Waziri ana nafasi ya kujua mambo mengi, wanayosema wanakuwa wameshauriwa na wataalamu wengi. Hawasemi tu kwa kuropoka

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,997
46,091
Kwanini unchallenge mtu wa rais?

Mnaoponda Waziri wa Rais maana yake hapo una mchallenge Rais na Rais hapingwi.

Ukimdharau mtu pengine awe na madhaifu ndio tumpelekee Rais ili akae na watu wake. Washauri wake mtaandika mengi ila Waziri hata kama angekuwa na elimu ndogo ana washauri wake; Makatibu, Watendaji, muundo wa siasa ndo huko hivyo.

Mtu kweli from nowhere atangaze kuja kwa satellite halafu watu wamdharau kwamba ni kitu ameropoka, sio kweli huu utakuwa wivu mtaendelea kuandika mambo ya hovyo.

Itoshe kwa kusema viongozi wote unaowaona wewe wana washauri wao tena watalaam. Waziri huletewa report nyingi sana hivyo lazima hata angekuwa mtu yoyote angeyajua mengi.
 
Kwanini unchallenge mtu wa rais mnaoponda waziri wa rais maana yake hapo una mchallenge rais na rais hapingwi ukimdharau mtu pengine awe na madhaifu ndo tumpelekee...
Sisi tunazizidi nini hizo nchi ambazo musk ana operate?
 
Kwanini unchallenge mtu wa rais?

Mnaoponda Waziri wa Rais maana yake hapo una mchallenge Rais na Rais hapingwi....
Rais ni nani mpaka asiwe challenged kama wananchi wanaona anachodeliver sicho? Anafanya kazi kwaajili yetu, kwa niaba yetu na kodi zetu ndio zinamuweka kwenye nafasi aliyonayo. Sasa kama hatendei haki kodi zetu unataka tusihoji?

Hawa Mawaziri unaosema wana washauri kibao, ni mara ngapi wanatoa matamko ya hovyo kama hawana vichwa? Ni mara ngapi wanafanya maamuzi ya ajabu utafikiri hawajaenda shule? Na kuwa waziri (pamoja na washauri) haimaanshi wanajua mengi au wanajua bora zaidi. Wapo wengi kitaa wenye maarifa na kuwaacha mbali hawa unaojaribu kuwatetea kwa nguvu hata kwa ujinga.

Kwenye pa kuboresha tufanye hivyo, siyo kutetea hata makamasi kisa tu wewe ni wa chama fulani. Bure kabisa!
 
Kwanini unchallenge mtu wa rais?

Mnaoponda Waziri wa Rais maana yake hapo una mchallenge Rais na Rais hapingwi...
Kwanini asiwe challenged. Ni mara ngapi na awamu ngapi rais amewahi kusimama yeye ama waziri wake akasema mgao wa umeme kwisha baada ya gas lakini mpaka mwaka huu ukawepo.

Juzi juzi mzee wa satelite alizunguka na helcopter kuweka vibao kwa mabilioni ya shilingi tukiambiwa sasa posta wataanza kudeliver barua na parcel hadi nyumbani ila pesa zikaungua na hakuna kitu kama hicho.

So, haijalishi ni rais au nani inawezekana akazungumza vitu ambavyo havimake sense.
 
Kwanini unchallenge mtu wa rais?

Mnaoponda Waziri wa Rais maana yake hapo una mchallenge Rais na Rais hapingwi...
Kiongozi anashauriwa kulingana uwezo wake wa akili. Kama hana akili na mjinga atashauriwa kijinga jinga!
 
Back
Top Bottom