Waziri Kombo: Ziara ya Rais Samia Urusi imeleta 'Mtikisiko' wa Dunia

Waziri Kombo: Ziara ya Rais Samia Urusi imeleta 'Mtikisiko' wa Dunia

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
39,525
Reaction score
25,519
Waziri wa Mambo ya Nje Thabit Kombo ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni kote, na si kwa Tanzania pekee.

Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri huyo alikiri na kuthibitisha uzito wa ziara hiyo kiuchumi na kidiplomasia, akibainisha kuwa imefanyika katika wakati muafaka ambapo Urusi inapanua wigo wake wa kiuchumi na kuelekeza nguvu zake katika Bara la Afrika.

"Naomba ndugu zangu waandishi wa habari nikiri mbele yenu na nithibitishe mbele yenu, ziara ambayo imeleta mtikisiko wa kidunia, si wa Tanzania tu... ni ziara hii ya Urusi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan," alisema Waziri huyo, akifafanua kuwa mtikisiko aliouzungumzia ni chanya (positive) na wala si hasi (negative).


 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenye Wivu ajinyonge Tu Maana habari ndio Hiyo Inayoendelea kutikisa Dunia Nzima .

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi ni ziara ambayo imeleta mtikisiko chanya wa kidunia.

Balozi Kombo ameyasema hayo leo Juni 7, 2026 Ikulu jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari na kueleza kuwa mtikisiko huo unatokana na sababu kadhaa ikiwemo nchi idadi ya watu duniani ambao Urusi inahusiana nao wakikadiriwa zaidi ya bilioni sita.

"Nimekwenda ziara kadhaa na Mheshimiwa Rais lakini naomba nithibitishe ziara ambayo imeleta mtikisiko wa kidunia ni ziara hii ya Urusi. Mtikisiko chanya sababu ya kwanza imefanyika wakati ambapo Urusi inapanua uchumi wake kwenye bara la Afrika"

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3603155
Hatuwezi kusahau October 29, mpaka tuone makaburi ya ndugu zetu, hauwezi kupulizia kinyesi pafyumu heti kisitoe harufu, ndugu zetu warudi hayo mengine baadae,kwanza ilikuwa ziara ya family sio ya Serikali ndio maana alienda na wanawe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenye Wivu ajinyonge Tu Maana habari ndio Hiyo Inayoendelea kutikisa Dunia Nzima .

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi ni ziara ambayo imeleta mtikisiko chanya wa kidunia.

Balozi Kombo ameyasema hayo leo Juni 7, 2026 Ikulu jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari na kueleza kuwa mtikisiko huo unatokana na sababu kadhaa ikiwemo nchi idadi ya watu duniani ambao Urusi inahusiana nao wakikadiriwa zaidi ya bilioni sita.

"Nimekwenda ziara kadhaa na Mheshimiwa Rais lakini naomba nithibitishe ziara ambayo imeleta mtikisiko wa kidunia ni ziara hii ya Urusi. Mtikisiko chanya sababu ya kwanza imefanyika wakati ambapo Urusi inapanua uchumi wake kwenye bara la Afrika"

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3603155
Screenshot_20260531-133321~2.png
 
Huyo kombo lazima ajikombe kupalilia kibarua chake, ila samuya ni zero kwa kila kitu Urusi hakuna kitu kule!.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenye Wivu ajinyonge Tu Maana habari ndio Hiyo Inayoendelea kutikisa Dunia Nzima .

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi ni ziara ambayo imeleta mtikisiko chanya wa kidunia.

Balozi Kombo ameyasema hayo leo Juni 7, 2026 Ikulu jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari na kueleza kuwa mtikisiko huo unatokana na sababu kadhaa ikiwemo nchi idadi ya watu duniani ambao Urusi inahusiana nao wakikadiriwa zaidi ya bilioni sita.

"Nimekwenda ziara kadhaa na Mheshimiwa Rais lakini naomba nithibitishe ziara ambayo imeleta mtikisiko wa kidunia ni ziara hii ya Urusi. Mtikisiko chanya sababu ya kwanza imefanyika wakati ambapo Urusi inapanua uchumi wake kwenye bara la Afrika"

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3603155
Hakika, DUNIA NZIMA imetikisika KUMUONA DIKTETA MWANAMKE anavyofanania!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenye Wivu ajinyonge Tu Maana habari ndio Hiyo Inayoendelea kutikisa Dunia Nzima .

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi ni ziara ambayo imeleta mtikisiko chanya wa kidunia.

Balozi Kombo ameyasema hayo leo Juni 7, 2026 Ikulu jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari na kueleza kuwa mtikisiko huo unatokana na sababu kadhaa ikiwemo nchi idadi ya watu duniani ambao Urusi inahusiana nao wakikadiriwa zaidi ya bilioni sita.

