Waziri G. Kabaka atembelea Vodacom ghafla

Waziri G. Kabaka atembelea Vodacom ghafla

Ukijua hawa jamaa wezi huwa hata nssf za wafanyakazi hawapeleki kwa wakati. Unakuta mtu amefanya kazi zaidi ya miaka zaidi ya 2 nssf amepelekewa miezi 6.hawa jamaa Erolink inaonekana wanazizungusha kwenye biashara zao. Na inaonekana wanashirikiana na nssf kwa sababu sheria iko wazi hujapeleka michango ya wanachama kwa miezi 3 unapelekwa mahakamani.

Kuna vidume pale voda vinapigishwa mzigo masaa 10. Tangu anaingi hadi anatoka anaimba na wateja tu na hayo masaa ya ziada unalipwa kawaida badala ya overtime.
 
Kama serikali hii hii ya JK ikiweza hili basi nitaamini kwamba wanaweza walau kujikuna mabegani...siyo mgongoni!

Ukishajiwekea bei yako na wanunuzi wakapatikana ndiyo mwisho wako.....hawa jamaa walishapigwa mnada siku nyingi na ndiyo maana wajanja kama EL na RA wanafanya lolote wanalolitaka!

Pole zao akina Mzee J4!!
 
Yaliyojadiliwa leo kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya kuaminika vodacom
1. Waziri azidi kukomalia suala la wafanyakazi wa call center kuhamishwa kwenda vodacom
2.waziri agoma maombi ya kuongeza muda kwa erolink na makampuni mengine ya uwakala
3.waziri ataka pia hayo makampuni ya uwakala kutokaa nao meza moja mpaka wahakikishe kwamba wamewahamisha wafanyakazi wote wapatao 500 vodacom
Wadau tunaombeni watanzania wenzetu mtuombee ili tuondokane na unyonyaji huu. Na pia hata kwa faida ya kizazi kijacho wasifanyiwe unyonyaji kama huu. Asante
 
Mwisho wa erolink umewadia na sasa hivi hawatoki maana sheria haiko upande wao,kuhusu Nssf wataweka tu. Na nahis siku si nyingi watafilisika.
 
Hizi ziara za ghafla hawa mawaziri kuna siku wataaibika.

Unakwenda ofisini kwa watu na liziara lako la ghafla, unawakuta watu wameshapanga ratiba ya siku nzima wako kwenye mipango mingine, Waziri mzima unaachwa mapokezi unasoma gazeti.

Kwani kupanga mkutano kuna ugumu gani?

Na kuviziana viziana ghafla kuna ulazima gani?

Halafu, I am all for serikali kuhakikisha wananchi hawanyonywi, kwa kuweka mazingira hayo (sheria na miongozo mingine). Lakini hii habari ya serikali ku micromanage haiendani na mfumo wa soko huria ambao serikali inajinadi kwa wawekezaji kila siku.

Serikali haiwezi kuingilia utendaji wa makampuni, inatakiwa kuweka sheria na kama makampuni hayafuati sheria, mkondo wa sheria ufuatwe.
 
Sikonge umezungumza mengi mazuri tatizo hii serikali sikivu.....

Hapana ndg yangu tatizo ni wananchi Wenyewe huyo Ndg ametoauchambuzi mzr sana khs Viongozi wa ovyo wanavyoingia madarakani! Siunaona waPUMBAVU wanavyomcfia maMVI anavyotoa mapesa chambuz km hz kwa wa2 wanaojitambua Zinatakiwa ziwarudishe kwenye mstari kuifikiria NCH lkn kuna miJITU ovyo kabisa inashangilia Badae jamaa akirudisha mipesa yake miJI2 hiyo hiyo italalamika Maisha magumu,,!
 
Last edited by a moderator:
Hizi ziara za ghafla hawa mawaziri kuna siku wataaibika.

Unakwenda ofisini kwa watu na liziara lako la ghafla, unawakuta watu wameshapanga ratiba ya siku nzima wako kwenye mipango mingine, Waziri mzima unaachwa mapokezi unasoma gazeti.

