Waziri Makamba kaanza vibaya, nahofia atafeli kama wenzie

Huyo kipara ngoto muizi wa kura 2015(Tallying centre)Tangu lini akawa smart Zaid ya wizi na kupika majungu tu ndani ya chama KWA kivuli cha dingi ake.

Huyu anatumia principle ya kukaa kimya mara nyingi na kucheka cheka hovyo ila ni mficha udhaifu wake,Hebu aweke speech walau robo saa tu uone PUMBA atazotoa zisizoeleweka wala kufikirika.

Huyu KWA upishi wa majungu tu anafaa sanaa lakini si kua great thinker ktk kuwaongoza watu.
Hahahahaaa. Mkuu inaonekana alikukera sana hiyo 2015. Eti kiparangoto!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Huyu Makamba hana chochote wala lolote zaidi kutembelea nyota ya baba yake na JK. Uwezi kuja na mawazo finyu kwamba dawa ya kufanya tuwe na umeme ni kufukuza wafanyakazi. Hii inaonesha uwezo wake mfupi wa kufikiri na namna ya kutafuta ufumbuzi wa tatizo hana.
Hivyo nijiulize, ni kweli umeme unakatika kwa uzembe wa watumishi au bado Tanzania hatujafikia mahitaji yanayohitajika ya umeme kwa wananchi?

Je umeme huu tulionao ambao si toshelevu kuondoa kero za ukatikaji umeme kila mara ni nini kifanyike ili watanzania wasipate usumbufu huo?
Je, Kuna tatizo gani Tanesco linalofanya kuwe na ukatikaji wa umeme mara kwa mara? Na tatizo linasababishwa na nani?

Nadhani waziri anahitaji kuchukua muda na kutafakari suluhisho la umeme na namna ya kusambaza umeme, na kupata umeme wa nafuu kuliko kuja na hadithi za kufukuzana.
Ndo maana nashangaa hii Tanzania, tunaongozwa na watu wale wale ambao hawajawahi kupata ufumbuzi wa matatizo ya watanzania. Ndiyo maana hatusongi mbele. Si mara ya kwanza huyu Makamba kuwa katika hii wizara. Amekuwa hadi mwenyekiti wa Kamati. Alichowahi fanya ni nini?

Leo Rais anamteuwa tena? Hivi huko Bungeni CCM imeishiwa kabisa? Kitu gani kinamfanya Makamba kuwa special ati kila baraza yumo toka enzi za mzee Kikwete?
Ati watu wanamuona ni Presidential material kweli watanzania tumeishiwa. Tanzania hii ina vijana wengi wenye uwezo mkubwa zaidi ya Makamba.

Hivi Mhe. Rais watu wanaokushauri si warudi enzi za Nyerere walikuwa wanafuatilia watu toka wako shule. Wakiona kichwa wanakichukua. Walifuatilia hata mtaani wakiona kichwa wanakichukua, walifuatilia hata ofisi za serikali wilayani, halmashauri na mikoani ili kuandaa vijana na uongozi wa baadae.
Tuache hii ya kubebana. Naipenda CCM ila nadhani CCM imeshafikia mwisho wa kufikiri, tunahitaji chama ambacho kitaiondoa Tanzania hapa tulipo. Tunahitaji viongozi wenye maono na mikakati mipya. Natamani Mapinduzi!
Haters wa kisukuma mna Tabu, ulitaka Kalemani abakie?! au angeteuliwa mwenye jina la John
 
Ameanza cheap sana. Huwa namuona jamaa kama muelewa sana. Naona ni mtu anayeweza kufikiri strategically na kufanya mambo yanayoacha alama. Ila hizi business as usual alizoanza nazo sio kabisa.
POLE
 
Huyu Makamba hana chochote wala lolote zaidi kutembelea nyota ya baba yake na JK. Uwezi kuja na mawazo finyu kwamba dawa ya kufanya tuwe na umeme ni kufukuza wafanyakazi. Hii inaonesha uwezo wake mfupi wa kufikiri na namna ya kutafuta ufumbuzi wa tatizo hana.
Hivyo nijiulize, ni kweli umeme unakatika kwa uzembe wa watumishi au bado Tanzania hatujafikia mahitaji yanayohitajika ya umeme kwa wananchi?

