Waziri January Makamba hana msaada wowote kwenye Wizara ya Nishati. Tumechoka!

Hilo si limetolewa maelezo kwamba mfumo haukufanyiwa maintenance kipindi Cha magu wakiogopa kutumbuliwa!!..kwamba Kuna ufundi unaendelea,ukikamilika umeme utakua stable

Je na wewe unakubali kuwa TANESCO walikuwa hawafanyi maintenance wakiogopa kufukuzwa kazi na JIWE? Bajeti waliotengewa kwa maintenance waliitumia kwa vipi? Je kamati za Bunge hazikugundua udhaifu huo mpaka alipokuja January ndio akagundua?
 
Je na wewe unakubali kuwa TANESCO walikuwa hawafanyi maintenance wakiogopa kufukuzwa kazi na JIWE? Bajeti waliotengewa kwa maintenance waliitumia kwa vipi? Je kamati za Bunge hazikugundua udhaifu huo mpaka alipokuja January ndio akagundua?
Unauliza utadhani humjui jiwe!!!!...ni shida kufanys kazi na yule bwana,alichokua anataka no kusifiwa na kuzungumziwa kwa mazuri tu,ukatekate umeme wamuone hafai,kazi unayo
 
Itoshe tu kusema kwa sasa hatuoni faida yoyote ya waziri wa nishati, huduma mbovu na za hovyo za sasa kwa mara ya mwisho tuliziona miaka ya 2012 huko


hapa nilipo mpaka sasa hakuna umeme tangu saa mbili asubuhi sasahivi inaelekea saa 12 jioni hakuna umeme,

mnategemea sisi wananchi tutafanyaje uzalishaji?

watu wana mitambo ya tofali wengine welding watu wana stationary na vengine vingi siku nzima umeme hakuna mnataka tuishije? na hiii sio mara ya kwanza ni mazoea sasa
sasa hv imezoeleka mtu ibapita siku nzima hujazalisha hata shilingi mia sababu ya umeme,

mbona kama mnatulazimisha tumkumbuke Magufuli?


tukiongea mnasema watanzania wamezoea kulalamika mbona hatuambiwi sababu ni nini ya mgao wa umeme?

mi naomba niulize hivi huu mgao wa umeme ulikua umesubiri kalemani atoke ndio uanze?

tunajuta ni bora hata angebaki medard kalemani

makamba hamna kitu kabisa

CCM sio wa kuendekeza tena, tumechoka tumechoka
Nyie sukuma gang mna chuki na January, na pia mna chuki na Samia,

Sasa mama atapiga chini mabaki yote ya sukuma gang, maana mnatukana Sana humu mitandaoni
 
Unauliza utadhani humjui jiwe!!!!...ni shida kufanys kazi na yule bwana,alichokua anataka no kusifiwa na kuzungumziwa kwa mazuri tu,ukatekate umeme wamuone hafai,kazi unayo
Unataka kutuaminisha kuwa kukatikakatika kwa huu umeme hivi sasa wananchi watamuona Samia anafaa? Tafuteni njia kama maintenance ndio sababu yenu ya kukakatika umeme, ambayo hamtakata umeme kwa muda mrefu ili kupunguza kero kwa wananchi!! Unapokata umeme kwa muda mrefu mmnajua impact yake kwa wananchi?
 
Unataka kutuaminisha kuwa kukatikakatika kwa huu umeme hivi sasa wananchi watamuona Samia anafaa? Tafuteni njia kama maintenance ndio sababu yenu ya kukakatika umeme, ambayo hamtakata umeme kwa muda mrefu ili kupunguza kero kwa wananchi!! Unapokata umeme kwa muda mrefu mmnajua impact yake kwa wananchi?
Ni lazima ukatwe ili usikatike Tena,unalalama nini
 
Nyie sukuma gang mna chuki na January, na pia mna chuki na Samia,

Sasa mama atapiga chini mabaki yote ya sukuma gang, maana mnatukana Sana humu mitandaoni
Sukuma gang! Kimsingi Kama mwendo ndio huu mko kwenye mzani hao unaowaita sukuma gang walikuwa wawajibikaji na matokeo yalikuwa yanaonekana,sasa zamu ya wapiga Domo mnalo awamu hii mjipange tunataka matokeo sio sarakasi.
 
Wataalam wameona sharti umeme ukatwe muda huo ili Mambo yaende

Tatizo lenu kubwa ni NYUNGU EFFECT kwamba mna solutions zenu to commonly known problems which are globally solved by known procedures!! Huko nchi zingine mbona wanafanya maintenance ya mifumo yao ya umeme bila adha kama yetu?

Are yo guys looking for justification to break up TANESCO so that you can sell it to the highest bidder! Is it far fetched to suspect that your new Chairman who brokered the sale of TTCL to CELTEL has been brought in for that sole purpose?
 
Tokea lini Kilaza kama January akafanikiwa kuongoza hiyo wizara. Samia alitakiwa amuweke Muhongo hapo.

Muhongo inamhusu lakini wakati wa kuapa aape Kwa kusema "Nahaihidi mbele ya umma kukatika Kwa umeme hakutatokea,na endapo kutatokea niwajibishwe Mara moja bila huruma yoyote"
 
Itoshe tu kusema kwa sasa hatuoni faida yoyote ya waziri wa nishati, huduma mbovu na za hovyo za sasa kwa mara ya mwisho tuliziona miaka ya 2012 huko

Hapa nilipo mpaka sasa hakuna umeme tangu saa mbili asubuhi sasa hivi inaelekea saa 12 jioni hakuna umeme,

Mnategemea sisi wananchi tutafanyaje uzalishaji?

Watu wana mitambo ya tofali wengine welding watu wana stationary na vengine vingi siku nzima umeme hakuna mnataka tuishije? na hiii sio mara ya kwanza ni mazoea sasa
sasa hivi imezoeleka mtu ibapita siku nzima hujazalisha hata shilingi mia sababu ya umeme,

Mbona kama mnatulazimisha tumkumbuke Magufuli?

Tukiongea mnasema watanzania wamezoea kulalamika mbona hatuambiwi sababu ni nini ya mgao wa umeme?

Mi naomba niulize hivi huu mgao wa umeme ulikuwa umesubiri kalemani atoke ndio uanze?

Tunajuta ni bora hata angebaki Medard Kalemani

Makamba hamna kitu kabisa

CCM sio wa kuendekeza tena, tumechoka tumechoka
Pole sana mkuu kwa matatizo hayo ya umeme.
Ila matatizo yasikusahaulishe hivyo.
Medard Kalemani amehama CCM ?
 
Watanzania kwa Sasa wanaabudu umeme siyo vizuri kabisa kwa maisha ya binadamu Taifa limekuwa la Walanguzi Kila kitu ni shida Watanzania wapole mpaka wamekuwa mazuzu, leo mtu kafungua ofisi lakini hafanyi kazi sababu ya umeme na ukimuuliza waziri wa umeme Nani anakujibu sijui...
 
Back
Top Bottom