"Nimekwenda ziara kadhaa na Mheshimiwa Rais lakini naomba nithibitishe ziara ambayo imeleta mtikisiko wa kidunia ni ziara hii ya Urusi. Mtikisiko chanya sababu ya kwanza imefanyika wakati ambapo Urusi inapanua uchumi wake kwenye bara la Afrika"

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3603155
that's very true 👊
 
Waziri wa Mambo ya Nje ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni kote, na si kwa Tanzania pekee.

Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri huyo alikiri na kuthibitisha uzito wa ziara hiyo kiuchumi na kidiplomasia, akibainisha kuwa imefanyika katika wakati muafaka ambapo Urusi inapanua wigo wake wa kiuchumi na kuelekeza nguvu zake katika Bara la Afrika.

"Naomba ndugu zangu waandishi wa habari nikiri mbele yenu na nithibitishe mbele yenu, ziara ambayo imeleta mtikisiko wa kidunia, si wa Tanzania tu... ni ziara hii ya Urusi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan," alisema Waziri huyo, akifafanua kuwa mtikisiko aliouzungumzia ni chanya (positive) na wala si hasi (negative).

 
Waziri wa Mambo ya Nje ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni kote, na si kwa Tanzania pekee.

Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri huyo alikiri na kuthibitisha uzito wa ziara hiyo kiuchumi na kidiplomasia, akibainisha kuwa imefanyika katika wakati muafaka ambapo Urusi inapanua wigo wake wa kiuchumi na kuelekeza nguvu zake katika Bara la Afrika.

"Naomba ndugu zangu waandishi wa habari nikiri mbele yenu na nithibitishe mbele yenu, ziara ambayo imeleta mtikisiko wa kidunia, si wa Tanzania tu... ni ziara hii ya Urusi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan," alisema Waziri huyo, akifafanua kuwa mtikisiko aliouzungumzia ni chanya (positive) na wala si hasi (negative).

Japo ni rafiki yangu na tulijuana tukiwa nje ya nchi,lakini kwa hii wizara haiwezi na wala haiba ya kuwa waziri wa wizara hii hana.Wakati wa Mwinyi aliwahi kumteua Hassan Diria kuwa Waziri wa mambo ya nje,yes Diria alikuwa na haiba ya wizara hii,ila huyu,mhnnnn
 
Watu wako Bize na vita vya Iran, huyu anatuletea vichekesho, sanasana tutegemee rungu la sanction kutoka kwa mataifa ya magharibi juu yetu, hii ziara haikupaswa kufanyika kipindi hiki ambapo Russia ipo kwenye sanction kutoka kwa mataifa ya magharibi juu ya vita vya Ukraine kuenda huko kunaweza kuliletea taifa matatizo hapo siku za mbeleni
 
This was a normal business trip just like any other,
Since 1997, across 29 years, Russian investors have undertaken 70 projects in Tanzania with a combined direct investment value of approximately $434 million. That is roughly $15 million per year. It is not aid. It is commercial investment. Tanzania pays for it.

The $307.5 million annual bilateral trade figure Tanzania’s government cites with pride is almost entirely composed of Russia selling Tanzania wheat and fertilizers at commercial prices. Tanzania exports tea and tobacco in return. This is not a development partnership. It is a grocery transaction.

Now compare what Tanzania is risking. The United States delivered an estimated $2.8 billion per year in tangible benefits to Tanzania and its economy from 2012 to 2022, according to research by AidData and REPOA. Direct US government aid obligations ran to $646.5 million in fiscal year 2024 alone. The US government funded HIV/AIDS programs that saved approximately 750,000 Tanzanian lives.
It funded malaria prevention. It built agricultural capacity. The European Union has provided Tanzania with over €2.4 billion in grants historically, with a €426 million allocation for 2021 to 2027, of which €156 million has been frozen in direct response to the post-election violence. Russia has funded none of those things. It has no infrastructure to fund them. There are no Russian HIV clinics in Dar es Salaam. No Russian malaria programs. No Russian-built schools operating on grants. When USAID terminated its HIV/AIDS programming in Tanzania, Russian wheat did not fill the gap. It never will.
 
Mtikisiko Gani Waseme Ukweli Waache Ngonjera
Tanzania Ni Nchi Inayojitafuta Sasa Giants Watasemewa Vp
 
Waziri wa Mambo ya Nje Thabit Kombo ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni kote, na si kwa Tanzania pekee.

Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri huyo alikiri na kuthibitisha uzito wa ziara hiyo kiuchumi na kidiplomasia, akibainisha kuwa imefanyika katika wakati muafaka ambapo Urusi inapanua wigo wake wa kiuchumi na kuelekeza nguvu zake katika Bara la Afrika.

"Naomba ndugu zangu waandishi wa habari nikiri mbele yenu na nithibitishe mbele yenu, ziara ambayo imeleta mtikisiko wa kidunia, si wa Tanzania tu... ni ziara hii ya Urusi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan," alisema Waziri huyo, akifafanua kuwa mtikisiko aliouzungumzia ni chanya (positive) na wala si hasi (negative).


Huyu mjinga bado yupo anapanua domo lake. Hajui anachoongea, aliyemchagua hana uwezo wa kufikiri
 
Back
Top Bottom