Je umeme huu tulionao ambao si toshelevu kuondoa kero za ukatikaji umeme kila mara ni nini kifanyike ili watanzania wasipate usumbufu huo?
Je, Kuna tatizo gani Tanesco linalofanya kuwe na ukatikaji wa umeme mara kwa mara? Na tatizo linasababishwa na nani?

Nadhani waziri anahitaji kuchukua muda na kutafakari suluhisho la umeme na namna ya kusambaza umeme, na kupata umeme wa nafuu kuliko kuja na hadithi za kufukuzana.
Ndo maana nashangaa hii Tanzania, tunaongozwa na watu wale wale ambao hawajawahi kupata ufumbuzi wa matatizo ya watanzania. Ndiyo maana hatusongi mbele. Si mara ya kwanza huyu Makamba kuwa katika hii wizara. Amekuwa hadi mwenyekiti wa Kamati. Alichowahi fanya ni nini?

Leo Rais anamteuwa tena? Hivi huko Bungeni CCM imeishiwa kabisa? Kitu gani kinamfanya Makamba kuwa special ati kila baraza yumo toka enzi za mzee Kikwete?
Ati watu wanamuona ni Presidential material kweli watanzania tumeishiwa. Tanzania hii ina vijana wengi wenye uwezo mkubwa zaidi ya Makamba.

Hivi Mhe. Rais watu wanaokushauri si warudi enzi za Nyerere walikuwa wanafuatilia watu toka wako shule. Wakiona kichwa wanakichukua. Walifuatilia hata mtaani wakiona kichwa wanakichukua, walifuatilia hata ofisi za serikali wilayani, halmashauri na mikoani ili kuandaa vijana na uongozi wa baadae.
Tuache hii ya kubebana. Naipenda CCM ila nadhani CCM imeshafikia mwisho wa kufikiri, tunahitaji chama ambacho kitaiondoa Tanzania hapa tulipo. Tunahitaji viongozi wenye maono na mikakati mipya. Natamani Mapinduzi!
Mkuu nimeusoma mchango wako. Yapo mawazo na ushauri mzuri kwaaendeleo ya Nchi.

Para ya mwisho ambayo umemnukuu Baba wa Taifa JKN ndio hasa ilikuwa inawapata wafanyakazi/Viongozi walio bora na waadilifu. Walikuwa wanapatikana tangia shuleni, vyuoni na makazini kwa wale wa kupandishwa vyeo na madaraka, na ndio maana Chuo cha Mzumbe kilijengwa kwa ajili ya mafunzo ya Utawala na Utumishi, vile vile kuwapiga msasa Watumishi wa Umaa waliokuwa makazini.

Unapoteuliwa kuwa kiongozi sehemu ya kazi, una ajiriwa kwenda kufanya kazi kwa ufanisi na wafanyakazi utakao wakuta ili kuleta tija, na sio kufukuza wafanyakazi. Kwa Kiongozi yeyote yule anayejua/anayefahamu nini maana ya uongozi; kufukuza na kuajiri (hire and fire) katika taasisi/kampuni ya muda mrefu ni sehemu ndogo sana katika kazi zake za kila siku, ni kama asilimia1-5 tu, sio haya tunayo yaona leo kuwa mtumishi akiteuluwa kushika madaraka anakuja na kaulimbiu ya kufukuza wafanyakazi kazi. HAIPENDEZI
 
Haya mambo ya kuteua ma MD na CEOs kwenye mashirika ya Umma na hata kwenye taasisi na kampuni za chama ni uzwazwa wa kikomunisti ambao hata wao walishautema na haupo na enzi hizo walikua wanajali sifa n sio ili mradi ili miradi ya kujuana.

Watume maombi wafanyiwe usaili wachujwe ndio wakabidhiwe majukumu othwrswie watakua wanapiga marktime tu

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mkuu ingependeza sana kama hivi vyeo vya kuteulia (isipokuwa mawaziri) vingekuwa vinatangazwa kwenye maredio na magazeti nk. ili watu waombe na kufanyiwa usaili. Hatua hii ingesaidi sana kuondoa upendeleo wa kikabila, udini, ukanda na ajira za kingono.
 
Watu wanataka kuweka watu wao ambao watakuwa wanatii maelekezo bila kuhoji.