Kwani kupanga mkutano kuna ugumu gani?

Na kuviziana viziana ghafla kuna ulazima gani?

Halafu, I am all for serikali kuhakikisha wananchi hawanyonywi, kwa kuweka mazingira hayo (sheria na miongozo mingine). Lakini hii habari ya serikali ku micromanage haiendani na mfumo wa soko huria ambao serikali inajinadi kwa wawekezaji kila siku.

Serikali haiwezi kuingilia utendaji wa makampuni, inatakiwa kuweka sheria na kama makampuni hayafuati sheria, mkondo wa sheria ufuatwe.

Ukirusha jiwe gizani ukasikia yaaala ujue limempata.
 
Zawadi ya TSh 15,000,000 ( Milioni 15 ) itatolewa kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana kwa Semitrailor Truck ( Kichwa namba ya Burundi A8564A/ na trailor ya Tz no T808BLR )

Truck type: Mercedes Benz ACTROS 2540 blue in color
Trailor type: White flatbed imebeba 1 x 20ft container no MEDU 113945/7 iliyosheheni Kahawa kutoka Burundi
Tarehe iliyopotea/iliyoibiwa : 6/January/2014
Sehemu ilipopotelea/ilipoibiwa; maeneo karibu na yard ya Trans AMI, Nelson Mandela Rd.Dar-es- Salaam.
Police Lost report no; CD/IR/134/2014
Police Case no :CD/RB/429/2014

Tutalipa kiwango hicho kama litapatikana kama lilivyoibiwa likiwa kamili na mzigo wake,

Likipatikana pungufu ya hapo, zawadi pia itakuwa pungufu yaani TSh 8,000,000 (milioni 8 )
Wasiliana na sisi ukiwa na taarifa husika kwa simu no

+255764777203 au 0759126754 au 0653318631
no za Burundi +257 79 922211 au +257 78 000077.​pls share
Mods mtusaidie kumuelekeza huyu member taratibu za matamgazo yake,
 
Ukirusha jiwe gizani ukasikia yaaala ujue limempata.

Tatizo ndilo hilo, badala ya kuongoza nchi kwa standards tunaishia kurusha mawe gizani.

Jiwe linaweza kutua kwenye surface ya kudunda likakurudia mwenyewe.

Hivi kulikuwa na ulazima gani wa kufanya mambo ghafla? Let's say ziara ilikuwa warranted etc, kwa nini iwe ghafla?

Mimi kama nimepanga mambo yangu kwa siku ofisini kwangu halafu Waziri anajizukia tu kibongobongo bila miadi wala maelewano kuonana nami mpaka nimalize niliyopanga yote, na inaweza kuwa saa 12 jioni.

Haya mambo mengine utasema nchi ni Pol Pot's Cambodia.

Sawa, inawezekana hawa wafanyabiashara ni swines, lakini huu u ghafla wa ajabu unatokana na nini?

Au ndiyo kielelezo cha jinsi gani nchi yetu haijastaarabika? Mtu hapati results mpaka avizie ghafla.

Madereva hawapunguzi mwendo kwa bango la speed limit, mpaka uwawekee tuta barabarani!
 
Hizi ziara za ghafla hawa mawaziri kuna siku wataaibika.

Unakwenda ofisini kwa watu na liziara lako la ghafla, unawakuta watu wameshapanga ratiba ya siku nzima wako kwenye mipango mingine, Waziri mzima unaachwa mapokezi unasoma gazeti.

Kwani kupanga mkutano kuna ugumu gani?

Na kuviziana viziana ghafla kuna ulazima gani?

Halafu, I am all for serikali kuhakikisha wananchi hawanyonywi, kwa kuweka mazingira hayo (sheria na miongozo mingine). Lakini hii habari ya serikali ku micromanage haiendani na mfumo wa soko huria ambao serikali inajinadi kwa wawekezaji kila siku.

