darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,723
- 16,938
Kumbe huyu mwamba ana wake watatu! Safi sana.
Kumbe huyu mwamba ana wake watatu! Safi sana.
Suala la lissu kupigwa risasi lina mlolongo mrefu Sana Usiende kwa serikali moja kwa moja.....mbowe pia nae anahusika kwa namna moja au nyingine ila tu kajificha kwa kivuli cha serikaliUlishawahi kumsikia Magufuli anakemea au kulaani kupigwa risasi Lissu au kupotea kina Azory? Kwa nini serikali yake ilikataa msaada wa uchunguzi kutoka nje? Kwa nini kamera ziling'olewa baada ya tukio la Lissu kupigwa risasi?
Hiyo laana itamhusu Magufuli na vizazi vyake hata cha tatu na cha nne asipotubu.
Acha mazombi walishane upepo.Mtu aliye mshambulia Lissu kwa risasi 38!
Akaua kina Ben sanane, Azary Gwanda, Alphonse Mawazo, n.k.....ataenda pepo ya nani? Ya shetani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la lissu kupigwa risasi lina mlolongo mrefu Sana Usiende kwa serikali moja kwa moja.....mbowe pia nae anahusika kwa namna moja au nyingine ila tu kajificha kwa kivuli cha serikali
Nakubaliana kabisa na kauli hii ya mh Jaffo kwamba Rais Magufuli atakwenda peponi kutokana na kujitoa kwake kwa hali na mali katika kuwatumikia wananchi wanyonge.
Hata Yesu alisema si kila amuitaye Bwana....Bwana ataingia katika ufalme wa mbinguni bali wale wayatimizayo mapenzi ya Mungu.
Mh Jaffo jina la Yesu likubariki.
Amen!
Mwanasiasa! Sijui. Kila mtu atajijua mwenyewe na muumba wake.Nakubaliana kabisa na kauli hii ya mh Jaffo kwamba Rais Magufuli atakwenda peponi kutokana na kujitoa kwake kwa hali na mali katika kuwatumikia wananchi wanyonge.
Hata Yesu alisema si kila amuitaye Bwana....Bwana ataingia katika ufalme wa mbinguni bali wale wayatimizayo mapenzi ya Mungu.
Mh Jaffo jina la Yesu likubariki.
Amen!
Mtu aliye mshambulia Lissu kwa risasi 38!
Akaua kina Ben sanane, Azary Gwanda, Alphonse Mawazo, n.k.....ataenda pepo ya nani? Ya shetani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na watamuacha akikosa kurudi bungeni 2020 na uwaziri kwani dhuluma aliyowafanyia watanzania kwa uchafuzi ule wa 99.9% haitamuacha salama!Kumbe huyu mwamba ana wake watatu! Safi sana.
Huyo anaemtaja pepo ataiskia labda pepo ya burigiNakubaliana kabisa na kauli hii ya mh Jaffo kwamba Rais Magufuli atakwenda peponi kutokana na kujitoa kwake kwa hali na mali katika kuwatumikia wananchi wanyonge.
Hata Yesu alisema si kila amuitaye Bwana....Bwana ataingia katika ufalme wa mbinguni bali wale wayatimizayo mapenzi ya Mungu.
Mh Jaffo jina la Yesu likubariki.
Amen!
Acha kujitia nyumaDr. John Pombe Joseph Magufuri (JPM) atakuja kuitwa mtakatifu baada ya maisha yake duniani (kwa mujibu wa imani za kanisa Katoriki) na kwa jinsi alivyo kipenzi cha watanzania wooooote zaidi ya asilimia 209%
Povu linaruhusiwa!
Andika vizuri basi wewe mtu!katoriki ndio kitu ganiDr. John Pombe Joseph Magufuri (JPM) atakuja kuitwa mtakatifu baada ya maisha yake duniani (kwa mujibu wa imani za kanisa Katoriki) na kwa jinsi alivyo kipenzi cha watanzania wooooote zaidi ya asilimia 209%
Povu linaruhusiwa!