Waziri Lukuvi ataka wataalamu wa mipango miji waweze pia kupima ardhi, bila hivyo watakufa njaa

Dec 11, 2018
7
5
*MHE LUKUVI: "Nataka Mtaalamu wa Mipango miji aweze pia kufanya upimaji wa Ardhi, na mtaalamu wa upimaji pia aweze kupanga Miji"*

Kutoka Morogoro:
Tarehe 14.01.2019

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi, ameyasema hayo Leo alipotembelea kwa kushtukiza Chuo Cha Ardhi Morogoro.

Amesema Chuo hicho kinatoa kozi za Mipango miji na kozi za upimaji (Survey) ambapo ameagiza kozi hizo ziunganishwe kuwa kozi moja. *"Lazima vijana wote wa hapa wafundishwe kozi zote za kupanga na kupima, mtu mmoja aweze kupanga na kupima"* alisema Lukuvi.

Waziri Lukuvi amesema kulingana na soko la ajira na ukuaji wa teknolojia, Mwanafunzi akiweza kupanga miji na kupima ataweza kujiajiri katika swala zima la urasimishaji, ameongeza kuwa Serikali imeamua kufanya urasimishaji ikiwa Ni pamoja na kuyatambua maeneo ambayo hayajapimwa kwa kutoa lesseni ya Makazi.

*"Nataka Kila mtu mwenye Nyumba, Kiwanja au Shamba mjini apewe lesseni ya Makazi itakayodumu kwa Miaka mitano, ndani ya muda huo awe ameshapata hati.."* aliongeza *"...Tumeshaongea na taasisi za fedha ili wazitambue rasmi lesseni za Makazi kuweza kutumika Kama dhamana kwa watakaotaka kuchukua mkopo..., Haya Ni Mapinduzi"*

Katika Ziara yake alimpongeza Mkuu wa Chuo Cha Ardhi *Dkt Adam Nyaruhuma* na kusema kwamba anamfahamu kwa umahiri wake tangu akiwa yupo Wizarani.

Alipata nafasi ya kukagua mazingira ya Chuo pamoja na kuongea na wanafunzi wa Chuoni hapo.

Hata hivyo swala la kuunganisha kozi linatakiwa kufanyiwa kazi haraka, Waziri amemuagiza Mkuu wa Chuo kukaa na Wataalamu waone namna gani watatoa Cheti kimoja kitakachomwezesha muhitimu kuwa mpimaji (surveyor) na kuwa mtaalamu wa Mipango miji.


#Arimo
#BrandIdentity
arimo3.jpeg
arimo2-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
*MHE LUKUVI: "Nataka Mtaalamu wa Mipango miji aweze pia kufanya upimaji wa Ardhi, na mtaalamu wa upimaji pia aweze kupanga Miji"*

Kutoka Morogoro:
Tarehe 14.01.2019

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi, ameyasema hayo Leo alipotembelea kwa kushtukiza Chuo Cha Ardhi Morogoro.

Amesema Chuo hicho kinatoa kozi za Mipango miji na kozi za upimaji (Survey) ambapo ameagiza kozi hizo ziunganishwe kuwa kozi moja. *"Lazima vijana wote wa hapa wafundishwe kozi zote za kupanga na kupima, mtu mmoja aweze kupanga na kupima"* alisema Lukuvi.

Waziri Lukuvi amesema kulingana na soko la ajira na ukuaji wa teknolojia, Mwanafunzi akiweza kupanga miji na kupima ataweza kujiajiri katika swala zima la urasimishaji, ameongeza kuwa Serikali imeamua kufanya urasimishaji ikiwa Ni pamoja na kuyatambua maeneo ambayo hayajapimwa kwa kutoa lesseni ya Makazi.

*"Nataka Kila mtu mwenye Nyumba, Kiwanja au Shamba mjini apewe lesseni ya Makazi itakayodumu kwa Miaka mitano, ndani ya muda huo awe ameshapata hati.."* aliongeza *"...Tumeshaongea na taasisi za fedha ili wazitambue rasmi lesseni za Makazi kuweza kutumika Kama dhamana kwa watakaotaka kuchukua mkopo..., Haya Ni Mapinduzi"*

Katika Ziara yake alimpongeza Mkuu wa Chuo Cha Ardhi *Dkt Adam Nyaruhuma* na kusema kwamba anamfahamu kwa umahiri wake tangu akiwa yupo Wizarani.

Alipata nafasi ya kukagua mazingira ya Chuo pamoja na kuongea na wanafunzi wa Chuoni hapo.

Hata hivyo swala la kuunganisha kozi linatakiwa kufanyiwa kazi haraka, Waziri amemuagiza Mkuu wa Chuo kukaa na Wataalamu waone namna gani watatoa Cheti kimoja kitakachomwezesha muhitimu kuwa mpimaji (surveyor) na kuwa mtaalamu wa Mipango miji.