Serikali haiwezi kuingilia utendaji wa makampuni, inatakiwa kuweka sheria na kama makampuni hayafuati sheria, mkondo wa sheria ufuatwe.

mkuu erolink wamekupa ah ngapi uje uwatete humu...au na wewe uko system ya hao wanyonyaji Tht y mapovu yanakutoka pliiiz mkuu usiongee pumba coz hpa tunajadili maisha ya watu especially future zao.....km Una kazi nzuri na unalipwa vzuri ni bora ungepiga kmya coz hufeel maumivu ya mtu kulipwa 270000 kwa maisha ya dar...SO BORA UPIGE KMYA
 
Tatizo ndilo hilo, badala ya kuongoza nchi kwa standards tunaishia kurusha mawe gizani.

Jiwe linaweza kukua kwenye surface ya kudunda likakurudia mwenyewe.

Hivi kulikuwa na ulazima gani wa kufanya mambo ghafla? Let's say ziara ilikuwa warranted etc, kwa nini iwe ghafla?

Mimi kama nimepanga mambo yangu kwa siku ofisini kwangu halafu Waziri anajizukia tu kibongobongo bila miadi wala maelewano kuonana nami mpaka nimalize niliyopanga yote, na inaweza kuwa saa 112 jioni.

Haya mambo mengine utasema nchi ni Pol Pot's Cambodia.

Sawa, inawezekana hawa wafanyabiashara ni swines, lakini huu u ghafla wa ajabu unatokana na nini?

Au ndiyo kielelezo cha jinsi gani nchi yetu haijastaarabika? Mtu hapati results mpaka avizie ghafla.

Madereva hawapunguzi mwendo kwa bango la speed limit, mpaka uwawekee tuta barabarani!

so ulitaka waziri apange appoinment na wezi ...wezi huwa wanazukiwa tu uwape taarifa ili wapate ya kujitetea ...
 
Alafu we we nshakujua Mwenye erolink ni kaka yako...alafu akakufungisha ndoa...kwa PSA zetu.... kwa sababu UKo kwa bro...mwambie kabisa Kaka yako achomoki....maninaaaa.
 
Asanteni sana wadau huyu jamaa anaonekana kwao mambo safi je atafeel vipi maisha ya kinyonge? Sisi tunaoteseka hapa Erolink customer care hatuongei porojo. Koringe kama unaona unyonyaji ndo ujanja basi na wewe fanya uone manung'uniko ya watu yatakufanyaje. Nafarijika kuona wengine mnatupa matumaini mko pamoja nasi.Erolink wanadaiwa bilion 3 za Paye kule Tra kama wanakataa wakanushe katika media waone kama hawajafilisiwa.Michango ya mafao hawaipeleki. Mikataba ya kazi ni ya miezi 3. Mshahara ni 250000. Hakuna cha mkopo wala nini hivi utaishije hapo?
 
Hivi hizo ziara za gafla mnazo zisifia zina msaada gani?

Huyu waziri wenu ana matatizo, yani kufanya kikao na uongozi wa kampuni kuna hitaji kushitukiza.

Na amepata majibu ya kushitukiza maana hata yeye alishutikiza na watu inabidi wamuandalie document na vitu anavyo vihitaji maana hakusema mapema.


Kama ana simamia sheria sioni sababu ya kushitukiza hili kupata majibu mazuri maana sheria zipo anacho takiwa ni kusema tuu siku fulani nakuja na nina hitaji kuongea na wafanyakazi na siku fulani ni uongozi.

Hii zima moto haito wasaidia kabisa.
 
so ulitaka waziri apange appoinment na wezi ...wezi huwa wanazukiwa tu uwape taarifa ili wapate ya kujitetea ...

Wezi kuna watu wa kuwazukia tu, polisi na watu wa level yao.

Sasa kama hawa wezi kwa nini polisi hawakwenda kuwazukia?

Sehemu nyingine waziri akiingia ghafla bila miadi yeye ndiye ataambiwa mwizi.
 
Hivi hizo ziara za gafla mnazo zisifia zina msaada gani?

Huyu waziri wenu ana matatizo, yani kufanya kikao na uongozi wa kampuni kuna hitaji kushitukiza.

Na amepata majibu ya kushitukiza maana hata yeye alishutikiza na watu inabidi wamuandalie document na vitu anavyo vihitaji maana hakusema mapema.