Hata hivyo tumpe muda.
Nimesoma taarifa kuwa waziri Makamba atafukuza watu umeme ukiendelea kukatika nimejikuta nasema 'yale yale'..

Makamba mashabiki wake wanampamba Sana kama mtu mwenye akili na Presidential material lakini cha ajabu anakuja na kauli zile zile za kufukuza watu..
Kalemani alikuwa anafukuza na kuhamisha Hadi wafanyakazi wa chini kabisa Tanesco but still hakuna alicho achieve..

Natamani kumshauri Makamba...Ku deal na management ya Tanesco ikiwezekana kushawishi apatikane CEO hata kutoka nje ya nchi na kuvunja bodi...

Natamani kumshauri Makamba afanye reverse ya policy ya centralisation ya mashirika ya umma yote na taasisi zake
Na shirika kama Tanesco lijiendeshe kama
Any Corporation na sio kupokea maagizo ya Utumishi au wanasiasa...

Natamani kumshauri vingi Waziri Makamba but kwa level yake naamini hakuna kipya ambacho ntaweza shauri
Kama ni smart kama anavyosemwa basi
Haya anapaswa kuyajua....na mengine mengi lakini kama hayajui na atazidi kutishia kufukuza watu na kufukuza kweli

Kwa maana ya waziri mzima kufanya kazi zinazotakiwa kufanywa na CEO wa Tanesco huku ceo wa Tanesco akiwa kama picha hana mamlaka hata ya kuajiri yeyote .. wala kupanga bajeti ya chochote bila Serikali kuu kutoa maagizo basi ..
Makamba atakuwa hana jipya ..
Na mda si mrefu tutakuwa tunasubiri aondolewe aletwe mwingine wizara hiyo
Inayo ongoza kufukuza mawaziri Tz..
 
Haitakuwa fair kum-judge J. Makamba mwanzoni .

Mbona alipokuwa Wizara ya mazingira aliweza kukomesha matumizi ya mifuko ya plastic?

J . Makamba anaweza kuleta tija Wizara ya nishati.

Tumpe muda.
 
Labda waje wafanya kazi kutoka nje, lakini hawa wazee wa madili na kukwamishana kwa makusudi, tutaendelea kuwa wa hivi hivi
 
Haters wa kisukuma mna Tabu, ulitaka Kalemani abakie?! au angeteuliwa mwenye jina la John
Katika maisha yangu siishi kwa kujipendekeza, au kwa ushabiki. Naishi katika kweli, wala siishi kwa maneno ya kuazima na uzushi. Nimeongelea teuzi zinavyofanyika. Nadhani ungekuja na hoja kunionesha huyo unaemtetea amefanya jambo gani la manufaa katika nchi wakati akiwa waziri na hata mwenyekiti wa kamati ya nishati. Pia sijamtaja Kalemani, ila nimeongea uteuzi uzingatie watu tofauti wenye uwezo.
Unakuja hapa mara utaje kabila na majina, sasa hiyo ndo hoja?
Kuna semi ya kiswahili; Mwana mwelevu ni faida kwa taifa na jamii, ila mwana mpumbavu ni mzigo kwa mamaye.
 
Tanesco shida yao ni pesa hizo zingine ni siasa tu .Utafukizaje wafanyakaza wakati shirika linajiendesha kwa hasara?Je kawapa bajeti ya kutosha kukalabati miundombinu ya shirika ?Sasa kama hajafanya hivo tunamwomba aache siasa kwenye kazi za kitaluma.
Vunjeni mikataba ya kihuni Tanesco ipate mapato ili itoe huduma za viwango .
 
Tanesco kuna rushwa sana hivyo upelekea target ya ku double customers base ikwame,watu wengi wanataka umeme lakini maofisa wa TANESCO wanasabotage ili wateja watoe rushwa na wasipotoa maofisa wa tanesco hawafanya saveyi wala hawatoi control number.

January Makamba simamia ilo hakika uta double customers basi kama sio kutripo....watu wengi sana wanahitaji umeme ila ndio hivyo maofisa wa TANESCO wanataka Rushwa.
 
