Katoa wapi chanjo wakati aliipokea juzi
Huyu kachanja lini? Wapi? Alichanjwa na "Brand" ipi ya Chanjo? Akiwa na akina nani? Tukio lilionyeshwa na kituo kipi cha televisheni? Elimu inabidi ianzie hapo kwanza ndio tuitafakari.Waziri wa afya Dr Dorothy Gwajima amesema yeye na viongozi wenzake walishachanja chanjo ya Corona na sasa wamebaki kuwa walimu wa kuelimisha wananchi nao wachanjwe.
Source: ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote.
Walichanja lini tena jamani wakati walituonyesha kwa mbwembwe namna ya kunywa malimao na tangawiziWaziri wa afya Dr Dorothy Gwajima amesema yeye na viongozi wenzake walishachanja chanjo ya Corona na sasa wamebaki kuwa walimu wa kuelimisha wananchi nao wachanjwe.
Source: ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote.
Waziri wa afya Dr Dorothy Gwajima amesema yeye na viongozi wenzake walishachanja chanjo ya Corona na sasa wamebaki kuwa walimu wa kuelimisha wananchi nao wachanjwe.
Source: ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote.
Kwamba ulikuwa hujui?Huu ni ushahidi kuwa Watanzania tunadanganywa
Kumbe hata rais kesho anaenda kutuzuga tu!
Waziri wa afya Dr Dorothy Gwajima amesema yeye na viongozi wenzake walishachanja chanjo ya Corona na sasa wamebaki kuwa walimu wa kuelimisha wananchi nao wachanjwe.
Source: ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote.
Anaenda kuchomwa sindano ya Kilimanjaro drinking waterHuu ni ushahidi kuwa Watanzania tunadanganywa
Kumbe hata rais kesho anaenda kutuzuga tu!
Usimsikilize mtoa mada, ni mwongo. Uzinduzi ni keshoWaziri Gwajima umechanja lini?? Lazima uchanje hacharani na mumeo!! Mbona nyungu mlikuwa mnapiga na mumeo mbele ya kamera! Lazima uchanje mbele yetu na tujiridhishe kwa kunasisha sarafu ya sh 100/= sehemu uliyochanja!! Maana usije ukajichanja maji matupu ukatuingiza chaka! Mpaka shilingi 100/= inase kama kwenye sumaku!! Na mabeberu wanawachora mjue!!
Inakuwaje waziri alishachanjwa halafu rais anachanjwa kesho? Au danganya Toto na water for injection alishachanjwa tayari?Waziri wa afya Dr Dorothy Gwajima amesema yeye na viongozi wenzake walishachanja chanjo ya Corona na sasa wamebaki kuwa walimu wa kuelimisha wananchi nao wachanjwe.
Source: ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote.
At this point let’s just use our common senseNyani Ngabu sasa iweje hawa “Viongozi” wawe wameshachanjwa halafu Samia alikuwa bado!? Ná kwanini walifanya siri hadi hii leo!? Na walichanjwa chanjo ipi ikiwa J & J ndiyo wamepokea juzi?
Dr.Gwaji sema tu unaogopa sindano wakileta za vidonge utachanja.