Kama ana simamia sheria sioni sababu ya kushitukiza hili kupata majibu mazuri maana sheria zipo anacho takiwa ni kusema tuu siku fulani nakuja na nina hitaji kuongea na wafanyakazi na siku fulani ni uongozi.

Hii zima moto haito wasaidia kabisa.

Mtu kama huyu kawapa sababu watu hata kama ni wezi, kujibu kila swali lake kwa jibu moja tu.

"Hatuna jibu kwa sasa, hatukutegemea ujio wako, tunahitaji muda zaidi kukupatia taarifa".

Then the whole exercise, in so far as the element of surprise is concerned, is null. It's not like this is some Vita Vya Kagera battle where one has to surprise Amin or something, this war is fought by using the law.

Unaweza kwenda ofisini kwa mtu ghafla aka file suit ya harassment na tresspassing, akakuzuia usifanye chochote mpaka awepo mwanasheria wake. Sema huko bongo tu ambako mawaziri ni kama miungu watu ndo waziri anaweza kuja ghafla ghafla tu. Waziri anazuka ghafla tu watu wana mkutano wa multi hundred million dollar deals? Anapigwa chini vizuri tu, bila hata soda.

Unless Waziri anakuja na search warrant na polisi, ili kusearch premises in a surprise visit, sioni point ya surprise.

Wabongo tushazoea kupelekana kama ng'ombe, ndiyo maana watu wanasifia haya.

Na mwisho wa siku unaweza kuambiwa ni mchezo wa kuigiza tu, hakuna lolote la maana kimsingi litakalofanyika.

Huku watu wanachekelea mpaka jino la mwisho.

Juvenal said it best, give them bread a circuses.

Except we don't even get the bread.

Only circuses.

Bad circuses at that!
 
Asanteni sana wadau huyu jamaa anaonekana kwao mambo safi je atafeel vipi maisha ya kinyonge? Sisi tunaoteseka hapa Erolink customer care hatuongei porojo. Koringe kama unaona unyonyaji ndo ujanja basi na wewe fanya uone manung'uniko ya watu yatakufanyaje. Nafarijika kuona wengine mnatupa matumaini mko pamoja nasi.Erolink wanadaiwa bilion 3 za Paye kule Tra kama wanakataa wakanushe katika media waone kama hawajafilisiwa.Michango ya mafao hawaipeleki. Mikataba ya kazi ni ya miezi 3. Mshahara ni 250000. Hakuna cha mkopo wala nini hivi utaishije hapo?

Unyonyaji and all aside, hayo malalamiko yanaweza kuwa na merit kabisa.

Nisichoelewa ni, kwa nini waziri aende sehemu ghafla bila appointment?

Sio tu kawashusha hadhi aliowazukia, kajishushia hadhi yeye mwenyewe na ofisi ya uwaziri.

Anafikiri hii ni Sokoine's 1984? Chama kimeshika hatamu katika vita dhidi ya ulanguzi?

Kuna sehemu nyingine mtoto mdogo ukimpeleka kwenye duka la ma toy bila kumpangia kwenye ratiba anakuuliza "Baba hapa tumekuja kufanya nini? Mbona hukuniambia kwamba tutakuja hapa leo?"

Itakuwa Waziri mzima? Waziri kageuka polisi?

Waziri anaweza kuwa anaweka mazingira ya watu kuja ku argue kwamba serikali ilitumia ubabe isivyo halali katika hili suala kesho keshokutwa mambo yakipelekwa mahakamani.

Hapo ndipo bosi wa mafia anapopata kuachiwa huru kwa technicalirty kwa sababu tu hajapata free trial, amepata trial iliyokuwa influenced by press, Sidney Sheldon style.

Halafu watu watalalamika wakati mazingira ya kushindwa na loopholes za kisheria tunaanza kuweka mwenyewe.
 
Kwa maneno mengine ruta na karinge mnatetea ufisadi unaofanywa na makampuni kama erolink right? That means hata efforts za waziri kwenu nyie ni bure. Sasa nimeelewa
 
Back
Top Bottom