Waziri Chami nae kalazwa India

Status
Not open for further replies.
India ni rahisi hata hiyo Agakhan hapo Dar ni ghali. It is very cheap but with excellent matibabu. Wanavutia wateja kutoka pande zote za dunia. hata USA Australia na China wote wamo humo. Ni kwamba wale specialists mabingwa wamo kule hasa madoctor wa kutoka waCuba hawataki kulipwa ghali sana.

Si kweli wewe umeangalia matibabu tu hujaangalia gharama nyingine. Na hata kama ni kweli that is not the justification of big shots going there. What about those who cannot afford air tickets and other expenses. Mbona zamani wimbi halikuwa kubwa hivyo la wakuu kwenda huko. Wakuu wa nchi hii hawana uzalendo kabisha kwanza wanawadhililisha madaktari wetu.
 
wakuu huyu jamaa chemi haumwi, nasikia katumwa na kile kikundi cha mauwaji cha ccm kwenda kuwamaliza mwakyembe na Prof mwandosya. angalizo kwa mwaky na mwandosa huyu jamaa asifike hospital mlizolazwa atawamaliza wala asiwakaribie hata kidogo anasumu kali sana ya kuwamaliza.
 
nami nimesikia leo asubuhi via rfa magazetini eti alipelekwa juzi
" MUNGU AMPONYE HARAKA "

Amponye wa nini bana watu wanazidi day after day kutafuna kodi za watu tu kwa "matibabu" ambayo hata tz angeyapata? Anyaway,,vile ni binadamu mwenzetu basi bana "Mungu amponye haraka"!
 
"vitaumbwa vipya na nchi zitageuka...amina".
jamani nimekumbuka sala fulani baada ya kusoma hili swala watu kwenda india! Hii sala inaanza kujieleza kwa vitendo.
 
Hivi ni lini mawaziri wa India nao watakuja Tanzania kwa ajili ya matibabu?
 
Lloool
hospitl wanayoenda ni moja
sasa basi patachimbika


wakuu huyu jamaa chemi haumwi, nasikia katumwa na kile kikundi cha mauwaji cha ccm kwenda kuwamaliza mwakyembe na prof mwandosya. Angalizo kwa mwaky na mwandosa huyu jamaa asifike hospital mlizolazwa atawamaliza wala asiwakaribie hata kidogo anasumu kali sana ya kuwamaliza.
 
Jamani kwa hali hii tumefika pabaya mpaka watu wanashangilia viongozi kuugua, hata kama ni mafisadi hebu tuwe na moyo wa ubinadamu. Hii ya ufisadi tumwachie Mungu atawaadhibu na usikute ndo ameanza kutoa kichapo, hatuna haja ya kuwatakia mabaya wagonjwa wetu.
 
Jamani kwa hali hii tumefika pabaya mpaka watu wanashangilia viongozi kuugua, hata kama ni mafisadi hebu tuwe na moyo wa ubinadamu. Hii ya ufisadi tumwachie Mungu atawaadhibu na usikute ndo ameanza kutoa kichapo, hatuna haja ya kuwatakia mabaya wagonjwa wetu.

Wao wana huo moyo wa ubinadamu!nani hata moja mwenye huruma kwa wananchi masikin!damn!wacha waugue wote!hawana msaada zaidi ya kuvimbisha mitumbo yao kwa kodi za wavuja jasho na kutetea ujinga wao na mabwana zao!i hate all mawaziri
 
Mi wasi wasi wangu kuhusu wagonjwa walioko huko muda mrefu, inabidi wakae mkao wa kujilinda zaidi maana huwezi kujua hawa wagonjwa wapya ni kweli wagonjwa au wanaenda kwa kazi maalumu.

Nchi inahitaji mabadiliko ya lazima hakuna options!! we need the changes, na wazungu walishaona kipindi hiki ndo watuvune haswa mpaka tutoboke mifuko. Utasikia serikali imekopa, mara dharura, mara kampuni la kimarekani mara NGOs hadi machozi ya damu yatutoke.

