Waziri Lukuvi asimamisha ujenzi Coco Beach, avunja uzio. Sasa kutembelea fukwe ni bure

Hii kutaka sifa itawacost serikali.lazima maeneo ya beach baadhi yakodishiwe wawekezaji ili kuprommote biashara sasa ukisema beach zote free waziri atambuwe tunatofautiana kuna watu wenye hela zao wanahitaji kupumzika private ukimchanganya na muuza madafu biashara zinafeli. Waliangalie upya hili.
 
Copacabana beach in Rio is well developed na serikali na wala hakuna kiingilio hata kwa wageni. It's free! Kodi zinazokusanywa zirejeshwe kwa wananchi kwa kuwajengea huduma kama hizo. Siyo kutoza watu fedha kwenye kila kitu.
 
UCHAMBA NI MZIGO..UTADHANI WATU HAWATEMBEI KWA WENZETU ...KUONA MAENDELEO ......HAWAJUI HATA PAKIENDELEZWA SIO KOTE HUWA KUNAKUA KWA KULIPIA ..HUWA KUNA KUWA NA PUBLIC BEACH ZONE ....AMBAKO HULIPI LAKINI KUNAKUWA KUMEBORESHWA NA WAO WATAPATA MAPATO KUPITIA WATOA HUDUMA NA PARKINGS ....
 
Hii kutaka sifa itawacost serikali.lazima maeneo ya beach baadhi yakodishiwe wawekezaji ili kuprommote biashara sasa ukisema beach zote free waziri atambuwe tunatofautiana kuna watu wenye hela zao wanahitaji kupumzika private ukimchanganya na muuza madafu biashara zinafeli. Waliangalie upya hili.
Zpo beach za kilipia mkuu na zina utulivu safi nenda kigambon utaona Sasa beach zote wakipangisha sisi akina kajamba nan tutapumzka wap au ndio tutaishia kuiona bahar had tupande pantoni tu

Umewah isikia COPA. CABANA n moja ya beach kubwa na maarufu dunian lakin hakuna kiingilio hakuna uzio

Nenda Spain IBIZA BEACH nako hakuna uzio free kuingia uwe wa kwa mtogole au kingugi haya mambo bongo yakupenda rushwa ndyo yamemuharibia mkurugenzi wa kinondoni sababu ya ujinga Kama huu
 
Aje na huku mwanza kuna open space zilizoko kando ya ziwa ambazo udogo wetu tulizitumia kama beach za kuogelea lakini kwa sasa wenye pesa wamezungusha uzio wananchi hawawezi kuzitumia mfano ni eneo la bwiru press kuna kanisa limejengwa kando ya ziwa na eneo limezibwa,pia kuna eneo kando ya ziwa ukiwa unatokea tunza lodge kuelekea malaika beach nadhani ni kanisa la living water wamejenga kanisa lao pale na kupiga uzio WAZIRI AMULIKE NA HUKU
 
Fukwe free hazina hata sehemu nzuri ya kupumzika hawa jamaa hawako mordern kabisa wanaishi maisha kiprimitive sana.Coco ya sasa haivutii kabisa.
Hivi ndo walisema watageuza wapi kuwe kama California? Nilitegemea kutakuwa pia na kama ile long beach California modern au ndo itakuwa local kama kule Longoni?
 
Fukwe inatakiwa ziwe free waache mambo yao tamaa za porini hizo uliona wapi kupunga upepo wa bahari unatakiwa ulipie...
 
Sheria zetu zinasema beach zote ni public spaces na wananchi na wakazi wote wanatakiwa kuwa na uhuru wa kuzitembelea bila kizuizi chochote. Tatizo ni kuwa wale waliopewa jukumu la kuzilinda ndio wamegeuka wabinafsishaji wakubwa wa hayo maeneo. Ni mawazo ya kijinga kuwa ni lazima ujenge beach ndio paonekane pameendelea. Unaenda beach kucheza mchangani sio kwenye zege. Ningekuwa mimi hao wanaoosha magari ningewatimuwa pamoja na wale ambao wamejenga vibanda vya kachori kuwauzia watu wakati wamezuia mandhari nzima ya bahari. Tunaenda beach kuangalia na kupunga upepo kutoka baharini, kutembea peku kwenye mchanga wa beach, kuogelea na kukaa chini ya minazi na hapo zamani kucheza kwenye mikoka. Hii kutaka kuigeuza kuwa swimming pool ni kutotendea haki heritage tuliyorithi. Waondoke wote. Pamoja na yule aliyegeuza sehemu ya kubadilishia nguo kuwa maduka.

Amandla...
 
Back
Top Bottom