Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,153
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Suleiman Jafo anatoa taarifa kuhusu matokeo ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri zilizofanya vizuri na zilizofanya vibaya.
amesema Manispaa ya Ilala ndio kinara wa ukusanyaji mapato, ya pili Kinondoni, ya tatu Temeke, ya nne ni Dodoma.
Mimi sina la kuongeza Waziri Jafo yupo live TBC anamwaga takwimu sahihi.
amesema Manispaa ya Ilala ndio kinara wa ukusanyaji mapato, ya pili Kinondoni, ya tatu Temeke, ya nne ni Dodoma.
Mimi sina la kuongeza Waziri Jafo yupo live TBC anamwaga takwimu sahihi.