#Arimo
#BrandIdentity
View attachment 994586View attachment 994587

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi namuunga mkono Mhe Lukuvi, lakini sijui Utekelezaji wake kitaalam limekaaje. Maana swala la kuunganisha kozi mbili kuwa moja, mmmmh si kazi rahisi.

Yaani mtu aoate Cheti kimoja ambacho mwisho wa siku Cheti hicho kitamfanya awe planner na pia awe surveyor, mmmh labda Kama atagusa tu juu juu maana hizo kozi zote ziko deep Sana. Kama kuchanganya kozi za medicine na pharmaceutical

Ngoja tusubiri wataalam


Sent using Jamii Forums mobile app
 
*MHE LUKUVI: "Nataka Mtaalamu wa Mipango miji aweze pia kufanya upimaji wa Ardhi, na mtaalamu wa upimaji pia aweze kupanga Miji"*

Kutoka Morogoro:
Tarehe 14.01.2019

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi, ameyasema hayo Leo alipotembelea kwa kushtukiza Chuo Cha Ardhi Morogoro.

Amesema Chuo hicho kinatoa kozi za Mipango miji na kozi za upimaji (Survey) ambapo ameagiza kozi hizo ziunganishwe kuwa kozi moja. *"Lazima vijana wote wa hapa wafundishwe kozi zote za kupanga na kupima, mtu mmoja aweze kupanga na kupima"* alisema Lukuvi.

Waziri Lukuvi amesema kulingana na soko la ajira na ukuaji wa teknolojia, Mwanafunzi akiweza kupanga miji na kupima ataweza kujiajiri katika swala zima la urasimishaji, ameongeza kuwa Serikali imeamua kufanya urasimishaji ikiwa Ni pamoja na kuyatambua maeneo ambayo hayajapimwa kwa kutoa lesseni ya Makazi.

*"Nataka Kila mtu mwenye Nyumba, Kiwanja au Shamba mjini apewe lesseni ya Makazi itakayodumu kwa Miaka mitano, ndani ya muda huo awe ameshapata hati.."* aliongeza *"...Tumeshaongea na taasisi za fedha ili wazitambue rasmi lesseni za Makazi kuweza kutumika Kama dhamana kwa watakaotaka kuchukua mkopo..., Haya Ni Mapinduzi"*

Katika Ziara yake alimpongeza Mkuu wa Chuo Cha Ardhi *Dkt Adam Nyaruhuma* na kusema kwamba anamfahamu kwa umahiri wake tangu akiwa yupo Wizarani.

Alipata nafasi ya kukagua mazingira ya Chuo pamoja na kuongea na wanafunzi wa Chuoni hapo.

Hata hivyo swala la kuunganisha kozi linatakiwa kufanyiwa kazi haraka, Waziri amemuagiza Mkuu wa Chuo kukaa na Wataalamu waone namna gani watatoa Cheti kimoja kitakachomwezesha muhitimu kuwa mpimaji (surveyor) na kuwa mtaalamu wa Mipango miji.


#Arimo
#BrandIdentity
View attachment 994586View attachment 994587

Sent using Jamii Forums mobile app
Awamu hii kiboko, Afisa mipango miji ni mtumishi wa umma kama alivyo huyo Surveyor wote wanalipwa mshahara sasa atakufaje njaa? Viongozi wetu pimeni matamshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi namuunga mkono Mhe Lukuvi, lakini sijui Utekelezaji wake kitaalam limekaaje. Maana swala la kuunganisha kozi mbili kuwa moja, mmmmh si kazi rahisi.

Yaani mtu aoate Cheti kimoja ambacho mwisho wa siku Cheti hicho kitamfanya awe planner na pia awe surveyor, mmmh labda Kama atagusa tu juu juu maana hizo kozi zote ziko deep Sana. Kama kuchanganya kozi za medicine na pharmaceutical

Ngoja tusubiri wataalam


Sent using Jamii Forums mobile app
Mheshimiwa Lukuvi,ni vema ukafika Kilosa kwenye migogoro ya Ardhi has a vijiji vya Mfulu,msowero Mbigiri na mabwegere. Viongozi huko wanasema mgogoro hujautatua. Umefika mahali watu wanahisi kuwa kati ya mashamba ya yaliyoporwa na wewe una mgao ndiyo maana wanaguvu kubwa huku wakijua hakuna pa kuwashitaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani Lujuvi anachapa kazi mwacheni. Huwezi kumlalamikua kila mtu. Wizara hii ilikuwa imeoza.
Napenda jamaa anavyochapa kazi zake sio kama hao wengine kila dakika Rais Rais Rais mpaka kero, Ukweli amemzidi kwa mbali sana prof. mtangulizi wake katka hiyo wizara.
 
Back
Top Bottom