Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

Huyu mtani wangu amefanya uwamzi mzuri. Hii wizara hakuna Waziri atakaemzidi kagasheki kwa kujaribu kuzuia ujangili. Lililo wazi ni kwamba hii Wizara ni shamba la CCM. Anaejaribu kuziba mianya ya ujangili hawezi kudumu.
ni waziri ambye alijaribu kutunga sera ya kuwanusuru tembo pmja na vifaru amepikiwa majungu mpka kakimbia.wauwaji wa tembo Wameshinda.
 
Mh, Nchimbi, upo uzi uliletwa humu kwamba wewe na Mwigulu na wengineo mlihusika na kifo cha Mvungi, kama ni kweli bado utateketea/mtateketea.

Sisi tunapiga magoti tunamlilia Mungu, atawaondoa wote mnaotunyanyasa. Na huyo Mwigulu Mungu aliye juu atampiga muda siyo mrefu.
 
Two things.

Kwa nini Mathayo aliingizwa?
-maagizo ya JK la Jan 2006 ikiwemo suala la wafugaji wanaohama hama
- mengine 2

tatizo ni kwamba sera ya uhifadhi inatekelezwa vizuri ila upande wa mifugo kuna tatizo ndo maana mifugo wanaingia kwenye hifadhi. Usimamizi hakuna.
 
Mh Kagesheki ni mjumbe wa chama chake alafu kuna Katibu wa Chama, Who the Boss?
 
Waziri mathayo haponyoki--naona lembeli anagongelea msumari wa mwisho!
 
Mbona jamani mnalete utani hapa? Tunataka facts sio hadithi kwa mambo makubwa kama haya. Tuambieni kama na mtoto wa mkulima kaamua

mtoto hawezi kujiuzuru;;;; huyo aanatembea na ving'ora bado unamwita mtoto wa mkulima; sema waziri mkuu; hakuna mkulima anayekaa magogoni au masaki
 
ukiona mtu anatetewa kwa hoja kwa hoja zisizo na mashiko uje hapo kuna kitu.... nimeipenda hii statement ya lembeli
 
Teh teh, mawaziri kimeota nyasi, hongereni wabunge wetu kwa kuungana na kuwatendea haki watanzania wenzenu bila kujali vyama!
 
Hili jamaa bana,katika kosa kubwa alio fanya jk ni kumpa huyu upm.huyu ndio wa kufukuza,hana faida kabisa.
 
David Mathayo nae anamakosa!

Mifungo yake inarandaranda hovyo mpaka kwenye mapoli ya hifadhi!
 
Kagasheki amehujumiwa tu kwa sababu ya kupambana na majangiri

Unajua kiongozi anayesimamia mateso ya wananchi hana nafasi kwenye jumuiya inayozingatia haki za binadamu na utawala bora. Tatizo ni kwamba askari wetu ni watu wa ajabu sana. Wanatumwa wasake majangili wanaoua Tembo, wao wanaenda kukamata wananchi wanaopakana na misitu ya hifadhi. Sasa kwa kufanya hivyo wananci wengi wameteswa na kupoteza mifugo yao na wengine kupata vilema vya kudumu kutokana na mateso na hawana pa kukimbilia. Pole Kagasheki ila umetekeleza ulichostahili. Ila angewawajibisha watekelezaji kabla ya kuwajibika yeye
 
...chama cha mizigo damu ya Mwangosi na waangaa wa bom Arusha itawaandama mpaka kaburini...
 
Back
Top Bottom