha dingi ake.
Huyu anatumia principle ya kukaa kimya mara nyingi na kucheka cheka hovyo ila ni mficha udhaifu wake,Hebu aweke speech walau robo saa tu uone PUMBA atazotoa zisizoeleweka wala kufikirika.
Huyu KWA upishi wa majungu tu anafaa sanaa lakini si kua great thinker ktk kuwaongoza watu.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app