Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Ukimkuta mtawala wa kiafrica peponi geuka hio sio pepo umeingia jahanamu
Dr. John Pombe Joseph Magufuri (JPM) atakuja kuitwa mtakatifu baada ya maisha yake duniani (kwa mujibu wa imani za kanisa Katoriki) na kwa jinsi alivyo kipenzi cha watanzania wooooote zaidi ya asilimia 209%
Povu linaruhusiwa!