Huyu Makamba hana chochote wala lolote zaidi kutembelea nyota ya baba yake na JK. Uwezi kuja na mawazo finyu kwamba dawa ya kufanya tuwe na umeme ni kufukuza wafanyakazi. Hii inaonesha uwezo wake mfupi wa kufikiri na namna ya kutafuta ufumbuzi wa tatizo hana.
Hivyo nijiulize, ni kweli umeme unakatika kwa uzembe wa watumishi au bado Tanzania hatujafikia mahitaji yanayohitajika ya umeme kwa wananchi?

Je umeme huu tulionao ambao si toshelevu kuondoa kero za ukatikaji umeme kila mara ni nini kifanyike ili watanzania wasipate usumbufu huo?
Je, Kuna tatizo gani Tanesco linalofanya kuwe na ukatikaji wa umeme mara kwa mara? Na tatizo linasababishwa na nani?

Nadhani waziri anahitaji kuchukua muda na kutafakari suluhisho la umeme na namna ya kusambaza umeme, na kupata umeme wa nafuu kuliko kuja na hadithi za kufukuzana.
Ndo maana nashangaa hii Tanzania, tunaongozwa na watu wale wale ambao hawajawahi kupata ufumbuzi wa matatizo ya watanzania. Ndiyo maana hatusongi mbele. Si mara ya kwanza huyu Makamba kuwa katika hii wizara. Amekuwa hadi mwenyekiti wa Kamati. Alichowahi fanya ni nini?

Leo Rais anamteuwa tena? Hivi huko Bungeni CCM imeishiwa kabisa? Kitu gani kinamfanya Makamba kuwa special ati kila baraza yumo toka enzi za mzee Kikwete?
Ati watu wanamuona ni Presidential material kweli watanzania tumeishiwa. Tanzania hii ina vijana wengi wenye uwezo mkubwa zaidi ya Makamba.

Hivi Mhe. Rais watu wanaokushauri si warudi enzi za Nyerere walikuwa wanafuatilia watu toka wako shule. Wakiona kichwa wanakichukua. Walifuatilia hata mtaani wakiona kichwa wanakichukua, walifuatilia hata ofisi za serikali wilayani, halmashauri na mikoani ili kuandaa vijana na uongozi wa baadae.
Tuache hii ya kubebana. Naipenda CCM ila nadhani CCM imeshafikia mwisho wa kufikiri, tunahitaji chama ambacho kitaiondoa Tanzania hapa tulipo. Tunahitaji viongozi wenye maono na mikakati mipya. Natamani Mapinduzi!
Nakubaliana na wewe huyu kipara ngoto sio anatembelea nyota ya baba yake ila baba yake anatembeza nyota yake kwa mtoto wake. Wote ni watu laghai tu wamejaliwa mdomo tu.
 
Tanesco kuna rushwa sana hivyo upelekea target ya ku double customers base ikwame,watu wengi wanataka umeme lakini maofisa wa TANESCO wanasabotage ili wateja watoe rushwa na wasipotoa maofisa wa tanesco hawafanya saveyi wala hawatoi control number.

January Makamba simamia ilo hakika uta double customers basi kama sio kutripo....watu wengi sana wanahitaji umeme ila ndio hivyo maofisa wa TANESCO wanataka Rushwa.
Januari Makamba njoo huku usikilize malalamiko ya watu. Hata na mimi yalinikumba haya.
 
Katika maisha yangu siishi kwa kujipendekeza, au kwa ushabiki. Naishi katika kweli, wala siishi kwa maneno ya kuazima na uzushi. Nimeongelea teuzi zinavyofanyika. Nadhani ungekuja na hoja kunionesha huyo unaemtetea amefanya jambo gani la manufaa katika nchi wakati akiwa waziri na hata mwenyekiti wa kamati ya nishati. Pia sijamtaja Kalemani, ila nimeongea uteuzi uzingatie watu tofauti wenye uwezo.
Unakuja hapa mara utaje kabila na majina, sasa hiyo ndo hoja?
Kuna semi ya kiswahili; Mwana mwelevu ni faida kwa taifa na jamii, ila mwana mpumbavu ni mzigo kwa mamaye.
Nyie hata angeteuliwa Nani, bado mngekosoa tu, hamueleweki watz, kwanza mna chuki kubwa na Samia
 
Back
Top Bottom