Kwa kweli kama umuhimu wa kufanya mabadiliko ktk nchi yetu tumeshauona, sasa tunatakiwa kufanya madadiliko hayo kwa vitendo na tuache maneno maneno. Jumamosi hii saa mbili na nusu asbh kuna maandamano muhimu sana katika historia ya nchi yetu, Shime tujitokeze katika haya maandamano ambayo kimsingi yatasignal kitu muhimu kwa watawala wetu iwapo umma utaitikia ipasavyo. Maandamano haya ni kwa watanzania wote bila kujali itikadi zetu. Pia ikumbukwe kwamba vijana ndio watakaoikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa mabeberu, majizi, mafisadi, manyang'au na wahujumu uchumi wa nchi yetu.
 
Wana JF,
Nimesikia uvumi kuwa Waziri Chami nae amelazwa na anatibiwa huko India, Je hii ni kweli?
Mwenye taarifa atuhabarishe.

Yale yale, sie tukiumwa mbona tunatibiwa hapa hapa, hawataki kuboresha huduma za afya na zinginezo sababu wao wana pesa za ufisadi sio, au watasema serikali ndio imewapeleka huko?

Hii nchi wazee itaishia kama Libya tu!
 
Wazee haumwi, amekwenda kufanya medical check-up. Nyalandu ameongea lugha laini "amejisikia vibaya
kama watu wengine"
Maana nyinyi CDM mna viherehere sana kama angesema amekwenda kufanya medical
check up mngemshikia bango!
 
Wazee haumwi, amekwenda kufanya medical check-up. Nyalandu ameongea lugha laini "amejisikia vibaya
kama watu wengine"
Maana nyinyi CDM mna viherehere sana kama angesema amekwenda kufanya medical
check up mngemshikia bango!


Baba anaamua kula hotelini - kisa? jiko bovu! Familia yake watajijua wenyewe - nice one!
 
Hivi serikali haiwezi kuwaleta hao madaktari wa kihindi pamoja na vifaa vyao hapa TZ kama madaktari wetu hawana uwezo wa kuwatibu wagonjwa wetu? Siyo tu viongozi wetu wanakwenda India, wananchi wengi sana wanakwenda huko kwa sababu hawana imani na na hospitali zetu.
kk mi hapo kwenye redi sijakuelewa, mm mpaka hapa nilipo nina umri zaidi ya nusu ya laifu spani ya mwafurika, hakuna ndugu jamaa wala jiran aliwah kuugua akaenda india coz hawana uwezo, sasa unaposema "wananchi wengi" nakuhisi vibaya kuwa umelewa pesa za wavuja jasho maskin wa kitanzania ukiwa na fikra kuwa kila mtu ana hali swafi km yako/yenu.
jua hizo ni kodi zetu mnachezea. Sasa hospitali km muhimbili mmjenga ya nn kama hamuitumii. Kumbe ndo maana hamnunui dawa hampeleki madaktari kuongezea elimu coz nyie hizo hosp hamziitaji. sasa kuna wakati tutaonanan wabaya, tutakapowazuia watu kwenza kutibiwa nje. ukiumwa tunakulazimisha ukalazwe mananyamala au amana, ukiwa kiongozi km waziri au naibu ama presda muhimbili alafu tuone. Kumbe ss wengine tukifa hakuna hasarae?
 
"Haumwi kama watu wanavyodhani, ni kwamba amejiskia vibaya kama watu wengine wanavyoweza kujiskia na hivyo amekwenda hospitali kwa ajili ya uchunguzi zaidi" hii ni kauli ya Naibu Waziri Kijana wa viwanda na biashara ndg Razaro Nyarandu alipoulizwa juu ya afya ya Bosi wake Dr Chami.

Hapa ninajiuliza maswali kadhaa!
Mosi, hivi Nyarandu anaposema anajiskia kama wanaweza kujiskia watu wengine, je hao watu wengine wakijiskia nao waende India?
Pili, hapa kwetu hakuna madaktari wa kufanya uchunguzi wa mtu akijiskia kawaida?
Tatu, anataka kutuambia kodi zetu zimewafanya wajisahau namna hiyo hata kama mtu akijiskia ugonjwa wa kawaida akafanye vipimo nje ya nchi?
Nne, inamaana viongozi wa nchi hii wanajua udhaifu wa hospitali zetu na hivyo hawaamini kuzitumia hata pale wanapojiskia kuumwa kawaida tu?
Penye Lime color yeye ni nani na sisi watu tumemwambia tunadhani nini?
Penye red color - PUMBAFF!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom