Waziri kukutana na Viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya Michezo Bara.

Melubo Letema

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
310
287
Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa Kesho anatarajia kukutana na kuzungumza na Viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya Michezo Tanzania Bara, Mkutano huu utafanyika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
IMG_20220525_151514_101.jpg
 
Back
Top Bottom